financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
- Thread starter
- #21
Ahsante mkuubadili mazingira, muda haumua kuponya taratibu na kila kitu kitakaa sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mkuubadili mazingira, muda haumua kuponya taratibu na kila kitu kitakaa sawa.
Huwa sio rahisi .Kwanini unashindwa kumsahau, kwan umezaliwa nae?
Tafuta mwanaume mwingine
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Usitumie nguvu nyingi kumsahau..Thank you mkuu and i tried several times but nashindwa. Ntajitahidi zaidi👏
Unasema ulidhani atarudi...Ahsante japo kwa mda uliopita still bado ni kama jana tu🤷♂️
Ungekuwa mwanaume ningekushauri kupiga vyombo na kuzichakata papuchi. Ila kwakuwa wewe ni Mwanamke nimekosa ushauri.Hapana sikuzaliwa naye mkuu, ila nilikua nampenda sana[emoji25][emoji25]
Aah mimi nimelia sana na ndiyo kwanza mwenzangu ni kama anafurahia kuumia kwangu. I hope siku ntakua sawa tu.👏Usitumie nguvu nyingi kumsahau..
Kwa sababu kwa kufanya hivyo itakufanya uzidi kumkumbuka..
Ishi maisha ya kawaida huku ukijipa thamani zaidi na kujipenda..
Muda huponya kila kitu..
I've been there..😂😂 sikuwahi kufikiri kutoa machozi kwa ajili ya mtoto wa mtu, but i did..
Lakini leo, hata aje ajitolee mahari siwezi mchukua kama mke wangu.
Plot twist... hivi Maxence bado yupo selo?Simple tu ingia kune mahusiano mengine,eventually utamsahau
Ni kweli dear kiuhalisia ni ngumu mno kutokana na mazoea na good moments you had togetherHuwa sio rahisi .
Mda gan umepita since muachaneNi kweli dear kiuhalisia ni ngumu mno kutokana na mazoea na good moments you had together
Idk ataPlot twist... hivi Maxence bado yupo selo?
First born [emoji31][emoji4]Aah mimi nimelia sana na ndiyo kwanza mwenzangu ni kama anafurahia kuumia kwangu. I hope siku ntakua sawa tu.[emoji122]
I understand, it takes time hata kuipata replacement yenyewe, lakini wakati mwingine tatizo huondolewa na tatizo.Sawa Jaiter ila....😪😪😪
Aah siwezi mwambia itakua kama namlazimisha hivi nilidhani mwenyewe tu kama kweli na upendo kwangu angeweza kurudi.🙄Unasema ukudhani atarudi...
Kwa nini wewe usimuendee ukamwambia vile unampenda ukamuomba mrudiane?
Muda mwingine mtu anakuwa anaogopa akija kwako kuomba kurudi ukikataa atafedheheka.
Kwa hiyo huenda hata yeye anakuwaza huko.
Kwa sisi waschana ni chap tu mana tunatongozwa daily...I understand, it takes time hata kuipata replacement yenyewe, lakini wakati mwingine tatizo huondolewa na tatizo.
[emoji1][emoji1][emoji1] mtu analeta msala kwenye msala ...I understand, it takes time hata kuipata replacement yenyewe, lakini wakati mwingine tatizo huondolewa na tatizo.
Acha kuonyesha unyonge wako kwake..Aah mimi nimelia sana na ndiyo kwanza mwenzangu ni kama anafurahia kuumia kwangu. I hope siku ntakua sawa tu.👏
Mwaka sasaMda gan umepita since muachane
Yeye ana uhakika gani kama unampenda kiasi hicho?Aah siwezi mwambia itakua kama namlazimisha hivi nilidhani mwenyewe tu kama kweli na upendo kwangu angeweza kurudi.🙄