Jinsi Eric Shigongo alivyojiunga Chuo Kikuu akiwa na elimu ya msingi

Unawajua vizuri NECTA!!? [emoji23][emoji23][emoji23] watamla kichwa alafu awe kichekesho magazeti yataandika "Msomi wa degree afeli mtihani wa kidato cha nne"
Mnayafanya maisha kuwa magumu sana

Necta ndio kitu gani ?!
Mtihani wa Form Four....unamaana gani hasa katika maisha ya Mtanzania?!

Acheni uchawi wa mchana nyie
 
MwendazKe na ndali ndio hawakuelewa maana ya huria. Wameharibu kabisa bahati mbaya kama ilivyo kawaida yetu tunadai tunataka quality.
 
Hata Education asingetoboa kwa mfano angesoma BSc Ed/ Physics & Chemistry maana angetakiwa kufundisha A level Phy&Math angeanzia wapi?
 
UDSM sio chuo cha Mazuzu huo ujinga huwa hawataki ,mambo ya kununua elimu hayo .

Kuna mtu alikuwa anaitwa Dr.Rwambuka (R.I.P) huyu alikuwa ni Lecturer wangu pale UDSM PhD yake alipata German akatunukiwa U Proffessor kule German lakini alipokuja UDSM wazee waliikataa PhD yake na akabaki kuwa Dr tu wa kawaida sembuse huyu Shigogo .

Hapa Bongo kuna vyuo vingi vya magumashi na degree za kimagumashi nyingi sana.

Ongera UDSM kwa kusimamia elimu yetu ,ila hivi vyuo vingine vya bongo watu wanaenda tu kununua degree
 
UD wapo sawa. Shortcut za nn? Soma elimu ya sekondary ya watu wazima faulu nenda chuo sio unaenda na barua.
Kama unataka elimu tu si cheti lipia kuingia darasani au professor aje kwako kukufundisha.
 
Nmebahatika kumsikiliza huyu jamaa. by the time alikuja chuoni kwetu so event ilikuwa ya kingereza.

Ana english nzuri kuliko pHD holders wengi ninaowafahamu.
Na wewe ni muamini wa English mkuu. Yaani iyo ni lugha tu Kama lugha zingine sio kuwa msomi pekee ndiye anayeiongea.

Ungezaliwa uingereza ama kameruni ya kaskazini unaakiongea bila ya kujua kusoma abcd so na hapo tutakuita kuwa wewe ni msomi ama inakuwaje kisa unaongea English.
English sio kuwa wewe ni msomi mkuu.usomi ni kuwa na maarifa fulani ama ujuzi
 
Huyo hana tofauti na mwendazake,kupenyeza Rupia kupata elimu na vyeti fake
 
He taasisi za bongo kuna integrity kusimamia huo mfumo au ndio itakua uchochoro wa kupata elimu ya juu kiubweche [emoji3064][emoji3064] najiuliza tu?
 
Akigonga mtu bima nani atalipa wakati dereva alikuwa utingo asiye na leseni? Hujui kuwa mtu akiwa mwendeshaji hana leseni ikitokea ajali bima hawalipi?
kwani ajali ina mwenyewe.! Kwanza si mpaka itokee

Tena jamaa ni mstaarabu sana ikitegemea na pesa alizonazo na status aliyonayo kijamii

Wala isingemuwia ugumu kudanganya hivyo vicertificate vyenu vya o'level na advance wala visingekua issue kwake

Ila sema kajitoa kuwapa moyo watu waliojikatia tamaa ya elimu kwa mifumo yenu yakifarisayo
 
Vicertificate?

Kama ni rahisi kihivyo mbona yeye hana hivyo vicertificate?
 
Hayo mambo ya usomi wewe ndio umeyaanzisha. Mimi nimezungumzia tu kuhusu Kingereza chake.


Ugumu uko wapi hapo?
 
Kama ana pesa na ubunge juu, anataka elimu ya nn? Afu baadhi walishasema elimu haina maana, but ukiwafuatlia wanapeleka watt wao shule nzuri na ghali! Wanachoongea na matendo hayafanani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…