Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Haya mambo hayana mwenyewe hata ww.😀😀😂Ni suala la muda tu, utapenda tena. Kama mimi nimependa tena basi naamini kila mtu anaweza kupenda tena aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo hayana mwenyewe hata ww.😀😀😂Ni suala la muda tu, utapenda tena. Kama mimi nimependa tena basi naamini kila mtu anaweza kupenda tena aisee.
Ahsante sana nkamu, nimeanza kuachilia na kukubaliana na matokeo kwamba he wasn't mean for me😪USIJARIBU nkamu
Haya mambo moyo upo kwa A, unaenda kujilazimisha kuwa na B: ni kujitesa nafsi yako na kumtesa huyo B ambaye possibly ana pure intention kwako. Na kama hujamtoa mtu kwenye nafsi yako; ni ngumu sana hata kuona na kukubali upendo unaonyeshwa na wengine huku nje. Huwezi kuendelea na mahusiano mengine au maisha yako tu kwa sababu utakuwa bado una matumaini kuwa fulani atarudi. Muachilie nafsini mwako, amini kuwa hakuwa wako.
Ahsante !naanza kujifunza kuishi bila yeye, nimekubali matokeoHiii unaweza kukusaidia kumove on.
Sikia,
Kumkumbuka ex sio kuwa hujamove on aiseeh.
Unamkumbuka kwa kuwa yupo maisha uliwa kuwa nayo pamoja nae.
Hii inatosha kabisa kutomsahau.
Kutokumove on ni pale, bado unamtamani, bado unaumia kumuona ana mahusiano mengine, bado unamfuatilia issue zake.
Lakini kumkumbuka tu nimetoka kitu mutual mlifanya ndo uone hujamove on.
Relax, huwa inaenda na muda.
Kikubwa ishi mama, katika kuishi unaona maisha yalivyo bado yana furaha na yanahitaji kuyafurahia kuliko kuumia na vilivyokwisha pita.
Ila, nakuelewa.
Pole mkuu hadi nimecheka hiyo "thawa sweetheart "😄alinitumia text whatsapp "mpenzi kukweli nmejitahid sana ila naona sina hisia za kimapenz na ww".
baada ya muda kidogo akaweka clip status jamaake mpya anamfundisha kuendesha gari nikawa nasikia "baby siku 3 mbele ntakuachia uwe unaendesha mwenyew unaonekana una kichwa chepesi" demu wangu akajibu kwa madeko huku akikanyaga mafuta "thawa sweetheart"
sikilizia ayo maumivu.
Pure intentions have no selfish motives. One cares much about how she/he makes you feel; she/he gives her/his all to you.And how do you know that? I mean differentiating impurity intentions.
Hee katoto hii yako ni hatari! Nitakua busy kufumania😪Kuwa na malaya ndio utamsahau kwa maana utakuwa upo busy ukifumania
Not at all.....Extremely scary!
Mkuu am serious kama unahisi kuna kitu kitanisaidia niambie tu am ready ili mradi kiwe ni halali na kinachofuata maadili yetuUna uhakika nikikwambia cha kufanya utakifanya kweli mkuu ili uweze kuondokana na hizo moments & memories kuhusu huyo Ex wako?
Kandamizia na maombi nkamu; cut all the soul ties formed between you two, and renounce the covenants you made.Ahsante sana nkamu, nimeanza kuachilia na kukubaliana na matokeo kwamba he wasn't mean for me[emoji25]
Ni kweli huwa nafatilia na nadhani ndiyo kinachonikumbusha na kuumiza zaidi sirudii maana namuona tu anapendeza huku mimi nikichakaa sana tu😒Bado unamchunguza sana mpaka unajua kuwa ananenepa. Na nakuhakikishia kama unaendelea kumfatilia utaendelea kuumia mwisho ukaribishe maradhi mengine.
Amen ahsante sana ntafanya hivo🙏Kandamizia na maombi nkamu, cut all the soul ties formed between you two, and renounce the covenants you made.
