Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

introverts wote wana sifa hizi

  • Wana uwezo mkubwa kiakili (high intelligence Quotient)
  • Ni wagunduzi wa mambo makubwa ya kisayansi
  • Wanamudu vizuri masomo ya sayansi na hesabu
  • Ni watu wenye pole pole na wasio na maneno mengi
  • Wana hisia kali za upendo na ni kundi linalosadikika kuwa na upendo wa dhati

- Wanawajali sana wenzao hasa wanapokuwa katika shida na matatizo(i.e ndio maana hawa huwa waombaji –wanamaombi wazuri sana kiimani)

Sifa zao nyingine ni pamoja na;

  • Wana huruma sana na hawapendi kuona wengine wakionewa
  • Wanajitolea kwa haraka na kwa dhati katika mambo ya wengine

- Huondoa uchungu wao kwa machozi (wakiumizwa hulia haraka, hasa kwa upande wa wanawake/wasichana)

- Hawajiamini kwa mambo wanayoyafanya (hata wakiwa darasani si wepesi wa kunyoosha vidole ili kujibu maswali)

- Wanahesabu kushindwa kuliko kufanikiwa (mfano akitaka kuanzisha duka; badala ya kuwaza itakuwaje nikipata faida wanawaza itakuwaje kama duka litaibiwa ama kuungua moto, kwa maswali hayo anajikuta hata anafikia katika uamuzi wa kuahirisha uanzishaji wa mradi huo)

  • Wakata tamaa wanapokosolewa.
  • Wanapenda sana kutiwa moyo kiuhalisia.

Nyinginezo ni;

- Wanapenda kusoma, kusikiliza, na kusimulia mambo yenye tafakari na uchambuzi wa kina (hawapendi umbea)

- Wanapotoa mawaidha mahubiri ama ushauri wengi(wanaosikiliza) huwa wanaguswa nao na hubadilika haraka kutokana na mawaidha hayo ama ushauri ama mahubiri hayo.

  • Hawapendi kuvunja taratibu, sheria za eneo husika.
  • Wanapenda usafi na mpangilio mzuri wa vitu vyao

- Ni wa vumilivu sana katika hali mbalimbali (mfano wanapoonewa ama kuumizwa).

- Hawapendi kufuatilia mambo ya wengine pasipo sababu za msingi.

- Ni kundi mojawapo linaloathiriwa sana na magonjwa ya mashinikizo kutokana na kuwa wanawaza sana.

- Ni wagumu wa kusahau na hiyo imewasababishia kuwa wagumu wa kusamehe.

- Wanaumia sana wanapokosea ama kushindwa jambo Fulani

Pia, wanafahamika kwa;

- Wanajeruhika mioyo yao kirahisi (i.e wakiingiwa na pepo wabaya si rahisi kuwatoka kwa sababu ya kutunza uchungu kwa muda mrefu mioyono mwao)

  • Wana busara na hekima nyingi
  • Ni watu ambao wakiishika imani fulani wanajitahidi kuitimiliza sheria yote.
  • Ni wepesi wa kutubia makosa yao na kutubu kwa ajili ya wengine.
  • Wana aibu nyingi sana hasa kwa watu wasiowafahamu wala kuzoeana nao
  • Ni kundi la watu wanoridhika haraka

- Masikini wengi kiuchumi duniani ni wa kutoka katika kundi hili kutokana na uoga wao wa kuanzisha mambo kwa kuhofia kushindwa.

- Watoto wanaozaliwa katika kundi hili inasadikiwa ni wengi huwa na ndoto za kufanikiwa mapema lakini ni wachache mno ambao huweza kutimiliza ndoto zao kutoka na uoga wa kuanzilisha mambo mapya.

  • Kundi linalopenda amani na utulivu
  • Wanaogopa sana matatizo, vikwazo na changamoto

- Katika familia baba na mama wakiwa melancolin upo uwezekano mkubwa kwa watoto kuharibika maadili kwa sababu hawa melancolin si wepesi wa kuadhibu.

