Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Dah, am sorry sikuona hii, dah haya turudi kwenye issue kubwa kwa sasa ni kitabu na kijitabi, najiuliza mpaka leo kama "nanii ni kijitabu tu"
Hio Toto jinga inaniletea mazoea humu Jf inaniona Mimi Babu yake,
 
Choma vitu vyake alivokununulia kama simu,gari nyumba ili uweze kumsahau na kufuta kumbukumbu yake.
 
Napitia kipindi kigumu mno wiki hii nimepigwa kibuti, hapa nina mawazo ya kutosha, mpaka sasa sijalala na tangu niachwe nalala masaa mawili tu .
Najipa muda najua yatapita, nimesoma uzi wote mwanzo mpaka mwisho nashukuru nimepata kitu.
Pole sana yote yatapita na utakuwa poa tu najua ulivyo kwa sasa maana mapenzi yanauma balaaa.
 
Back
Top Bottom