Nina hofu sana ya kuibiwa kitu kinachoongeza umakini yani ata nikitoka bank huwa nacheki nyuma kama kuna mtu ananifatilia,yani kifupi sipendi ujinga wa kujeruhiwa au kuuliwa na pesa zangu!!
Hawa jamaa nahisi nshakutana nao sana…ila mm huwa najibu huku Nipo kasi..anaongea mm namwambia Hapana afu niko serious wakat mwingine najilaumu nahisi kama ni mtu mwenye uhitaji Kweli ila Ndio ivo najifariji na usemi wa dunia hii usimwamini mtu “The world is not safe any more”.
Kuna siku nimetoka ku-change hela posta natoka tuu kuna mzee ananipa mia 500 eti kichwa kina muuma nikamnunulie dawa Phamarcy!! Nikaona napigwa hapa yaani alikua kama amesimama na watu kuniona tu anaanza kunifata, nkajiuliza ina maana ni mm tu ndo naweza kumnunulia dawa wengne hawawezi?
Daah mm jib langu moja tu Hapana huku nasepa…siku ile Yani mda ote naangalia begi langu kama hela hazijapotea!!
Hawa jamaa nahisi nshakutana nao sana…ila mm huwa najibu huku Nipo kasi..anaongea mm namwambia Hapana afu niko serious wakat mwingine najilaumu nahisi kama ni mtu mwenye uhitaji Kweli ila Ndio ivo najifariji na usemi wa dunia hii usimwamini mtu “The world is not safe any more”.
Kuna siku nimetoka ku-change hela posta natoka tuu kuna mzee ananipa mia 500 eti kichwa kina muuma nikamnunulie dawa Phamarcy!! Nikaona napigwa hapa yaani alikua kama amesimama na watu kuniona tu anaanza kunifata, nkajiuliza ina maana ni mm tu ndo naweza kumnunulia dawa wengne hawawezi?
Daah mm jib langu moja tu Hapana huku nasepa…siku ile Yani mda ote naangalia begi langu kama hela hazijapotea!!