Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

kwenye sehemu zangu za kazi ninazopita watu huwa wananiogopa wanafikiri mimi mchawi,yaani kwa mfano ikitokea maboss wameandaa kikao cha kimya kimya bila kunishirikisha huwa nina uwezo wa kutabiri mada zilizoongelewa bila kuhudhuria kikao,halafu kama kuna mtego wanataka kunitegea naukwepa.
Daah..hongera sana hicho nacho ni kipaji cha kipekee sana
 
Introverts ni wazuri sana wa kuwasiliana kwa maandishi nadhani asilimia kubwa hata kwenye mtongozano kwa njia ya simu/barua pepe(maandishi) wengi wao hufanikisha kumnasa wamtongozaye..

Ni watu wagumu sana kuwazoea,kupiga nao stori usipokuwa makini unaweza kuhisi wanajidai kumbe siyo na yamkini wakati unamuongelesha anakuwa kweli anatamani akujibu mpige sana stori kwa furaha mbishane labda masuala ya mipira ila anajikuta anashindwa yaani hawezi kudumu kwenye maongezi kwa dk nyingi bila kukinai na kuamua kukaa kimya na kusikiliza tu wengine..
 
Lakini hii staili kuna muda huwa inatuokoaga sana na majanga.
Kwa mfano unakuta upo kitaa au ugenini unaona bonge la demu linajipitishapitisha ila unakausha tu then baada ya miezi kadhaa anatokea mshikaji anakwambia umeona yule demu huwa anapitapita hapa yule ana ngoma,unashika kichwa na kumshukuru Mungu
Hakika hilo limeshanitokea mara nyingi nnamshukuru Mungu kuzaliwa hv japo changamoto zake zipo but sio nyingi kama faida tuzipatazo Sifa moja bora ya kwanza ya kuwa introvert ni kuheshimiwa na watu wote na huwezi kuta tunataniwa ovyo mitaani
 
Introverts ni wazuri sana wa kuwasiliana kwa maandishi nadhani asilimia kubwa hata kwenye mtongozano kwa njia ya simu/barua pepe(maandishi) wengi wao hufanikisha kumnasa wamtongozaye..

Ni watu wagumu sana kuwazoea,kupiga nao stori usipokuwa makini unaweza kuhisi wanajidai kumbe siyo na yamkini wakati unamuongelesha anakuwa kweli anatamani akujibu mpige sana stori kwa furaha mbishane labda masuala ya mipira ila anajikuta anashindwa yaani hawezi kudumu kwenye mqongezi kwa dk nyingi bila kukinai na kuamua kukaa kimya na kusikiliza tu wengine..
Ulichokiandika ni sahihi kabisa mkuu
 
Hivi wenzangu mnawezaje kufit In na watu??[emoji849]
Kiukwekeli naishi kama niko mwenyewe duniani, Najitahidi sana kujaribu kua karibu na watu naomba namba za watu ila nikishachukua namba tu naifuta. Yaani simu yangu kukaa wiki haijapigiwa wala kutumiwa text ni kitu cha kawaida coz tatizo lipo kwangu I push people back.
Mtu akijitahidi kua nami karibu na mawasiliano nawahi kuboreka namblovk au sijibu jumbe zake... I'm living Vagrantly asee.

Basi Mungu angenipa uwezo mzuri wa kuzungumza mbelel za watu.. Hii kitu inanitesa sana (being introvert) wala sijidai maana nakosa mengi na siijui maisha yangu yatakuaje huko mbeleni
John Joba
Mimi binafsi huwa sometimes naongea ila nikiongea KWA kipimo ambacho mimi napima kuwa nimeongea sana huwa najiskia empty Sana KWA ndani yaani Energy drain nabaki na feeling mbaya Sana nilikuwapo facebook nilikuwa nikichangia hoja KWA comment ,badae natulia alone naanza kuichambua hiyo comment mwisho wa siku comment zangu zote nilikuwa nafuta hahaha
Mwendo ukawa hivyo wasap nikikoment lazima nifute ,ile delete to All badae nikaja futa kbsa facebook account na wasup najiunga nikitaka huduma muhimu baada ya hiyo huduma nafuta
 
Mimi binafsi huwa sometimes naongea ila nikiongea KWA kipimo ambacho mimi napima kuwa nimeongea sana huwa najiskia empty Sana KWA ndani yaani Energy drain nabaki na feeling mbaya Sana nilikuwapo facebook nilikuwa nikichangia hoja KWA comment ,badae natulia alone naanza kuichambua hiyo comment mwisho wa siku comment zangu zote nilikuwa nafuta hahaha
Mwendo ukawa hivyo wasap nikikoment lazima nifute ,ile delete to All badae nikaja futa kbsa facebook account na wasup najiunga nikitaka huduma muhimu baada ya hiyo huduma nafuta
Dah! mkuu unatembea mulemule
 
