Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Sasa my darling financial services , ungekuwa unapitia changamoto kama ya kwangu, ungepata maumivu ya kiasi gani?

Mimi rafiki yako nimempoteza mke wa ndoa! Tena alikuwa ni wife material kweli kweli! Ameniachia watoto 2! Mwaka wa pili huu, hata sijielewi! Nimeshindwa kabisa ku move on!

Ilikuwa haiwezi kupita siku bila kuwasiliana nae! Leo ni mwaka wa pili huu, siwezi kuisikia sauti yake! Siwezi kumuona tena! Familia imeparanganyika!

Natamani kumpata wife material wa kiwango chake, simuoni! Wachache niliokutana nao, naona hawakidhi vigezo!! Kwa upande wako unatakiwa kumshukuru Mungu! Maana inawezekana ulimpenda tu, ila yeye hakukupenda kwa kiwango kile kile!
Sad pole sana rafiki/babe hakika mtihani wako ni mgumu siuwezi😪 na tumshukuru Mungu kama umevuka salama, polee
 
Kumbe JF tumo wengi na mimi huku kuna binti kaniacha aisee, ni miezi miwili sasa imepita yy kaishaendelea na maisha yake ila bado najitahidi kumsahau ila wp najikuta tu nimeshaanza kumtumia txt namkubusha ahadi yetu namkumbusha mwanzo wetu, lkn kinachonisikitisha sana ndiye bnti wa kwanza kudate na mimi katika maisha yangu, nasikia yeye ashagaolewa ila mimi bado nakazana tu yaan nimekuwa kama vile siamini...ile mood nilokuwa nayo ya kufanya mazoezi kila day nayonahis imeniacha yaani mambo yamekuwa zig zag, nilikuwa ninauwezo wa kupiga push ups 60 siku hizi nashindwa ata 20 yaani kiujumla nimedhoofika
Kwa hiyo dada hauko pekee yako cha kufanya chukua hii namba yangu 0694094773 tusaidiane kujifariji maake nimeingia JF kutafta ushauri japokuwa sijapost kitu ila nilikuwa naimani nitakutana na wa2 wenye hali kama niliyopo mimi. Ila dada pole amini yote yatapita, utazishinda hisia
Pole kwa unayopitia ila nimecheka sana.
 
Kuna vitu ukiweza Kufikiria utaweza kuanza kumove-on taratibu na hatimaye kurejea normal.

1. Chukulia kwamba pengine kuna kitu umeepushwa nacho.

2. Pia weka imani yupo wa kwako mahususi uliyepangiwa kuwa nae.

3.Pia amini hakuna kilichobora kilichoondoka mikononi mwako, kipo bora zaidi kitakuja.

Ukijaribu kuyaweka hayo akilini naamini utavuka salama tu hiki kipindi.
Ahsante sana mkuu, nimeona inasaidia kuupooza moyo 👍
 
Kumbe JF tumo wengi na mimi huku kuna binti kaniacha aisee, ni miezi miwili sasa imepita yy kaishaendelea na maisha yake ila bado najitahidi kumsahau ila wp najikuta tu nimeshaanza kumtumia txt namkubusha ahadi yetu namkumbusha mwanzo wetu, lkn kinachonisikitisha sana ndiye bnti wa kwanza kudate na mimi katika maisha yangu, nasikia yeye ashagaolewa ila mimi bado nakazana tu yaan nimekuwa kama vile siamini...ile mood nilokuwa nayo ya kufanya mazoezi kila day nayonahis imeniacha yaani mambo yamekuwa zig zag, nilikuwa ninauwezo wa kupiga push ups 60 siku hizi nashindwa ata 20 yaani kiujumla nimedhoofika
Kwa hiyo dada hauko pekee yako cha kufanya chukua hii namba yangu 0694094773 tusaidiane kujifariji maake nimeingia JF kutafta ushauri japokuwa sijapost kitu ila nilikuwa naimani nitakutana na wa2 wenye hali kama niliyopo mimi. Ila dada pole amini yote yatapita, utazishinda hisia
I feel your Pain,nami napitia ilo ilo yan sema mimi ndo na siku tatu nimeachwa
 
I feel your Pain,nami napitia ilo ilo yan sema mimi ndo na siku tatu nimeachwa
Tufanyeje mzee maake huku nimeshapewa ushauri wa kutosha ila mm bado tu na nikachota na app ya jf lkn bado mziki nacheza ule ule, nimesoma inspiration na motivation za budhist zimenipa hauweni. Ila donda nihisi litaoza na kushindwa kukauka yaani basi tu
 
Nijibu haya maswali
1.huyo muhusika yumo humu Jf?
2.sababu za kuachana ni nin?
3.ulishawahi kukaa nae chini mkaongea kuhusu kupeana second chance au unasubiri yeye ndio akuanze?
4.unadhani kwa sasa bado yuko single kwa huo mwaka mzima mlioachana?
5.kipi special kinachokufanya uendelee kumuwaza?(alikuwa anakugegeda vizuri tu au alikuwa ni mtu anaekusadia matatizo yako pindi unapokuwa na shida)
Huyo muhusika wala hayupo humu, sababu zakuachana kiukweli ni just Petty things,kama wivu(mimi) na long distance relationship kiasi ingawa tulikua tukitembeleana nk.

Tumekaa chini na kuongelea kuhusu kupeana chance nyingine ila ilishindikana na mwenzangu akawa ameshapata mahusiano mengine.

I just loved him so much na si kwamba alikua ananipa chochote, basi tu nilimpenda jinsi alivo na niliona naye ananipenda nilivo.ila alikua na sauti nzuri kuubwa dah😫
 
Huyo muhusika wala hayupo humu, sababu zakuachana kiukweli ni just Petty things,kama wivu(mimi) na long distance relationship kiasi ingawa tulikua tukitembeleana nk.

Tumekaa chini na kuongelea kuhusu kupeana chance nyingine ila ilishindikana na mwenzangu akawa ameshapata mahusiano mengine.

I just loved him so much na si kwamba alikua ananipa chochote, basi tu nilimpenda jinsi alivo na niliona naye ananipenda nilivo.ila alikua na sauti nzuri kuubwa dah[emoji31]
Usilie sasa utatuliza na sisi[emoji24][emoji24][emoji1784][emoji1784]
 
Unapoteza muda wako bure, kama mtu haswa mwanamme kakuacha ni kwa sababu kakuona haufai maishani mwake na ndiyo maana hakufikirii. Don't force yourself kwenye mahusiano mengine ya haraka, kaa chini na ujifikirie nini tatizo. Usihofu keep yoursef busy, Yes - it will take time lakini utafika tu na kuna uwezekano utapata mtu wako sahihi atakayekupenda na mapungufu yako.
Ahsante sana mkuu, ila hapo kaniona sifai aargh mkuki moyoni😪
 
Moyo wa mtu kichaka, you loved him more, he loved you less. Hii ni kawaida kwenye mapenzi, just move on for now.

You thought he's the one, but him was just passing by, hii ni kawaida sana
Kweli nimeamini moyo una siri kubwa maana nilivyokua namchukulia kama mtu muhimu maishani mwangu😪
 
Back
Top Bottom