Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

FB_IMG_16087268480426601.jpg
 
Kwa unaowafaham wewe!.. kwaninaowafaham mimi baba Levo haingii hata robo. Classment wangu ilikua wakati wa likizo tukiwa safarini Behewa zima linamsikiliza yeye full vicheko mpaka watu wa mabehewa mengine wanasogea wajue watu wanafurahi nini.
Hivi kwanini kila kikundi cha watu lazima awepo extrovert mmoja mtundu mtundu na vichekesho sana
 
Introvert hua mnaweza vipi kudai pesa zenu..?? Kuna mtu hapa naogopa kumuambia. Bora nidaiwe kuliko kudai😀
Sikopeshi mtu siku hizi ambaye sijawahi mkopesha hata aje analia machozi...kudai naona kero na siwezagi.
Dada yangu wa damu tu ndo naweza kumkopesha kwa sababu on time bila kumkumbusha ananilipa.wengine wote ni big no nimekoma mimi na kujifunza
 
Sikopeshi mtu siku hizi ambaye sijawahi mkopesha hata aje analia machozi...kudai naona kero na siwezagi.
Dada yangu wa damu tu ndo naweza kumkopesha kwa sababu on time bila kumkumbusha ananilipa.wengine wote ni big no nimekoma mimi na kujifunza
Daah yaani nishapotezea vipesa vingi mm napenda tumalizane maana kudaiana hua naogopa. Kuna wakati kama namdai mtu nikimuona namkwepa asinione naona namkosesha amani.
 
Ila mimi kuna vibonde wangu nikiwakopa nawasumbua asse hadi wanajuta ila kuna wengine hapana
Kuna mpangaji wangu ananilipaga akitaka na wakati mwingine mambo yanakua yamenityt sana. nimeamua kumfujuza kisa siwezagi kumdai some tym nikimuona namkwepa... Dah!! Na bado hajahama ndio napanga kuwakabidhi madalali wamalizane nae.
 
Kuna mpangaji wangu ananilipaga akitaka na wakati mwingine mambo yanakua yamenityt sana. nimeamua kumfujuza kisa siwezagi kumdai some tym nikimuona namkwepa... Dah!! Na bado hajahama ndio napanga kuwakabidhi madalali wamalizane nae.
Hongera kwanza mku kww kumiliki nyumba za kupanga ..vipi issur ya introversion ina athiri vipi usimamiz wako kwa wapangaji .umezoeana nao kivip
 
Hongera kwanza mku kww kumiliki nyumba za kupanga ..vipi issur ya introversion ina athiri vipi usimamiz wako kwa wapangaji .umezoeana nao kivip
Kwaniaba ya familia tunasema asante.

Mazingira yamesaidia kidogo kuwa na mazoea nao coz wapangaji ndio majirani zangu... ilichukua muda sana kuzoeana nao na bado hata mazoea tuliyo nayo ni ya salaam tuu coz bado hawajaweza kunizoea watakavyo zaidi ya mimi nitakavyo.

ninachowashangaza kama ni issue yakupeana misaada ya kijamii najitoa kwa hali na mali na ikiwa ni issue wanezingua nawazingua live na katika mazingira ambayo hawayategemei..

Mfano japo nashindwaga kudai pindi wacheleweshapo kodi ila ninapokua katika kulizungumzia hilo nawabadirikia kabisa... kama hapa nimekomaa waondoke tena nimejataa na kodi yao ya mwezi huu kiasi wamemtumia hadi balozi ila binafsi roho yangu imekataa kabisa na nimewaambia hata miezi.miwili yakutafuta pakukaa nawapa wakae bure ila kwangu wasepe kisa kuchelewa kunilipa...

Kutokana na kulialia kwao nimewakabidhi madalali watafute mpangaji na nimewaambia ukifika muda niliowapa kuhama wawe wamehama mi nimejipa safari nitarudi wakishahama nisije kuwaonea huruma bure.
 
Back
Top Bottom