Mgogo Vitani
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 492
- 867
Usinizoee sana Jaji Mfawidhi unaiona hii Toto jinga inaniletea mazoea?
Naona dogo bado likizo haijaisha shule zifunguliwe tu aisee…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinizoee sana Jaji Mfawidhi unaiona hii Toto jinga inaniletea mazoea?
Dah, am sorry sikuona hii, dah haya turudi kwenye issue kubwa kwa sasa ni kitabu na kijitabi, najiuliza mpaka leo kama "nanii ni kijitabu tu"Usinizoee sana Jaji Mfawidhi unaiona hii Toto jinga inaniletea mazoea?
Hio Toto jinga inaniletea mazoea humu Jf inaniona Mimi Babu yake,Dah, am sorry sikuona hii, dah haya turudi kwenye issue kubwa kwa sasa ni kitabu na kijitabi, najiuliza mpaka leo kama "nanii ni kijitabu tu"
Hii mbona nashindwa kuipata ? Inadownloadiwa wapi?Download na sikiliza mantras of Lord Hanuman. Utanishukuru baadae. Utasahau kila kitu ndani ya siku tatu tu
Nielekeze naipataje hii mkuuDownload na sikiliza mantras of Lord Hanuman. Utanishukuru baadae. Utasahau kila kitu ndani ya siku tatu tu
😁[emoji38][emoji38]
Check na you tube kakaNielekeze naipataje hii mkuu
Pole sana yote yatapita na utakuwa poa tu najua ulivyo kwa sasa maana mapenzi yanauma balaaa.Napitia kipindi kigumu mno wiki hii nimepigwa kibuti, hapa nina mawazo ya kutosha, mpaka sasa sijalala na tangu niachwe nalala masaa mawili tu .
Najipa muda najua yatapita, nimesoma uzi wote mwanzo mpaka mwisho nashukuru nimepata kitu.
Pole dear, but time's a great healer, utakua sawa tuNapitia kipindi kigumu mno wiki hii nimepigwa kibuti, hapa nina mawazo ya kutosha, mpaka sasa sijalala na tangu niachwe nalala masaa mawili tu .
Najipa muda najua yatapita, nimesoma uzi wote mwanzo mpaka mwisho nashukuru nimepata kitu.
Pole mkuu, but we have to move on, maisha mengine lazima yaendeleeI wish I could be with Her Again
Mimi nadeal na huduma za kifedha hizo za sex tena duh hapana, maumivu yameshaisha namshukuru Mungufinancial services kwamba unataka kutuhakikishia sahivi usharudisha huduma za kawaida(sex) baada ya kuzisimamisha kwa kipindi kirefu cha maumivu ya kuachwa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Duh ahsante mkuuFikiria ubaya wake wowote halafu ukuze mara 1000 ukishindwa limbwata ulipewa
Usiombe yakukute min you, utaelewaDah ivi mnawezaje kuwa na upendo mpaka mtu unafikia hatua hiyo[emoji848][emoji848]