financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
- Thread starter
- #701
Ahsante, usiku mwema piaOk,sawa! Usiku mwema kama upo 45 East
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante, usiku mwema piaOk,sawa! Usiku mwema kama upo 45 East
Asante.Ahsante, usiku mwema pia
Kwenye mpira wa miguu,Kuna kushindwa,kushinda au kutoka sare.Habari wakuu.
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu EX mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii.
Nifanye nini wakuu?😪😪
Kwahiyo jimbo lipo waziNow niko sawa kabisa maisha yanaendelea mkuu
Ni kweli mkuu, japo kukubaliana na ukweli ndiyo ngumu ila am ok nowKwenye mpira wa miguu,Kuna kushindwa,kushinda au kutoka sare.
Unataka utambae na beat sioKwahiyo jimbo lipo wazi
Pisi kali hii bila mtu wa kumfariji akiwa na mawazo anaweza kuchukua maamuzi magumuUnataka utambae na beat sio
Hata mlango hamna kabisaKwahiyo jimbo lipo wazi
Tutapitia hata juu hatuna masiharaHata mlango hamna kabisa
😀😀 kweli mmepaniaTutapitia hata juu hatuna masihara
Lazima uwekwe kwenye himaya salama ili usikutane na wazee wa kimasikhara.[emoji3][emoji3] kweli mmepania
Sawa sawa Mr. Plan Master😀 na yako pia ni mikono salama au wale wale tu?Lazima uwekwe kwenye himaya salama ili usikutane na wazee wa kimasikhara.
Hapana mimi ni mikono salama ndomaana nipo bado nawinda wa kumuhifadhi kwenye hii mikono salama.Sawa sawa Mr. Plan Master[emoji3] na yako pia ni mikono salama au wale wale tu?
Bidhaa sokoni zipo nyingi,Rudi sokoni utapata mpya yenye ubora zaidi.Ni kweli mkuu, japo kukubaliana na ukweli ndiyo ngumu ila am ok now
Sokoni 😀 haya ahsante mkuuBidhaa sokoni zipo nyingi,Rudi sokoni utapata mpya yenye ubora zaidi.
Nisije kulia zaidi ya mwanzo😀Hapana mimi ni mikono salama ndomaana nipo bado nawinda wa kumuhifadhi kwenye hii mikono salama.