stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Ilikuaje na wewe ulifanyajwe?Aisee staki kukumbuka kbs [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Shetani alikua anachukua notice ulivyokua unapewa lecture?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuaje na wewe ulifanyajwe?Aisee staki kukumbuka kbs [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Yawezekana kiswahili ni kigumu ila jaribu kutokutumia lugha ya kebehi na kubezaMadam hilo si tusi show me nilipotukana ni wapi au Kiswahili kigumu?
It's just a Joke not bad mouthing elewa kwanza
Yes I understand Ila ukijibu pumba na wewe jiandae kujibiwa mashudu ukiona wapi umejibu vizuri ukajibiwa vibaya? Soma comments vizuri utagundua tatizo ni nini yupo stressed tunamshauri vizuri anafimbisha mashavuYawezekana kiswahili ni kigumu ila jaribu kutokutumia lugha ya kebehi na kubeza
Huwezi jua mtu anapitia Nini,
Heshima ni kitu cha bure .
Ndio wanaume wa kwenye mitandao walivyo asilimia kubwa ni bullies sana yaani. Mtu anambully mtu asiyemjua mpaka unajiuliza hupati majibu sijuu ni stress au ubehind keyboard unampa nguvu.Bro hata kama hatufahamiani in reality lakini siyo busara kumtukana mtu hivi. Have some class.
Hahahahaha who told you? Wewe nawe ungana nae mkagongwe mje kujiliza Jf, nimekupa ulichokifuata ukini-quote ukatema pumba nakumwagia mashudu let's go
OMG I like Jf it's very funny
Hahaha!
Sawa Mkuu,Yes I understand Ila ukijibu pumba na wewe jiandae kujibiwa mashudu ukiona wapi umejibu vizuri ukajibiwa vibaya? Soma comments vizuri utagundua tatizo ni nini yupo stressed tunamshauri vizuri anafimbisha mashavu
Tuliza ubongo kwanza mapenzi yasikuendeshe hivo mkuuHapana sikuzaliwa naye mkuu, ila nilikua nampenda sana😪😪
Yaani uombe mrudiane na haujui nani ndio sababu kuu ya kuvunja mahusiano mkuuUnasema ulidhani atarudi...
Kwa nini wewe usimuendee ukamwambia vile unampenda ukamuomba mrudiane?
Muda mwingine mtu anakuwa anaogopa akija kwako kuomba kurudi ukikataa atafedheheka.
Kwa hiyo huenda hata yeye anakuwaza huko.
Uliacha kula kwa sababu ya mtoto wa kikeNilishawahi kupitia hiyo hali. Acha kabisa.
Kula huli chakula kikashuka, halafu kila saa yupo kwenye mawazo yako. Kila ukiwaza ni yeye.
Kula chuma hicho
Wewe ni nani wa kuniuliza hilo swali la kipuuzi si Bora ule buyu Mzee utapungukiwa nini who told you I'm jobless huna point au unabwatu tu?
Usinifananishe na mumeo au yule bwanako aliekutema baada ya kukugonga sana
Nyamaza sasa usilie sana, tutashindwa kukubembeleza.Aisee staki kukumbuka kbs [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Njoo nilikulishe wewe na ukoo wako, dogo acha kuparamia watu mitandaoni utaangukia pabaya bonyeza IGNORE pita kushoto mboni ni simple tuNjaa na Stress dogo tu hizi.
Njoo nilikulishe wewe na ukoo wako, dogo acha kuparamia watu mitandaoni utaangukia pabaya bonyeza IGNORE pita kushoto mboni ni simple tu
Scumbag stay far from me, tafuta kazi kufanya sio kujibizana na mimiBado hujastuka dogo?
🤣🤣🤣🤣Ukigongwa wewe kwa niaba inatosha mkuu
That's the pointLearn to love yourself
Scumbag stay far from me, tafuta kazi kufanya sio kujibizana na mimi
Usinizoee sana Jaji Mfawidhi unaiona hii Toto jinga inaniletea mazoea?Dogo ukikua utaacha tu.