Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Ahaha nacheka lakn naogopa ila co dem wako tena apo ulipaswa kusema x wang akajibu ......(jokes) naiman unajiuguliaza zako maumivu
 
Kama bado unaweza kuona status zake na ye anaona zako jipe muda kula unenepe msambwanda uongezeke,wanaume wakiona unapendeza baada ya break up roho huwa zinawauma,ukishapendeza tupia pamba jipost status,wee sikilizia balaa lake!atakusaka mwenyewe na we usikubali kurudi kwake tena!
Akishakutafuta hapo tayari utapata ujasiri wa kumove on as utajua kumbe jamaa bado anakuelewa,hii nimeona kwa wengi imewasaidia!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cc Espy
 
Aah mimi nimelia sana na ndiyo kwanza mwenzangu ni kama anafurahia kuumia kwangu. I hope siku ntakua sawa tu.[emoji122]

Sasa mtu anayefurahi wewe ukiumia unamtaka wa kazi gani? Maana inaonyesha hakupendi na wala hajali hisia zako, sasa mtu wa hivyo ni wa nini? Jipe thamani we mwenyewe, jipende na uheshimu hisia zako. Mtu anayefurahi kuumiza hisia zako ni hatari kwa afya yako. With time utakua sawa japo inauma
 
Aah siwezi mwambia itakua kama namlazimisha hivi nilidhani mwenyewe tu kama kweli na upendo kwangu angeweza kurudi.[emoji849]

Nyamaza kimya kabisa, usimtafute wala usimbembeleze, akiona kimya ataanza kujisexisha arudi. Be careful he might hurt you twice as much ukimpa nafasi ya pili. Mtu akishakuonyesha hakutaki mwache aende anakotaka, usimzuie. Mapenzi ni hiyari. Amini kuwa atakuja mwingine
 

Yani akikuacha kwa dharau siku akijifanya kutaka kurudi mfungie vioo. Ikibidi hakikisha anamjua mrithi wake [emoji23]
 

Sasa zumbe mkuu ilikuwaje ukampoteza wife material?
 
Kwani mapenzi yana baunsa wa kinyaki? Tunamshukuru Mungu tulipita huko salama, sasa hivi tumekuwa kina aunt Sadaka. Ntakuandikia kitabu cha simulizi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Halafu hivi wewe huwa huteswi na haya madude!! Hebu tupe kisa ulivyotendwa huko maana naona hapa ni maconfession tu[emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…