Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Ignore. Ignore. Ignore tena. Akikufata sana piga yowe itia mwizi huyo.Usimsikilize anachoongea, usimtizame machoni
Mkuu unaonekana ww mgeni wahaya mambo labda yakukute ila hawa wana wanatumia mapepo na maagano yao walio ekeana kinyume na hapo hakuna mtu mjinga anaekubali kutoa pesa, simu, Atm card kwa hiyari na mtu humjui kisa kakusalimia. Nipepo linakuingia na unakuwa siww naanakutoa eneo latukio than anarudi kwa mmiliki wake baada ya kufanikisha zoezi.Hamna jini wala nini, watu tamaa na ujinga ndo vinawaponza!
Ila Dar nyoso sana mm ndomana nikiwa na hela sicheki na mtu kwenye daladala kabisa haswa pale Mlimani City ndo pabaya pale kuna rafiki yangu kipindi niko Advance mama ake alikuwa hawezi pirika ikitokea huwa anampa Card mwanae akatoe pesa za matumizi.
Ile kutoka tu pale mlimani City wana hawa hapa Salimia wakaanza story za nyota jamaa akawapa pesa alizotoa kwenye ATM na Simu fahamu zilimjia baada ya kufika kwamama yake kwao Full kilio asahau ile siku.
Ila hawa jamaa kwa haraka na fikra zinazonijia aidha wanatumia Jini au Dawa na haswa zaidi ni jini kitendo cha kuitikia inamaana ummempa ruksa jini akuvae na akutawale na akuamrishe na wengi wahanga niwanawake kuliko wanaume na haswa ukiwa mchafu, pombe na mtu wazinaa ni rahisi sana kufanikiwa kwao.
[emoji16][emoji16] Yani kama ulikuwepo, huo mchezo wa namba ndio ulinilizaga Mimi. Sina hamu mpk leo nimejifunza, na sijui wanatumia dawa ata haieleweki, mana ata walivyonipokonya sikuwa na habari. Nimekuja kushtuka nimetoa Kila kitu, Sina ata nauli. Na sikuwaza kabisa km nachelewa natakiwa kwenda mkoani.Siku ya kwanza nilikuwa nimetoka shule naingia mitaa ya mjini nakuta kuna watu wengi wamezunguka huku kuna screen za kutosha,mabegi makubwa,gari carina kama nne, simu utasema shop imehamia pale na yote kwa yote pesa ya kutosha ipo.
Inanadiwa kuwa wamepewa kibari na serikali hivyo wapo kisheria baada ya kuona mchezo wao unanufaisha zaidi wananchi. Kuna namba za bahati anazungusha kwa hela yoyote au kitu chochote ulichonacho na namba hiyo inawakilisha kitu fulani cha thamani. Ile sijakaa poa kuna mtu anashangilia carina kwa elfu 5,mara paa mwingine screen amebeba kwa saa aliyokuwa amevaa mkononi.
Nikaona hapa hapa leo narudi shulena na bab kubwa carina au kompyuta. Nikaweka kiswaswadu ikasoma elfu 20, akasema unaweka hii zawadi yako nikakubari ndio, ikasoma hakuna zawadi ah nilichoka. Nikaomba laini nikapewa nikajiondokea taaratibu hiyo wiki ilikuwa ngumu sana na ile simu ilikuwa ya rafiki yangu hadi tuligombana ila nilimficha ukweli na nilimdanganya simu imepotea kwenye daladala
Asantee, Ile michezo ya namba acha kabisa. Sikuwaza kama nachelewa usafiri eti [emoji849]Duuuuh poleeeeh sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoooo.Dar sio kama kwenu tunduru sijui mbambabay kule,[emoji2]
We unadhani kwanini paliitwa "BONGO"
Dedication:
Bongo daresalaamu -Proj J FT jay dee
Daaah poleee San mwayaa.Asantee, Ile michezo ya namba acha kabisa. Sikuwaza kama nachelewa usafiri eti [emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ignore. Ignore. Ignore tena. Akikufata sana piga yowe itia mwizi huyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah wee ulikua unasafiri?[emoji16][emoji16] Yani kama ulikuwepo, huo mchezo wa namba ndio ulinilizaga Mimi. Sina hamu mpk leo nimejifunza, na sijui wanatumia dawa ata haieleweki, mana ata walivyonipokonya sikuwa na habari. Nimekuja kushtuka nimetoa Kila kitu, Sina ata nauli. Na sikuwaza kabisa km nachelewa natakiwa kwenda mkoani.
Suluhisho TUNAPOTOKA NYUMBANI KWENDA KWENYE MIHANGAIKO TUFANYE MAOMBI/DUA ILI MOLA MLEZI AKUKINGE na mabala hays yote...Habari wakuu
Kwa muda mrefu nimekutana na kesi mbalimbali za watu kuibiwa kwa namna ya kupumbazwa akili ( hypnosis).
Unakutana na mtu anakusalimia, ukishaitikia tu ndo kosa lako[emoji51][emoji51] .. Unakuja kushtuka ulishampa simu, wengine huenda hata bank na kutoa hela na kuwapa hao matapeli.[emoji2365] imagine enzi niko sekondari kuna classmate yeye aliwapa mpaka mkanda wake wa kiunoni manzese pale[emoji16]
Binafsi sijawahi kukutwa na hayo maswaibu, ila najiuliza ni nini kinga ya watu kama hao au hii mbinu ina Apply kwa baadhi ya watu tu ?
Ndo hayohayo mapepo mkuu nishazunguka sana kwenye minada ya mifugo kuna mzee rafiki yangu sana huwa anatafuna mizizi na kumpiga kofi muuzaji hachomoi lazima anunue kwa bei anayotaka. Na mfugaji akili inamjia mnyama yuko kwenye Gari nikawa namdadisi nikajua mpaka chimbo anapoenda huko Kwa Babuu, ni Jini na hizo dawa maana baada ya mda lazima urudi ukarenew[emoji1787][emoji3]Ni madawa.uwa wanatafuna Kama BIG G.hapo akili anakupumbaza hata mbele hauoni vizuri na kichwa kitaanza kukuuma.
Kuna boda boda alichukuliwa bagamoyo akapelekwa mlimani city kuibiwa .kuamka boda imekwenda na hela hanaa
yah hyo michezo ipo sana lakini ukiwa unafanyiwa huo mchezo lazma unakuwa unajiskia hali ya tofauti(uvutano wa nguvu 2 moja toa nyingne inakwambia usitoe)Habari wakuu
Kwa muda mrefu nimekutana na kesi mbalimbali za watu kuibiwa kwa namna ya kupumbazwa akili ( hypnosis).
Unakutana na mtu anakusalimia, ukishaitikia tu ndo kosa lako[emoji51][emoji51] .. Unakuja kushtuka ulishampa simu, wengine huenda hata bank na kutoa hela na kuwapa hao matapeli.[emoji2365] imagine enzi niko sekondari kuna classmate yeye aliwapa mpaka mkanda wake wa kiunoni manzese pale[emoji16]
Binafsi sijawahi kukutwa na hayo maswaibu, ila najiuliza ni nini kinga ya watu kama hao au hii mbinu ina Apply kwa baadhi ya watu tu ?