Mimi binafsi huwa sometimes naongea ila nikiongea KWA kipimo ambacho mimi napima kuwa nimeongea sana huwa najiskia empty Sana KWA ndani yaani Energy drain nabaki na feeling mbaya Sana nilikuwapo facebook nilikuwa nikichangia hoja KWA comment ,badae natulia alone naanza kuichambua hiyo comment mwisho wa siku comment zangu zote nilikuwa nafuta hahaha
Mwendo ukawa hivyo wasap nikikoment lazima nifute ,ile delete to All badae nikaja futa kbsa facebook account na wasup najiunga nikitaka huduma muhimu baada ya hiyo huduma nafuta
Mi mwenyewe facebook ilianza hivo hivo mwisho wa siku nikafuta na acount yenyewe🤣🤣
 
Mimi binafsi huwa sometimes naongea ila nikiongea KWA kipimo ambacho mimi napima kuwa nimeongea sana huwa najiskia empty Sana KWA ndani yaani Energy drain nabaki na feeling mbaya Sana nilikuwapo facebook nilikuwa nikichangia hoja KWA comment ,badae natulia alone naanza kuichambua hiyo comment mwisho wa siku comment zangu zote nilikuwa nafuta hahaha
Mwendo ukawa hivyo wasap nikikoment lazima nifute ,ile delete to All badae nikaja futa kbsa facebook account na wasup najiunga nikitaka huduma muhimu baada ya hiyo huduma nafuta
Hakika tuko na the same character
 
Introverts maisha yetu kama muvi, sometimes nikijitafakari nabaki tu kufurahi mwenyewe
 
Introverts ni wazuri sana wa kuwasiliana kwa maandishi nadhani asilimia kubwa hata kwenye mtongozano kwa njia ya simu/barua pepe(maandishi) wengi wao hufanikisha kumnasa wamtongozaye..

Ni watu wagumu sana kuwazoea,kupiga nao stori usipokuwa makini unaweza kuhisi wanajidai kumbe siyo na yamkini wakati unamuongelesha anakuwa kweli anatamani akujibu mpige sana stori kwa furaha mbishane labda masuala ya mipira ila anajikuta anashindwa yaani hawezi kudumu kwenye maongezi kwa dk nyingi bila kukinai na kuamua kukaa kimya na kusikiliza tu wengine..
Hata mimi niko hvyo mkuu ni mvivu wa kuongea na mwanamke ana kwa ana ila akinipa namba tuchat niko na spidi sana.
Nina uwezo wa kumset mwanamke wa aina yeyote ata awe mke wa waziri tena ndani ya siku moja tu namaliza kazi.
Imagine kuna wanawake tena ukiwaangalia ni watu wa heshima lakini nina uwezo wa kumset ndani ya siku moja na huko huko aliko namshawishi hadi anavua nguo na kunionyesha uchi wake.
Ndio maana hii kitu imeniathiri pia kisaikolojia kuhusu imani kwa wanawake nawachukulia powa japo sio kwa makusudi.
 
Hata mimi niko hvyo mkuu ni mvivu wa kuongea na mwanamke ana kwa ana ila akinipa namba tuchat niko na spidi sana.
Nina uwezo wa kumset mwanamke wa aina yeyote ata awe mke wa waziri tena ndani ya siku moja tu namaliza kazi.
Imagine kuna wanawake tena ukiwaangalia ni watu wa heshima lakini nina uwezo wa kumset ndani ya siku moja na huko huko aliko namshawishi hadi anavua nguo na kunionyesha uchi wake.
Ndio maana hii kitu imeniathiri pia kisaikolojia kuhusu imani kwa wanawake nawachukulia powa japo sio kwa makusudi.
Huwa unatumia pesa katika hilo? Kama ndio, basi kilichowashawshi si maneno yako sana, bali kikubwa ni pesa, kitu ambacho yeyote akiwa nacho anaweza kumshawishi yeyote.
 
Hakika hilo limeshanitokea mara nyingi nnamshukuru Mungu kuzaliwa hv japo changamoto zake zipo but sio nyingi kama faida tuzipatazo Sifa moja bora ya kwanza ya kuwa introvert ni kuheshimiwa na watu wote na huwezi kuta tunataniwa ovyo mitaani
Yes, na heshima ni kitu kikubwa sana.
 
Huwa unatumia pesa katika hilo? Kama ndio, basi kilichowashawshi si maneno yako sana, bali kikubwa ni pesa, kitu ambacho yeyote akiwa nacho anaweza kumshawishi yeyote.
Sina uhakika na hilo mkuu,huenda appearance yangu na profiles zangu zimekaa kama mtu mwenye pesa.
 
Back
Top Bottom