Wana sifa nyingi sana, nyinginezo ni;

- Mara nyingi hupenda kuonesha sura za tabasamu hata kama wapo katika matatizo makubwa

  • Hawapendi kumueleza kila mtu mambo yao binafsi
  • Ni kundi la watu wenye marafiki wachache
  • Wakati mwingine hupenda kujikataa.
  • Ni waaminifu na wasema ukweli
  • Wanapenda kusaidia wengine kupita hata uwezo wao
  • Ni waaminifu sana kwa mambo ya kawaida na yale ya kiimani
  • Hawapendi kujionesha mbele ya macho ya watu

- Hawa hawafai kuwa viongozi (si wazuri sana) kwa sababu wanapenda kusikiliza na kutafakari kila wanachoshauriwa hivyo hujikuta kuwa wanayumba kimisimamo. (mfano kama mkurugenzi/mwenyekiti wa eneo Fulani akiwa ni melancolin yafaa sana msaidizi wake awe ni colerick

Kingine kinachowanyima sifa ya kuwa viongozi wazuri ni kutokuwa na uwezo wa kujieleza kwa kujenga hoja zenye ushawishi mkubwa [Musa wa biblia alikuwa ni mmoja ya watu wa kundi hili, alikuwa hajiamini, anakata tamaa mapema, mlalamishi, asiyeweza kujieleza, licha ya kupewa msaidizi na Mungu bado tabia zake zilimuathiri na akajikuta anakosa nchi ya ahadi-Kaanani].

- Wanauhesabu upendo wa dhati kutokana na mambo wanayofanyiwa na sio kuambiwa (wanafurahia sana vitendo kuliko maneno}

- Kwa upande wa wasichana inasemekana kuwa ndio ambao wanasumbuliwa zaidi na maumivu ya hedhi, na kujifungua.
tabia gani zilimfanya Musa asiingie nchi ya Canaam
 
Mwenyezi Mungu akubariki na azidi kukupa afya njema na kukuepusha na shari pamoja na mitego ya wanadamu.
Hakika wewe ni mwanga (Light) na sio Giza (Dark) usichoke kuandika na kuyaishi maisha mema. Hili kufungua mlango wa maarifa na kuongeza kujitambua na kuyaishi maisha matakatifu.
Najua wewe ni Grateful person, sometimes unakatishwa tamaa na Ungrateful people.
Don't regret to be such a kind of person..........Always be Grateful and Humble.
Be blessed The Man Of Wisdom
Ahsante mkuu kwa kunitakia mema, nawe ikufudie hivyohivyo. Nitaendelea Kusimama kwenye misingi ya ubinaadamu na utu as I'm supposed to be. Though my compas is kinda broken
🤭🤭🤭🤭😆😆😆😆
Nadhani Sikuumbiwa kitu hichi naona...Yupo mwanamke mmoja tu humu ninaempenda ila ndo hivo I can't have her because I too sought this shiny little precious goodlord I apprehended and held one in my hand...It was the best thing to ever had, Vinchii Prospered and It appeared like I've caught my Variant. I named that maiden my North star, yes was my north star coz was guiding and Directing my Compas throught my Journey in this sacredly Realm...I experienced the best version of myself coz my north star made me to retrieve that inner version of myself. I was at my full potential back then.

Wrong! I was wrong after sometime destiny haunted me and caught me, I tried to run to dread it, run from it,escape from it but destiny arrived all the same -Nonetheless it took all things from me including my North star and it casted me out..Banished me in the darkness to guide other to the treasurer "I shouldn't possess".
 
Mimi mwenyewe haiba yangu ni hiyo kwa kwel inanipa tabu ila namshukuru Mungu kuwa hivii, mpaka sasa nina miaka 23 ila sijawah kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, na marafiki wa karibu sina kabisa, kipindi nipo chuo nilikuwa nikirud ni ndani tu, hata kama sijaenda nakuwa tu ndani, na sijawahi kwenda kula bata yoyote na washkaji, na kuna msichana fulan alitokea kunipenda nikawa tu nampotezea mpaka sasa hivi siko nae vizurii anaona kama naringa lakin ndiyo nilivyoo.
 
Mimi mwenyewe haiba yangu ni hiyo kwa kwel inanipa tabu ila namshukuru Mungu kuwa hivii, mpaka sasa nina miaka 23 ila sijawah kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, na marafiki wa karibu sina kabisa, kipindi nipo chuo nilikuwa nikirud ni ndani tu, hata kama sijaenda nakuwa tu ndani, na sijawahi kwenda kula bata yoyote na washkaji, na kuna msichana fulan alitokea kunipenda nikawa tu nampotezea mpaka sasa hivi siko nae vizurii anaona kama naringa lakin ndiyo nilivyoo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mzee shida iko wapi?
 
Mates;

Binaadamu tumeumbwa kwa matabaka tofauti tofauti sio wa rangi wala jinsia, katika upande wa Personalites binaadamu yupo katika makundi mabalimbali. Kuna Makundi makuu mawili ya personalities,ambazo ni Extroverts na Introverts. Kwa upande wa introverts dunia kwao si kikwazo au haina kikwazo chochote ambacho kinaweza kuwafanya wasisonge mbele au kupata yale wanayoyahitaji.

