Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Mi mwenyewe facebook ilianza hivo hivo mwisho wa siku nikafuta na acount yenyewe[emoji1787][emoji1787]
Mimi zamani nilikuwa hivyo sasa kwa sababu niko na aibu kujumuika na watu live ikanibidi nifosi mitandaoni iwe ndio sehemu yangu ya kunifariji nikiwa idle.
Kiukweli imenisaidia sana kwani nimejifunza mambo mengi sana kuhusu fursa mbalimbali,kujuana na watu wa nchi mbalimbali na hata kazi zangu huwa nazipata kupitia mitandao.
 
Alafu sasa kuwaspy exroverts very simple, hawaoni tabu kubwabwaja, ila ssa kuwaspy introverts uwe na akili ya ziada, hawachelewi kukushtukia
Extroverts ni rahisi kuwaspy ukiwavimbisha kichwa tu wanaropoka yote.
Utasikia wakiongea"Mimi ni mtu hatari sana,kuna fala mmoja kajichanganya nikamchukulia hela yake"
 
Extroverts ni rahisi kuwaspy ukiwavimbisha kichwa tu wanaropoka yote.
Utasikia wakiongea"Mimi ni mtu hatari sana,kuna fala mmoja kajichanganya nikamchukulia hela yake"
Hahahahaha, umetisha mkuu
 
Naaam mkuu sisi huwa atuchunguziki krahisi mpaka ninapoishi waahisi mimi ni usalama wa taifa coz wamejaribu kuchunguza kazi nayofanya ila mwisho wa siku wamefeli🤣🤣🤣
Alafu sasa kuwaspy exroverts very simple, hawaoni tabu kubwabwaja, ila ssa kuwaspy introverts uwe na akili ya ziada, hawachelewi kukushtukia
 
that's too much fam!!...wanawake wanapenda Sana watu wapole Kama wewe[emoji3][emoji3][emoji3]
Noo sidhani kama wanawake wanapenda wanawake wapole. Mwanamke anapenda wanaume wakorofi na Wababe wasio watulivu ukiwa mpole anakuchukulia kama she mwenzie.+
(Kwa maelezo ya watu humu)
Nina sura mbaya ni ngumu sana mtu kunipenda labda apende yule wa ndani yangu (my inner me) yeye ni mzurii sana
 
Noo sidhani kama wanawake wanapenda wanawake wapole. Mwanamke anapenda wanaume wakorofi na Wababe wasio watulivu ukiwa mpole anakuchukulia kama she mwenzie.+
(Kwa maelezo ya watu humu)
Nina sura mbaya ni ngumu sana mtu kunipenda labda apende yule wa ndani yangu (my inner me) yeye ni mzurii sana
mzee fanya uchunguzi.... hujawahi kusikia demu anawambia introvert " jamani huyu kaka mpole mpaka raha" [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mimi aisee kama sjataka mtu awe rafki yangu hata afanyaje hawez na sina marafiki kbs kitaa ni mkikya ana mpkà mwenye nyumba ananiogopa hatajina hanijui maana mkataba wa pango alisema hajui Ku sa haina haja ya kuandka mpangaji mwenzangu Naye hanijui jina wala kaz ninayofanya ananiogopa mbaya kucheck kwa nadra sn muda mwng nipo cool Tu nikienda kucheck mpira hata tushinde nipo kma nikivyoingia nikitongoza mwanamke yaani akileta pozi sku mbili Tu Kwa heri sina muda Naye kbs na anaanza kuniogopa Sana bila sababu.
Nina nguvu ya kuzungumza nikisema Jambo kwenye hadhara au nikifundsha bs watu huvutiwa kunisikiliza pia Nina nguvu ya uandishi nikiaandaa Jambo nikawapa watu kusoma bas huvutiwa nalo.
Nina hasira lakini Nina huruma Sana sana spendi mtu aonewe au anionee hata nikiona mtu anapgwa au mtoto anachapwa inanipa shida sana. Nikiwa kwny mahusiano mwanamke huwa ananipenda Sana na kunikubali. Spendi kushobokewa ukishoboka takupa jibu moja Tu au nikikuangalia jicho takalokukata lazma usepe Tu.
 
Jamani jamani kwa jinsi nilivyo watu huwa hawaamini kama ni Mimi au laah!!!! Napenda kucheza na ninajua,na huwa nacheza mpaka majogoo,muda ule DJ anazima muziki!!
NB:sijawahi kuhudhuria madisco ya mtaani Mimi ni ezi zile za shule msimu wa graduation,Ukwata,tycs na graduu ya shule party za kazini,harusini basi!!!siwezi kutoka kwangu nikaenda kujichanganya disco!!! Pia hata home huwa nafungulia muziki nacheeeeza chumbani nikichoka nalala!!!¡lkn napenda sana kucheza na huwa naenjoy sana nasahau shida zote!!!kuna harusi moja nilicheza kesho yake kazini naulizwa hivi ni wewe yule au!!!
Hapo kudance ni mwenzako sana cjui kwa nini napenda kudance.
 
Back
Top Bottom