Jinsi gani naweza kupata mchumba wa kuoa?

Sasa kama huyo mwanamke hamamatsu nafasi anamuombaje namba emu eleweni anachoandika jamaa munakuwa na vichwa vigumu.
 
Mkuu unakaribia 3rd flow na bado hujat*mba! Hii ni hatari sana,
Ushauri: kuwa bize na mambo tofauti na mapenzi, hapo ndo watakuja wenyewe
 
📌
 
Sasa kama huyo mwanamke hamamatsu nafasi anamuombaje namba emu eleweni anachoandika jamaa munakuwa na vichwa vigumu.
Kwani yupo peke yake dunia nzima? Akikataa unajaribu kwa mwingine, na mwingine mpaka upate anaeleweka.
 
Kwahiyo ninyi wote wenye wachumba, mademu na wake mlikuwa na 100K ambayo haina kazi.?
Kijana umewakamata sana wale wanasema tafuta hela unauliza maswali konki shida ya hawa jamaa hawajui mantiki ya huo na utumike wapi
 
Pole sana jitahidi upate demu mkali mmoja tu tena watu wamjue hapo utapata wengine wengi
Japo huwa ni ngumu sana kupata demu kama huna demu kabisa.
 
Ukitaka kuoa oa yeyeto umpendae ukipata mwema mshukuru Mungu ukimpata mbaya utakuwa mwanasaikolojia ya ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…