Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Naongezea sifa zengne tulizo nazo ma introvert...

1-: hatujui kuchagua vitu hasa rangi au umbo....yaani unaweza ukatoka nyumban kwenda dukan kununua labda nguo aina flan rangi flani ile nguo ukaikosa apo Sasa muuzaji anaweza akakuuzia rangi yyte ata usiopenda na ukashindwa ata kukataa...unalipa unasepa uku ukijifariji.

2-:wapekuzi sana wa mambo yaani Kama unamauhusiano na bint utampekua bila yeye kujua adi mambo yasiopekurika mwsho wa sku huwa tunabaki na siri moyoni wala hatuwaambii wale tulio wapekua..

3-: hatupendi kutishwaa....mfano kutishwa utoe kitu fulani ili upate kitu fulani,

4-:hatuwezi kusimulia vtu kwa mdomo...tunaweza tukasoma vtu tukavielewa Ila Kwenye kuvipresent tukashindwa.

5:- huwa tunatamani tuwe tofauti na tulivyo Ila tunajikuta tupo hvyohvyo,usipojijua utabaki unaishi maisha ya kuiga tu.

6-:tunapenda Sana kufanya mapenzi Ila hatupendi tuonekane katk hali hyo...

7-: wapenzi wetu Mara nyingi ni wale marafiki zetu wa karbu sana...tulio wazoea ndo hao hao tunawatongoza.
Usipojijua utabaki unaishi maisha ya kuiga....nyingibe introverts wanapendwa sana na mademu
 
Naongezea sifa zengne tulizo nazo ma introvert...

1-: hatujui kuchagua vitu hasa rangi au umbo....yaani unaweza ukatoka nyumban kwenda dukan kununua labda nguo aina flan rangi flani ile nguo ukaikosa apo Sasa muuzaji anaweza akakuuzia rangi yyte ata usiopenda na ukashindwa ata kukataa...unalipa unasepa uku ukijifariji.

2-:wapekuzi sana wa mambo yaani Kama unamauhusiano na bint utampekua bila yeye kujua adi mambo yasiopekurika mwsho wa sku huwa tunabaki na siri moyoni wala hatuwaambii wale tulio wapekua..

3-: hatupendi kutishwaa....mfano kutishwa utoe kitu fulani ili upate kitu fulani,

4-:hatuwezi kusimulia vtu kwa mdomo...tunaweza tukasoma vtu tukavielewa Ila Kwenye kuvipresent tukashindwa.

5:- huwa tunatamani tuwe tofauti na tulivyo Ila tunajikuta tupo hvyohvyo,usipojijua utabaki unaishi maisha ya kuiga tu.

6-:tunapenda Sana kufanya mapenzi Ila hatupendi tuonekane katk hali hyo...

7-: wapenzi wetu Mara nyingi ni wale marafiki zetu wa karbu sana...tulio wazoea ndo hao hao tunawatongoza.
Exactly
 
Duuu mpaka leo nimemface bibie mmoja tu kwenye kutongoza rafki yake aliniambia siwezi kutongoza,
Upande wa mziki Mimi napenda kuskiliza zile za jazz band lesi wanyika yaani zilizopita mpaka watu wananiita kijana mzee, tunaonekana sisi tumepitwa sana na wakati,
Tunaishi kibusarabusara tu nikiwa na hela hujui hata nikifulia hunidhanii.
Yaani wewe ni mimi kabisa, mimi hata uvaaji wangu wanasema ni wa kizee, japo nguo ninazo na pesa ya kununua nguo nzuri ninayo. Ila tu nahisi raha nikivaa kama mzee, mabwanga kwa sana, mashati makubwa n.k!
 
Yaani wewe ni mimi kabisa, mimi hata uvaaji wangu wanasema ni wa kizee, japo nguo ninazo na pesa ya kununua nguo nzuri ninayo. Ila tu nahisi raha nikivaa kama mzee, mabwanga kwa sana, mashati makubwa n.k!
unapenda Hip Hop?
 
Mimi mwenyewe haiba yangu ni hiyo kwa kwel inanipa tabu ila namshukuru Mungu kuwa hivii, mpaka sasa nina miaka 23 ila sijawah kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, na marafiki wa karibu sina kabisa, kipindi nipo chuo nilikuwa nikirud ni ndani tu, hata kama sijaenda nakuwa tu ndani, na sijawahi kwenda kula bata yoyote na washkaji, na kuna msichana fulan alitokea kunipenda nikawa tu nampotezea mpaka sasa hivi siko nae vizurii anaona kama naringa lakin ndiyo nilivyoo.
Mimi nina ugonjwa, nashindwa kutafsiri viashiria anavyokuonesha msichana pindi akikupenda. Mara nyingi huwa naona ni viashiria vya kawaida tu, sasa ninaposhindwa kuelewa najikuta nachukiwa na kupata kashfa za kuwa naringa. Hivi ni viashiria gani kaka anvyoonesha msichana?
 