Likija kupita hili; kuna siku utakumbuka halafu utatamani hadi ujipige kofi kwamba ulikuwa unachanganyikiwa nini
Dah hongera kwa kumove on mkuu, huyo dada alichezea bahati mwenyewe sahivi angekua ndiye mother house badala ya kuomba kibarua hapoMkuu umenikumbusha jinsi nilivyo mpenda mrembo huko kijijini nilimpenda sana kupitiliza,sku moja mama yeke mzazi akaugua ilibidi niuze baisekeli yangu ili mama yake akatibiwe lakini niliachwa kisa umasikini nilikonda kabisa,nika amua kukimbilia mjini tukapotezana kabisa miaka ikasonga,ili nichukua mda sana kumsahau,baada ya miaka kadhaa kupita nikaenda kijijni msibani akaniona eti akajiliza umenenepa umependeza mara nisamehe turudiane nikawa na mcheki tu,baada ya msiba kuisha nikaanzisha na ujenzi kabisa hapo nyumbani ujenzi ukaenda halaka,akaja kuomba kibarua cha kusaidia mafundi nikamwambia aongee na fundi mm si husiki akawa ananisema eti nimepata pesa kidogo nimeaanza kuringa,nikawa namshangaa tu wakati huo namona sio saiz yangu tena maana alikua amepigwa na maisha amechoka,ila namshukuru asinge niacha ningekua bado kijijini mpaka leo.
Ni mahusiano tu ya kawaida boyfriend n girlfriend hatukufikia hatua ya uchumba hata ila ni vile nilikua nampenda sana naona zile good memories zinanisumbua . Ila najitahidi kutoka hukoPole Sana.
Mambo gani yanakufanya ushindwe kumtoa kichwani????
Je,umezaa naye?
Umejenga naye?
Alishakutolea mahari? n.k
Ni Heri uchumba uliovunjika kuliko ndoa mbovu.
Uchumba siyo ndoa,lolote linaweza kutokea.
Mapenzi ya kweli hayalazimishwi.
Mshukuru Mungu kwa yote na muombe akusaidie kuendelea mbele.
Kufikiria Sana hakutatatua tatizo lako.
Ahsante sana, najikeep busy tu sitaki kumsumbua tena kwa namna yoyoteNyamaza kimya kabisa, usimtafute wala usimbembeleze, akiona kimya ataanza kujisexisha arudi. Be careful he might hurt you twice as much ukimpa nafasi ya pili. Mtu akishakuonyesha hakutaki mwache aende anakotaka, usimzuie. Mapenzi ni hiyari. Amini kuwa atakuja mwingine
😂 mi sitaki kuona zake from now! Ahsante mkuuKama bado unaweza kuona status zake na ye anaona zako jipe muda kula unenepe msambwanda uongezeke,wanaume wakiona unapendeza baada ya break up roho huwa zinawauma,ukishapendeza tupia pamba jipost status,wee sikilizia balaa lake!atakusaka mwenyewe na we usikubali kurudi kwake tena!
Akishakutafuta hapo tayari utapata ujasiri wa kumove on as utajua kumbe jamaa bado anakuelewa,hii nimeona kwa wengi imewasaidia!
Yeah nilitaka watu wengine pia washee walivowahi kupitia situations kama hiyo, ila si mbayaKama nmekusoma hv mtoa mada aliandika heading hyo na watu wengine watoe visa ila kisa chake ndo kinazungumziwa mwa-mwi
Mmmhhh....kitambo sana sijakuonaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nipoo
Pole mwaya, huend mngefika mbali ila ni mipango ya Mungu tuHapana, alifariki.
Huyo muhusika wala hayupo humu, sababu zakuachana kiukweli ni just Petty things,kama wivu(mimi) na long distance relationship kiasi ingawa tulikua tukitembeleana nk.
Tumekaa chini na kuongelea kuhusu kupeana chance nyingine ila ilishindikana na mwenzangu akawa ameshapata mahusiano mengine.
I just loved him so much na si kwamba alikua ananipa chochote, basi tu nilimpenda jinsi alivo na niliona naye ananipenda nilivo.ila alikua na sauti nzuri kuubwa dah[emoji31]
Amen my trust is in him🙏When someone walks out of your life believe that God is making room for someone better to walk in