Hii ni quick solution mzee baba! π ila tatizo atapenda tena hapo af sehemu haiko serious!I understand, it takes time hata kuipata replacement yenyewe, lakini wakati mwingine tatizo huondolewa na tatizo.
Na hizi ndio huumiza wala hata sio upendo! Zile outing za KFC ndio zinatesaga ubongo na zawadi za chupi πππ na hela za shopping! Utampata mwengine tu lakini mama ndio ukubwa huo...ile time umezoea simu yake kuita ikifika dah mwiba unachokora roho machozi nayo hayaa!!!Ni kweli dear kiuhalisia ni ngumu mno kutokana na mazoea na good moments you had together
Sawa una lingine?Mpendwa kuna mkamilifu kwenye mahusiano kila mmoja ana mapungufu yake tunavumiliana
Hapana nduguSawa una lingine?
Ukipata mwingine utamsahau. Baada ya kusema hayo nakushauri chukua hatua na Fanya juhudi upate mwingine kama ulivyompata yeye.Habari wakuu!
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuuπͺπͺ
ha ha ha, serious relations siku hizi ni bahati tu, unaingia ikitiki unaenjoy, ikibuma unakung'uta vumbi life goes on.Hii ni quick solution mzee baba! π ila tatizo atapenda tena hapo af sehemu haiko serious!
Ni muda gan umepita mkuu,Ahsante japo kwa mda uliopita still bado ni kama jana tuπ€·ββοΈ
Aisee, wee acha tu! Inakwenda na kurudi hata baada ya miaka 40 au 50, believe me!Ahsante japo kwa mda uliopita still bado ni kama jana tuπ€·ββοΈ
Kama hajamove on replacement sio solution lazima aheal kwanza!Ajitathmini au atavuruga zaidi!Replacement...
Replacement...
Replacement my best.
Ndo ivo! Mbususu imetandikwa na mwana kalala mbele![emoji1787][emoji1787] na ujanja wote huo!
Pole lakini ila ha ha! Ila hehe..[emoji16]
Mambo girlAs time goes,,utamsahau tu.
Duh! Kwahiyo mkuu uko singo???Hahaha time is the best healer. Ila wewe inaonesha unajiendekeza shoo.... Ukikubali kutokea kwenye uvungu wa moyo wako kwamba he's no longer yours hakika utamsahau.
Mimi ilikuwa nikiona Brevis tu moyo unapiga paaa, asubuhi nikienda mishe mishe lazima nipite njia inayopita kazini kwake + anapoishi. Can you imagine that faken situation i had? Ila nilijiruhusu kumsahau and now I'm all good. Hata nikimkumbuka ni kwa uzuri sio kama zamani nikimkumbuka nakabwa kooni na uchungu. π
Dawa ni kuja kwangu tu upumzike, "is the only way" mkuu[emoji7][emoji7]Habari wakuu!
Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu x mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.
Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii. Nifanye nini wakuu[emoji25][emoji25]
Ndo uje huku mimi nikutulize, usahau machungu mkuu, utakua umebadili mazingira na replacement imepatikana, pole sana mkuuAhsante mkuu
Muda wote huo mkuu nami nipo hujawahi kunijia hata pm?? Kama vile mie sio mwanao damu damu milele, you can't be serious boss. Get sorMwaka sasa