Upande wa Introverts mambo ni tofauti sana sana, wao dunia si mahali salama kwa muono wao na inakua ni ngumu sana kwao kupata yale wanayoyahitaji humu duniani. Introverts wanaamini au wanaiona dunia ist the bed of roses na unaweza kuishi na ku-Earn yale unayoyata bila kutumia nguvu kubwa sana ya mwili ila ya akili.

Bahati mbaya dunia haipo hivyo, dunia imejaa michongoma hii inawafanya introverts kuona hawafit kuishi duniani hapa ila ndio wapo sasa inabidi wakubaliane na matokeo.

Kama tunavyoelewa kua Extroverts ni watu Fulani ambao ni waongeaji wazuri na hawana aibu hata kidogo wakitaka kitu watakueleza mojakwamoja ila Introvert ni watu wasio na uwezo wa kujieleza vizuri na wana aibu sana, mara nyingi hutuia muda mwingi katika kufikiri na kutafakari vitu vipya!

Aliyeumba hizi aina kinzani za watu hakua mjinga, alikua na maana kubwa sana kuwaweka pamoja hapa duniani, katika hizi pande mbili kinzani zimeunganishwa na kitu kimoja ambacho ni Kutegemeana katika mazingira. Pande zote mbili zinategemeana mno kwa kiasi kikubwa kwakua introvert wanatumia muda mwingi kufikiria na kutafakari vitu basi hawa walijaliwa Creative and Genius mind!

Ukiangalia maandeleo katika Nyanja ya dunia hii yameletwa na watu ambao ni Introverts. Lakini Introvert person akiungana na extrovert person basi hua wanatengeneza the best duo, Introvert hua anamtumia huyo extrovert kama mdumo wake au nguvu yake huku yeye akitumia akili yake zaidi katika mambo japo maranyingi sana hua extroverts wanawatapeli introverts baada ya muda.

NB, sio kwamba extrovert hua hawana uwezo wa akili no, ila siku zote mtu anayeanza kutafakari maneno wakati wewe uko unaongea muheshimu sana, lakini pia usichanganye introvert na kibuli.

Wapo watu wengi walikua ni introvert wakaungana na extrovert wakatenda mambo makubwa hapa duniani Nitatoa baadhi ya mifano

Mussa
Huyu jamaa alikua nae ni introvert, hana uwezo mzuri sana wa kujieleza ndio maana alipoitwa na Mungu alimuuliza atawezaje kuzungumza nao wakati hawezi kuongea vizuri? Mungu akampatia msaidizi wake amabae ni Aaron, walitengeneza moja ya kolabo bomba hapa duniani nadhani mambo waliyofanya tunayajua na yataendelea kuwepo daima

Tesla
Tesla alikua ni introvert aliyepitiliza, alijua duniani kila mtu ni mwema kama yeye. Alikutana na bwana Thomas Eddison wakafanya kazi pamoja mpaka leo umoja wao ndio unatufanya tunaweza kuchati hapa, bahati mbaya Thomas alimdhurumu tesla ila hakujali kufa maskini alishukuru tu kua akaili yake imeweza kuleta maendeleo duniani.

Mark Zuckenburg
Binafsi hua nikiamuangalia tu mark namuonea huruma tu kwa munekano wake, ni moja kati ya watu amabao wana Innocent face, ukimuangalia tu unamuhurumia. Ni watu wachache sana wenye hiyo haiba yay a kuonekana wanatia huruma. Mark ni introvert maisha yake chuoni alikua sio muongeaji hata ukimuudhi vipi hua anabaki kimya.

Kuna kipindi kama miaka 2 imepita ilitokea mgogoro kwamba mark kaiga ile technology ya kuangalia game in vitual reality. Ikatakiwa alipe pesa, ilimuuma mno ila hakuongea alibaki nalo rohoni. Rafiki yake mkubwa amabae amemsaidia sana kufanikisha facebook kufika hapa ilipo ni Eduardo Sevarin. Eddu alikua muongeaji tu na mtafuta masoko na investors mpaka leo umoja wao huo ndio umeawafikisha hapa mark ni billionea.

David Benioff
Huyu jamaa ni moja kati ya watengenezaji wa tamthiria ya game of thrones, nayeye sio muongeaji kama walivyo introverts wote pia ana aibu mno. Anar rafiki yake waliyekutana nae chuoni anaitwa Daniel Brett Weiss (D.B.Weiss) naye huyu ni moja ya watengenezaji wa tamthiria hii. Ila huyu DB Weiss hana aibu hata kidogo na nimuongeaji sana.

