Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Da'Vinci mate to be a sheep or wolf its just yappa yappa thoughs. I type from an experience i too kind n clockwise when im angry or not pleased
 
Mimi ninazo chache za introvert na choleric..
mahusiano naona kama nipo maabara ya chemical hatari sana bado nachaguo hope ntapata malaika.
Eti hope ntapata malaika[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kwa sifa zote hizo zilizoelezwa nadhani hawa pia watakua waraibu Sana wa masturbation. Kwasababu aibu iliyokithiri ni moja ya changamoto ktk kutongoza, kujitenga kunaleta ushawishi wa kujaribu au kufanya vitu kisiri, pia nadhani ni watu wanaopenda michezo hatarishi na hawaogopi kujaribu kwa sababu ya ile roho ya upweke inawafanya kujifunza vitu vingi on their own. Hawa hata wanaweza kujifunza kitu iwe hisabati au sanaa ya kupigana bila kufundishwa na mtu yyt. Ktk hili kundi najiona mm pia so nimejaribu kuelezea Yale ambayo nimeya experience ktk umri wangu.
 
Ngoja nisabusikaraibu kwanza then nirudi nipitie mdogomdogo
 

Acha umbea
 
Dah mimi cjui ni introvert au extroverts maana tabia zangu ni hizi

1. Sicheki na mtu, kucheka ni kwenye simu nikiwa naperuzi

2. Sikai kwenye sehemu yenye kelele, hata kikiwa kikao cha harusi ya ndugu sikai

3. Sipendi kufuatilia, naweza nikawa najisomea halafu nikute boya mmoja anapita huku anaangalia nachosoma nafunga daftar

4. Chuo marafiki wa kuongea nao ni wachache kuwajibu ni ok. Sawa, yes ila tukiwa kwenye grupu la Whatsapp akiwasha sio poa

5. Mademu naishia kuwala kwa macho. Sina taimu nao wote nawaona malaya tu

6. Sikai sebulen nikirudi chuo nipo ndani nachati,
 
we ni Native Introvet aliyekubuhu
 
Huyu ni mimi kabisa sijui kwanini wanatuonaga kama tuna kiburi
 
Wanatuonaga wenye viburi kumbe sio ndo tulivyoumbwa
 
Duh! Mtu mmoja kama anaambiwa yeye
 
Uko sahihi bro. Af unaishia kucheka tu na wabaya wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…