Jinsi gani ya kukabiliana na wizi/utapeli unaotokana na kusemeshwa na kupumbazwa na mtu usiyemjua?

Nishakutana nao wengi tu kariakoo, ubungo, karume

Tatizo walinishindwa mimi kwetu "chief" sasa utamloga vipi chifu[emoji2]
 
Nishakutana na kesi nyingi sana za hawa watu lakini mimi sijabahatika kukutana nao
Huwa natamani sana kukutana nao

Katika mara kadhaa maeneo ya magomeni/kkoo nikiwa katika mishe zangu
from nowhere mtu anatokea,
Anakusalimia/anakuulizia sehem. Wengine ni vijana wengine ni wazee

Salam huwa nawajibu kwa kuinua kichwa
Au nakataa kwa kutikisa kichwa
Then nikitembea hatua tatu nageuka nyuma kumuangalia, naishia kucheka tu

Wengine wanakufata uliposima, wanjiongelesha ili utoe reply, kwanza uwa navimba alafu nawaangalia kwa Shari Shari
Mara nyingi huwa sitpi jibu alafu naangalia pembeni/ au natoka pale niliposimama
Huku nikimuangalia

Ila watu wengine najikuta najibu salam zao ata kuwaelekeza, huwa nawapa ushirikiano mzuri tu

Nahisi ni machale ya mtu
Sisi wengine tumezaliwa na mizimu yetu pia. Hatugusiki[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hamna jini wala nini, watu tamaa na ujinga ndo vinawaponza!
Mkuu unaonekana ww mgeni wahaya mambo labda yakukute ila hawa wana wanatumia mapepo na maagano yao walio ekeana kinyume na hapo hakuna mtu mjinga anaekubali kutoa pesa, simu, Atm card kwa hiyari na mtu humjui kisa kakusalimia. Nipepo linakuingia na unakuwa siww naanakutoa eneo latukio than anarudi kwa mmiliki wake baada ya kufanikisha zoezi.
 
Ni madawa.uwa wanatafuna Kama BIG G.hapo akili anakupumbaza hata mbele hauoni vizuri na kichwa kitaanza kukuuma.
Kuna boda boda alichukuliwa bagamoyo akapelekwa mlimani city kuibiwa .kuamka boda imekwenda na hela hanaa
 
[emoji16][emoji16] Yani kama ulikuwepo, huo mchezo wa namba ndio ulinilizaga Mimi. Sina hamu mpk leo nimejifunza, na sijui wanatumia dawa ata haieleweki, mana ata walivyonipokonya sikuwa na habari. Nimekuja kushtuka nimetoa Kila kitu, Sina ata nauli. Na sikuwaza kabisa km nachelewa natakiwa kwenda mkoani.
 
Msiwe mnapenda kuitikia tu kila mtu, wote tumekuja mjini hatujuani...

Huwa namchunia kila mtu anayetaka kuniuliza kwa sababu miaka kadhaa nyuma hao wapumbavu washawahi towesha mshahara wa ndugu yangu ukiwa nyumbani, ilihali kapumbazwa akiwa town kazini, pia walimchapa simu na vichenji chenji alivyokuwa kabeba kwenye wallet...

Mataccor kabisa hao watu
 
Dar sio kama kwenu tunduru sijui mbambabay kule,[emoji2]

We unadhani kwanini paliitwa "BONGO"

Dedication:

Bongo daresalaamu -Proj J FT jay dee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoooo.
Ila..... Au bas tyuuh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah wee ulikua unasafiri?
 
Suluhisho TUNAPOTOKA NYUMBANI KWENDA KWENYE MIHANGAIKO TUFANYE MAOMBI/DUA ILI MOLA MLEZI AKUKINGE na mabala hays yote...
 
Ni madawa.uwa wanatafuna Kama BIG G.hapo akili anakupumbaza hata mbele hauoni vizuri na kichwa kitaanza kukuuma.
Kuna boda boda alichukuliwa bagamoyo akapelekwa mlimani city kuibiwa .kuamka boda imekwenda na hela hanaa
Ndo hayohayo mapepo mkuu nishazunguka sana kwenye minada ya mifugo kuna mzee rafiki yangu sana huwa anatafuna mizizi na kumpiga kofi muuzaji hachomoi lazima anunue kwa bei anayotaka. Na mfugaji akili inamjia mnyama yuko kwenye Gari nikawa namdadisi nikajua mpaka chimbo anapoenda huko Kwa Babuu, ni Jini na hizo dawa maana baada ya mda lazima urudi ukarenew[emoji1787][emoji3]
 
yah hyo michezo ipo sana lakini ukiwa unafanyiwa huo mchezo lazma unakuwa unajiskia hali ya tofauti(uvutano wa nguvu 2 moja toa nyingne inakwambia usitoe)

sasa ukijiona upo kwenye hali hiyo haraka sana geza viatu vyako yani vya kushoto vaa kulia na kulia vaa kushoto mchezo unakuwa umeishia hapo na ndo maana huwezi kuskia mchezo huo kafanyiwa mtu aliyevaa sandalz au ndala asilani bali aliyevaa raba au viatu vya kudumbukiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…