Hata wakiwa kwenye interview maswali yanayomuhu David benioff hua anayjibu yeye the funny thing ni kwamba walipokua wanafanya casting ya actors labda kama kuna actor Fulani ambaye the next season alitakiwa afe David Benioff alikua hawezi kuwaambia eti anaogopa! So aliyekua anafanya kazi hiyo alikua ni DB Weiss tena kwake ilikua rahisi mno.

View attachment 1526082

Issack Newton
Kama kawaida ya introverts wote basi Newton pia hakua na marafiki kabisa alipenda kujifungia ndani ya maabara yake kufanyia tafiti fikra zake na kujipa nafasi ya kufikiri zaidi. Alikua anamsemo wake anasema kwamba “ Plato is my friend, Aristotle is my friend, but my best friend is truth” Lakini naye alikua na rafiki yake ambae alikua ni muongeaji mzuri/Extrovert aliitwa John Locke. Huyu ndio alikua rafiki pekee wa Newton na yeye ndio aliweza kumuelezea vizuri tabia zake za upweke japo baadae walishindwana urafiki wao. Maana Muda mwingi Newton alikua bize.

Albert Eintein
Albert alipohamia Switzerland akaanza kufanya kazi kwenye ofisi za Patent right (haki miliki) ndipo alipoanza kufanyia kazi Hobby yake pendwa ya Kufikiria. Ofisini kwake kulimwezesha kufikiria maana hakua na kazi ngumu, kupitia dirisha lililokua ofisini mwake aliweza kuformulate theory of relativy maana alikua anautafakari mwanga uliokua unaingia ofisini mwake kupitia dirishani….Japo alikua ni mtu mmoja mkimya sana na alikua anaongea kila baaada ya kutafakari sana anachotaka kuongea pia alikua na rafiki yake wa karibu toka zamani ambae wamesaidiana mengi si mwingine ni Michelle Besso. Beso ndio alikua rafiki yake mkubwa na kumuwezesha Albert kufanya mengi makubwa.

Mifano ni mingi sana ya urafiki wa introverts na extrovert, watu maarufu ambao ni Introverts..na wametenda mengi makubwa duniani mfano:

Albert Einstein,Rosa Parks,Bill Gates,Steven Spielberg,Sir Isaac Newton,Eleanor Roosevelt, Mark Zuckerberg,Larry Page,Al Gore,Marissa Mayer, Abraham Lincoln,
JK Rowling,Warren Buffett, Mahatma Gandhi,Hillary Clinton, Michael Jordan,Meryl Streep,Elon Musk,Dr. Seuss,Frederic Chopin

Introverts kwakua wao hawawezi kuingiliana vizuri na jamii waliyomo hivyo basi muda wao mwingi hua wanautumia kwenye mitandao ya kijamii. Huku kwenye jamii hawana attention kwa watu so wanachofanya ni kutafuta attention mitandaoni at any cost. Introvertism,Geniusity,Lonelness na Ugonjwa wa akili ni vitu vinavyoenda sambamba. Ukikuta mtu anaandika mapost marefu,anatukana au kuudhi watu mitandaoni usimchukie.

Muhurumie sana maana anakua muhanga wa matatizo niliyoyaainisha hapo juu. Wanafanya kuudhi watu ili nao waonekane kama wanaweza kufanya kitu, wanajitahid kufit in ila bahati mbaya wanatumia approach mbaya ya kuudhi watu.. Introverts ni watu poa sana, wana mioyo mizuri sana na wana akili zenye uwezo mkubwa.

-Vinci
introvert ya nyoko
 
How inafunguka hebu nipe elimu[emoji3]
I hope everything is going well Pablo Blanco

First of All lazima uelewe kwamba God is Nature. Pia hii nature imeundwa na vitu viwili vyenye Uhai na visivyo vyenye Uhai (Living Things & Non-Living Things).
Lakini lazima uelewe kwamba kila chenye uhai kina sifa ya Kimungu ndani yake. Kwa sababu viumbe vyote nivyamwenyezi Mungu na yeye ndiye aliyevipa uwezo viwepo na vikawepo.
Ukirudi nyuma kwa babu zetu na bibi zetu waliamini kwamba kuna baadhi ya wanyama ukimuona au kukutana naye basi utaambatana na Good luck na kuna baadhi ya wanyama ukimuona na kukutana naye utaambatana na Bad Luck.
Kwa mkoa wa kilimanjaro kuna ndege wanamwita "Madidi" huyu ndege akilia Wazee huwa wanaamini mvua itakuwa kubwa sana kwa msimu huo. So hizi ni myths tu lakini ukichunguza sana unaweza kubaini ukweli ndani yake.