Ndio mkuu afu ndio maana wagunduzi wa vitu vikubwa hapa duniani ni introverted. Hautegemei mawazo sana ya watu. Hapa natoka chuo soon ola nyumbani hawajui ya kuwa Januari nasepa home.
Unasoma wapi chuo kaka?
 
That is me,yaani nikitoa kitu sehemu nikimaliza kutumia narudisha pale kilipokuwa,uchafu ni adui yangu mkubwa,huwa ni rahisi kuweza kujua kuwa kuna mtu kapekuwa vitu vyangu,napata tabu sana kuishi na mtu asiejielewa,mtu ambaye ni rough,hata kama angekuwa na pesa na mali naweza nisione thamani yake kabisa.But to be honest am proud to be introvert...
Duh! Kwa hiyo sisi watu rough tuna kazi, yaani sisi wengine ni rough sana, tusingewezana, tungeishi pamoja kila mtu angechukua time yake!
 
Humu leo wote ni introverts? Haishangazi ila ni ajabu kidogo, kwa hiyo hakuna extroverts sio? Hapa ndipo ninapojifunza kuwa Waafrika walio wengi ni pretenders na hawana misimamo. Yaani kwa kuwa tu introverts wengi wanasifika kuwa smart, wana akili, ma-geneus, wabunifu n.k? Ingekuwa thread ihusuyo worth ya extroverts pia wengi wanaochangia wangekuwa extroverts, tumefika sehemu mbaya.
 
Mimi nina ugonjwa, nashindwa kutafsiri viashiria anavyokuonesha msichana pindi akikupenda. Mara nyingi huwa naona ni viashiria vya kawaida tu, sasa ninaposhindwa kuelewa najikuta nachukiwa na kupata kashfa za kuwa naringa. Hivi ni viashiria gani kaka anvyoonesha msichana?
Hata mimi nilikuwa hivyo zamani.
viashiria ni vya kawaida tu inatokea mwanamke anapokutaka akikuona anapenda kujipitisha pitisha mbele yako mara kwa mara ili umuite na kumchombeza,kujichekeshachekesha mbele yako.
 
Hata mimi nilikuwa hivyo zamani.
viashiria ni vya kawaida tu inatokea mwanamke anapokutaka akikuona anapenda kujipitisha pitisha mbele yako mara kwa mara ili umuite na kumchombeza,kujichekeshachekesha mbele yako.
Mimi huona ni kawaida na hafanyi kwa kuwa ananitaka, bali kila mtu anaweza kufanya hivyo, kifupi nina mtazamo huo. Hii inapelekea nisiwe na hisia zozote za kujiongeza na kuishia kuambiwa naringa. Mimi ninaamini labda anitamkie wazi wazi kabisa ndipo nitaamini kuwa ananipenda, otherwise nitaona ni kawaida tu, maybe anafanya kama rafiki au jirani tu. Kama nakosea kwa mtazamo huu, nibadilike. Pia akijipitisha na ukamtongoza akakubali, vipi kama akikuchoka baada ya muda mfupi kwa kutoona vile alivyodhani upo? Imagine anakubadilikia na anakuambia hakutaki tena, inauma eeeh? Umakini unahitajika!
 
Mimi huona ni kawaida na hafanyi kwa kuwa ananitaka, bali kila mtu anaweza kufanya hivyo, kifupi nina mtazamo huo. Hii inapelekea nisiwe na hisia zozote za kujiongeza na kuishia kuambiwa naringa. Mimi ninaamini labda anitamkie wazi wazi kabisa ndipo nitaamini kuwa ananipenda, otherwise nitaona ni kawaida tu, maybe anafanya kama rafiki au jirani tu. Kama nakosea kwa mtazamo huu, nibadilike. Pia akijipitisha na ukamtongoza akakubali, vipi kama akikuchoka baada ya muda mfupi kwa kutoona vile alivyodhani upo? Imagine anakubadilikia na anakuambia hakutaki tena, inauma eeeh? Umakini unahitajika!
Hata mimi nilikuwa najiuliza maswali yako inakuwa kama aibu au kauoga fulani,kwamba akinikataa itakuwaje.
Kwa hiyo sasa hivi ninachofanya natongozea mbali na nyumbani ili kuikwepa hiyo aibu.
Ila mafisi wenyewe huwa hawajali hata wakikataliwa wanakomaa tu tena wanajionyesha live mbele za watu kabisa.
Hiyo hali inatesa sana naijua vizuri unakuta confidence huna ya kuapproach na watu hawajui hilo wanakuchukia na kukuita mkoloni
 
Back
Top Bottom