lakini mzigo si unafika.! Acheni kufanya maisha kuwa magumu wakati ni kitu simpleKuendesha porini sio barabarani akikutana na Traffic anaanza kujiharishia.KUENDESHA GARI SI TU KULIPELEK MBELE NA KURUDISHA REVERSE!!!
Kwasababu wamegundua mwanafunzi mwenyewe hana nia njema. Anatafuta status tu ili aanze kuvimbia watu.Kwanini UDSM wanamkataa
Yeye si genius toka la 7 mpk degree afanye tuu masomo saba yale apate hicho cheti. Unajua anag'ang'ania asome UD sbb anataka statasi tuu. UD kazeni alete cheti cha form four tuu tena chenye C tano.
Msikilize Shigongo alivyojielezaKwanini UDSM wanamkataa
Akasome QT ukooKurisiti ni kwa wale waliosoma secondary wakafeli, yeye hakusoma kabisa!
sijawahi kuamini usahihishaji wa mitihani ya form four,,labda huenda huko mbeleni nitakuja kuamini... ila kama mwaka nilobahatika kumaliza mimi matokeo yalitoka mara mbili..( ikumbukwe walisema wamesahihisha upya, je walosahihisha mwanzo walifanyaje??? na matokeo yalinifanya niwe tu disappointed)
Mawazo mgando. Yanapingana na sera ya elimu na Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2015.Sio huu Uzi Duniani kote ndio utaratibu tokea enzi na enzi,ni kama mwanaume huwezi MPA mimba mwanamke kama hujapitia barehe.
Ni mfumo ya kidunia ipo hivyo,by the way now days unaweza Fanya mitihani ya QT kwa miaka 1 kwa nini asifanye??
Akigonga mtu bima nani atalipa wakati dereva alikuwa utingo asiye na leseni? Hujui kuwa mtu akiwa mwendeshaji hana leseni ikitokea ajali bima hawalipi?lakini mzigo si unafika.! Acheni kufanya maisha kuwa magumu wakati ni kitu simple
Wivu tu kisa kala chochoro.!
...Hapo inapoandikwa na kurudiwa 'Noval' badala ya Novel kunakufanya uwaze sana Umakini wa Muandishi wa hii makala ama wa Erick Shigongo mwenyewe !CHUO ALIJIUNGA VP SASA??
Hii inaukakasi mkubwa mnoHongera kwake Erick Shigongo.
Hata hivyo, kuna jambo haliko sawasawa, kupata GPA ya 4.8 siyo kitu cha kawaida. Ni wanafunzi wenye uwezo mkubwa sana darasani ndiyo wanafaulu kwa kiwango hicho, Shigongo anasema alikuwa anapata si zaidi ya 25% akiwa shule ya msingi, yeye ni mwanafunzi wa kawaida. Na hii inakinzana sana na matokeo yake ya shahada.
i will never trust them...everMkuu amini kwamba NECTA wanajali sana huwezi kufelishwa NECTA ni never!
[emoji23][emoji23][emoji23] Profesa Majamba anasema "digrii mboga mboga bure kabisa" [emoji23][emoji23] alafu ndio wampokee kirahisi rahisi haitakaa itokee
Shigongo angekuwa kaelimika angeenda kusoma qualifications za kusoma Masters kwanza. Yaani na degree yake ya parachuti yenye GPA 4.8 ameshindwa hili.
Elimu inachezewa sana. kweli mtu wa hiyo GPA unashindwa kuzijua taratibu kweliii!?, anyang'anywe hiyo degree. Alitakiwa akasome Cheti ifuate Diploma alafu ndio degree TCU waufikirie upya huu utaratibu wa kutambua ujuzi.
Degree ni ngazi ya juu sana ya elimu kwa mtu type ya Shigongo, cheti kilikuwa halali yake kwa kuanzia.
Huu utaratibu hata Ulaya upo, mradi uwe na miaka 21 na unajua kusoma na kuandika. Lakini kuna course unaifanya kwa mwaka mmoja kupata credits za kuingia chuo. Katika hiyo course unafundishwa jinsi ya kuandika essay, kupeleka assignments, hesabu na Lugha ya kufundishia katika nchi uliyopo.
Hizo GPA zipo sana vyuo binafsi. Wanapewa tu.Erick ni mwongo wa karne haki tena, GPA ya 4.8? π π π
Unatakiwa kuwa na C 5 na ni lazima uwe na C ya lugha ya kufundishia. Course za sayansi ni lazima uwe na C ya hesabu.Foundation course au unapewa conditional admission (lazima ufaulu masomo flani au ufanye hiyo kozi kabla ya kuendelea na masomo yako uliyoomba chuo)
Anaogopa au? Chuoni unaweza Fanya chochote ukiwa na fedha ila o'level inaugumu sio kidogoSasa si afanye mtihani wa form four apate hicho cheti anaogopa nini kurisiti.