Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Kwa wanawake huwa inawauma zaidi sababu Hana uwezo wa kumpata kama huyo aliyekuwa nae au kumzidi , hasa kama mwanaume ana muonekano mzur alaf anajiweza , mana wewe inategemea ufatwe sasa wa kukufata kama yeye siyo rahsi kuwapata , akikuacha utalia na kusaga meno , Kwa wanaume ni rahsi kupata best replacement , cha msingi uwe unajiweza kiuchumi
 
Kwa wanawake huwa inawauma zaidi sababu Hana uwezo wa kumpata kama huyo aliyekuwa nae au kumzidi , hasa kama mwanaume ana muonekano mzur alaf anajiweza , mana wewe inategemea ufatwe sasa wa kukufata kama yeye siyo rahsi kuwapata , akikuacha utalia na kusaga meno , Kwa wanaume ni rahsi kupata best replacement , cha msingi uwe unajiweza kiuchumi
Inaweza kuwa kweli japo kwa wadada pia wanaweza kufuatwa na watu zaidi ya huyo ila tu kinachoumiza ni zile memories and good moments you had together
 
Bro hata kama hatufahamiani in reality lakini siyo busara kumtukana mtu hivi. Have some class.
Ukweli mchungu but that's how it's inabidi uupokee km ulivyo sometimes Maisha yanatoa payback ambazo hukuzitarajia Ila inakupasa uzipokee tu
 
Stress na njaa ni janga kwa vijana wengi jobless tz kwa sasa.
Hahahahaha who told you? Wewe nawe ungana nae mkagongwe mje kujiliza Jf, nimekupa ulichokifuata ukini-quote ukatema pumba nakumwagia mashudu let's go

OMG I like Jf it's very funny
Hahaha!
 
Back
Top Bottom