Hakika kabisaah yaan. Unenena haswaaah.Pole Sana.
Mambo gani yanakufanya ushindwe kumtoa kichwani????
Je,umezaa naye?
Umejenga naye?
Alishakutolea mahari? n.k
Ni Heri uchumba uliovunjika kuliko ndoa mbovu.
Uchumba siyo ndoa,lolote linaweza kutokea.
Mapenzi ya kweli hayalazimishwi.
Mshukuru Mungu kwa yote na muombe akusaidie kuendelea mbele.
Kufikiria Sana hakutatatua tatizo lako.
Pure intentions have no selfish motives. One cares much about how she/he makes you feel; she/he gives her/his all to you.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usisahau kuni tag.Kwani mapenzi yana baunsa wa kinyaki? Tunamshukuru Mungu tulipita huko salama, sasa hivi tumekuwa kina aunt Sadaka. Ntakuandikia kitabu cha simulizi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna boya hapa linataka kujinyonga demu kasepa na kijiji kasema hamtaki jamaa na status anamuweka jamaa yake mpya toka wiki iliyopita sijui alipewa nini na huyu manzi kupenda hivi ilikua olevel ila hili jamaa na midevu yake linalia kisa penzi
Kandamizia na maombi nkamu; cut all the soul ties formed between you two, and renounce the covenants you made.
Likija kupita hili; kuna siku utakumbuka halafu utatamani hadi ujipige kofi kwamba ulikuwa unachanganyikiwa nini
Poleeeeh saana, kumbe alifariki.Ni mapenzi tu ya Mwenyezi Mungu mkuu. Binafsi nilimpenda sana, na yeye alinipenda sana! Ila Mungu alimpenda zaidi.
Na ubarikiwe sana, hebu achana naye huyo, anza upya mbna wanaume wengi sana dea tena wa kumwaga lol. [emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante sana wakuu kwa shauri zenu hakika nazidi kujipa moyo kwamba ipo siku ntakaa sawa, nimeona nguvu kubwa iliyokatika kuweka vitu au jambo bayana kuliko kubaki nalo moyoni, nimekosa amani muda mrefu sana kwa ajili hiyo ila naona napata nafuu sasa. Na kumbe kuna wengine wanaopitia kama mimi na wengine wanapitia makubwa zaidi mfano kufiwa na wapendwa wao[emoji25]. Ahsanteni sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe JF tumo wengi na mimi huku kuna binti kaniacha aisee, ni miezi miwili sasa imepita yy kaishaendelea na maisha yake ila bado najitahidi kumsahau ila wp najikuta tu nimeshaanza kumtumia txt namkubusha ahadi yetu namkumbusha mwanzo wetu, lkn kinachonisikitisha sana ndiye bnti wa kwanza kudate na mimi katika maisha yangu, nasikia yeye ashagaolewa ila mimi bado nakazana tu yaan nimekuwa kama vile siamini...ile mood nilokuwa nayo ya kufanya mazoezi kila day nayonahis imeniacha yaani mambo yamekuwa zig zag, nilikuwa ninauwezo wa kupiga push ups 60 siku hizi nashindwa ata 20 yaani kiujumla nimedhoofika
Kwa hiyo dada hauko pekee yako cha kufanya chukua hii namba yangu 0694094773 tusaidiane kujifariji maake nimeingia JF kutafta ushauri japokuwa sijapost kitu ila nilikuwa naimani nitakutana na wa2 wenye hali kama niliyopo mimi. Ila dada pole amini yote yatapita, utazishinda hisia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi mommy kweli mapenzi yanaumiza kiasi hiki? Mbna mie siamini na sielew kabisa.Kandamizia na maombi nkamu; cut all the soul ties formed between you two, and renounce the covenants you made.
Likija kupita hili; kuna siku utakumbuka halafu utatamani hadi ujipige kofi kwamba ulikuwa unachanganyikiwa nini
Hakika kabisa.
Ndo hapo sasa tatizo.Lakini utekelezaji wake sio mwepesi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaaa eti sauti nzuri kubwaaaa
Hii Ni kweli Kabisa...USIJARIBU nkamu
Haya mambo moyo upo kwa A, unaenda kujilazimisha kuwa na B: ni kujitesa nafsi yako na kumtesa huyo B ambaye possibly ana pure intention kwako. Na kama hujamtoa mtu kwenye nafsi yako; ni ngumu sana hata kuona na kukubali upendo unaonyeshwa na wengine huku nje. Huwezi kuendelea na mahusiano mengine au maisha yako tu kwa sababu utakuwa bado una matumaini kuwa fulani atarudi. Muachilie nafsini mwako, amini kuwa hakuwa wako.
Tuko wachache saana wenye hizo sauti,nikiwemo mimi pamoja na Millard Ayo 😃Ndiyo huwezi amini ni sauti yake pia inayonifanya nimkumbuke zaidi! Sauti ya kokoto wangu mwee, mnyakyusa wa watu miye nakufa😪
Ndiyo huwezi amini ni sauti yake pia inayonifanya nimkumbuke zaidi! Sauti ya kokoto wangu mwee, mnyakyusa wa watu miye nakufa[emoji25]
Moyo kama umepata ganzi yasijekutokea tena yale yale tena wakulungwa mmh[emoji848]
Akitaka kurudi ntawaona tena kwa ushauri zaidi[emoji23]
Unaogopa mkuu 🙂🙂🙂Ahsante ila hapana kwa sasa