Jinsi gani ya kukabiliana na wizi/utapeli unaotokana na kusemeshwa na kupumbazwa na mtu usiyemjua?

Ukikutana na mtu usie mjua halafu akakusemesha MPIGE KOFI KALI SANA.

Hiyo ndio formula
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka kwa saut
 
Kutapeliwa hakuna formula kabisa

unaweza kutapeliwa na mtu wako wa karibu, i.e ndugu jamaa ama marafiki

watu wasiokujua watatumia madawa kukupiga.

kuna mganga ashanisimulia jinsi watu wanavyoenda kwake kutafuta hizo dawa.

Hayo madawa huwa yanachanganywa na dawa za mvuto pamoja na kupewa mapepo maalum ya utambuzi na kupumbaza.

Madawa mengine makali wanayotoa ni ya kusahaulisha wadeni, kuua kesi mahakamani, n.k

hii dunia ni nzito sana sio kama tunavyoijua
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mshana Jr

Hebu liweke sawa hili swala kama hujawai lizungumzia,,, watu waelewe wanakwepaje...
 
Hebu fafanua vyema huo Ujinga wa Muathirika. Utakuwa umesadia wengi...!
Mkuu; Ndg. yangu, neno Ujinga (by Definition) ni Hali ya Mtu yeyote yule mimi au wewe kutokujua au kuwa na ufahamu kuhusu jambo fulani.
Kwa mantiki hiyo, kila mtu/binadamu ni MJINGA kubali-usikubali.
Kwa hiyo yule mtu muathirika-mtarajiwa ambaye hadi leo 02/04/2022 hajafahamu kwamba kuna watu wanaowalaghai watu kwa mtindo huo ni kwamba bado yeye ni mjinga hadi hapo atakapotanabahi na kufahamu kwamba.. "Aah, kumbe wapo watu wadanganyifu/matapeli wanaotumia njia ovu kuwaibia watu...." hapo sasa atakuwa sio mjinga tena katika jambo hilo. Atabaki kuwa mjinga kwa jambo jingine. Tuko pamoja BabaDesi?
 
Bro heshimu kazi za watu unatafuta mbinu ya kukwepa kutapeliwa ili sisi tukale wapi? Hamna mbinu mbinu ni moja tu utembee na boksa maana hata suruali utavuliwa tu ukikutana nao
 
Asante mkuu kwa tahadhari. Anayedharau huu ujumbe wako mwache abaki hivyo hivyo mpaka yamkute. Nimeshafunga kumsikiliza mtu nisiyemfahamu. Sasa hivi mtu yeyote anayetaka msaada kwangu wa kuuliza kitu chochote simsikilizi wameshawaharibia hata watu wema. Sina muda kabisa. Mwaka jana kuna mdada kanipumbaza mpaka nikaenda kutoa pesa benki tena kwa wakala badala ya ATM. Mambo ya kipumbavu kabisa. Sasa hivi wanahitaji msaada wa kutu chochote kwangu kabla sijajibu chochote nawakata jicho la hatari mpaka wanakimbia wenyewe!
 
Mjini shule sana yani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukijua hivyo mute mike ya sim yako,then endelea na ishu zako.
 
Aise hatari sana..one sunny day nikapigwa simu samsung galaxy s3 ya kupewa + kitochi cha itel+350+K + jinsi+t shirt mpya nlzonunua..nlibakiwa na nauli 500 ya kurudi home nlkuwa nimeitenga pamoja na kad ya benki...
25th september ...Sitasahau ila nlijifunza sana na imenisaidia kukwepa watu wanaokuja kwa style hio..
Yote tisa, kumi cha muhimu uhai,pesa zinatafutwa.
 
Nindi ujinga kusemeshwa na mtu usiyemfamu mjibu atumie goggle.
 

[emoji122] [emoji122] nothing can beat experience, yakishakukuta unakuwa kauzu bila wasiwasi
 

Ni kweli mkuu mara nyingi tamaa ndo msingi wa utapeli, lakini mara nyingine sio tamaa ni ustaarabu ule wa kiungwana ndo unatucost

Mfano mtu anaulizia wapi jirani kuna hospital, kitendo cha wewe kumjibu unakuja kushtukia baadaye ushaibiwa. Hapo hakukuwa na tamaa yoyote, ila ni kama kupumbazwa fulani ambako hauna ufafanuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…