Jinsi DC Sabaya alivyomnasa Afisa Ugani na mtandao wa kitapeli wa Q NET alivyochota mamilioni ya watu

Bora wakamatwe na walipe pesa yote walodhulumu watu na walipe faini kabisa maana hawa matapeli wanarudisha nyuma maisha ya watu isee.
 
Ni aibu sana mtu emeenda shule halafu unapigwa kizembe.
Weeh usiseme hivyo, kuna watu wana sound unakubali unaaminishwa tu. Siwezi kuwalaumu sana walojiunga ila ndo wamejua sasa kumbe ni utapeli, kuna na wengine wanajiita jina flani hivi nmelisahau nao matapeli wanakutaka uwatumie hela wanadai wanauza na kununua madini unapata pesa yako double ndani ya siku tatu.
 
Aaah good morning milionea walitaka niingiza kingi nitoe hela zangu za michango ya harusi eti baada ya miezi 3 tafanya harusi kubwa Sana.
Mimi kuna Mdada Mmoja wa Ofisi zao Kinondoni karibu na Club ASET ( Twanga Pepeta ) aliniita huko na kuanza 'Kunishawishi' na kwakuwa tayari 'Kisaikolojia' nilishamsoma 'Udhaifu' wake japo 'alijimwambafai' Kwangu kuwa ana Masters Degree na bonge la 'exposure' duniani nami nikamwonyesha kuwa Mimi ni Mtoto wa Mjini ambapo 'nikamtongoza' kwa 'Mbinu' kali mno na akajaa 'Mkenge' Mwanamume 'nikamkojolea' na nilipomaliza pale pale Kitandani nikamwambia 'Good Morning' na tusijuane tena.
 
Bora wakamatwe na walipe pesa yote walodhulumu watu na walipe faini kabisa maana hawa matapeli wanarudisha nyuma maisha ya watu isee.
Kabla ya 'Kupovuka' hapa kuwa sijui 'Washtakiwe' kwani Wao ( Qnet ) huwa 'wanawalazimisheni' mtoe Pesa au huwa ni 'Upuuzi' wenu tu? Mkome!!
 
Kweli nimeamini Binadamu tumetofautiana katika kupiga 'Sound' Mkuu kwani Mimi 'Sound' pekee niliyobarikiwa nayo ni 'Kutongoza' na Kuwalala tu.
 
Kuna boya mmoja ilibaki kidogo tu anaiingize global alliance dadek.
Kuna dada mmoja mrembo ila kichwani ni flight mode alininunia kisa nimegoma kujiunga na huu upuuzi na nilijua hata yeye hajui kuwa anatumwa alete watu wapigwe hela.
Nadhani sasa hivi na yeye atakua ametapeliwa coz sioni akipost watu wapya anaowapeleka.
 
Kuna Moja imenisikitisha Sana walimu wakuu kabsa wametoa million 4+ cash bila hata risit huku wakiambiwa risit zinatoka Malaysia kwa njia ya mtandao

Nawaheshimu Sana walimu lakini kwenye Hilo mmeteleza Sana as if sio wasomi.
serious unatoa million 4+ cash bila hata risit.

Tuache tamaa za kutaka kufanikiwa kwa mtelezo kiasi hicho aisee(hakuna biashara hapo ni janja janja tu)

Hao Qnet walijaribu kipindi fulani dar es salaam, nilichowafanya "Hacker" peke yake ndiye anayejua.
 
Mzee wa tiba anuai za kibaiolojia 🤣
 
Hizi Pyramid schemes hata Bila maelezo kama una akili timamu hutajiingiza ,

Hakuna biashara yeyote ambayo haihusiani na mauzo ya bidhaa wala kutoa huduma ukajipatia faida.
 
Hawa qnet wapo siku nyingi nchini hapa na kuna wakati walitaka kujenga barabara Sasa leo iweje yatokeee haya yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…