Kuna kitu kinaitwa Natural Selection ningependa tukihighlights kwanza kabla ya kufanya conclusion ya swali lako?
Natural Selection - Ni kitendo ambacho kiumbe hai anakuwa na uwezo wa kuadapt na kuchange kulingana na mazingira yanayomzunguka. Hii ni theory ambayo ilikuwa developed na Bwana Charles Darwin katika safari yake ya kufanya Research, South America na Pacific kwenye mimea, wanyama na fossils. Hatimaye kutoa kitabu kilichoitwa "On the Origin of Species" mwaka 1859.
Hii inamaana kwamba mazingira yanachagua wanyama fulani wenye distinctive features fulani kuishi eneo fulani. Ndiyo maana utakuta Polar Bears (Dubu) wanaishi kwenye maeneo yenye baridi kali yani Northern Arctic and Southern Antarctica lakini sio kwenye maeneo ya Joto kali. Huku Loxodonta Africana (Tembo) akiishi maeneo ya Tropical ambayo kiuhalisia ni maeneo yenye Joto. Kwa hiyo ukimwangalia Dubu utagundua anadistinctive features ambazo Tembo hana na ukimwangalia Tembo utagundua anadistinctive features ambazo Dubu hana. Mfano Polar Bears anauwezo wa kufanya Hibernation lakini Loxodonta Africana (Tembo) hawezi. Lakini pia Tembo ana masikio makubwa ambayo yamezungukwa na Blood Vessels kwa ajili ya kumsaidia kufanya Body Temperature Regulation lakini Polar Bear (Dubu) hana.
Kwa hiyo hata kwenye maisha kuna vitu wewe unavyo lakini mwingine hana na kuna vitu mwingine anavyo lakini wewe hauna. That's Nature How It works.

Kwa hiyo mtu anayefanya mambo mema kwanza nature itacount yale mema yote anayofanya na in the return kumletea mambo yaliyomema. Kwa iyo Nature na viumbe vilivyomo ndani ya Nature kumuhesabu kama ni Mtu mwema na Vice Versa is True.
 
I hope everything is going well Pablo Blanco

First of All lazima uelewe kwamba God is Nature. Pia hii nature imeundwa na vitu viwili vyenye Uhai na visivyo vyenye Uhai (Living Things & Non-Living Things).
Lakini lazima uelewe kwamba kila chenye uhai kina sifa ya Kimungu ndani yake. Kwa sababu viumbe vyote nivyamwenyezi Mungu na yeye ndiye aliyevipa uwezo viwepo na vikawepo.
Ukirudi nyuma kwa babu zetu na bibi zetu waliamini kwamba kuna baadhi ya wanyama ukimuona au kukutana naye basi utaambatana na Good luck na kuna baadhi ya wanyama ukimuona na kukutana naye utaambatana na Bad Luck.
Kwa mkoa wa kilimanjaro kuna ndege wanamwita "Madidi" huyu ndege akilia Wazee huwa wanaamini mvua itakuwa kubwa sana kwa msimu huo. So hizi ni myths tu lakini ukichunguza sana unaweza kubaini ukweli ndani yake.

Kuna kitu kinaitwa Natural Selection ningependa tukihighlights kwanza kabla ya kufanya conclusion ya swali lako?
Natural Selection - Ni kitendo ambacho kiumbe hai anakuwa na uwezo wa kuadapt na kuchange kulingana na mazingira yanayomzunguka. Hii ni theory ambayo ilikuwa developed na Bwana Charles Darwin katika safari yake ya kufanya Research, South America na Pacific kwenye mimea, wanyama na fossils. Hatimaye kutoa kitabu kilichoitwa "On the Origin of Species" mwaka 1859.
Hii inamaana kwamba mazingira yanachagua wanyama fulani wenye distinctive features fulani kuishi eneo fulani. Ndiyo maana utakuta Polar Bears wanaishi kwenye maeneo yenye baridi kali yani Northern Arctic and Southern Antarctica lakini sio kwenye maeneo ya Joto kali. Huku Loxodonta Africana akiishi maeneo ya Tropical ambayo kiuhalisia ni maeneo yenye Joto. Kwa hiyo ukimwangalia Dubu utagundua anadistinctive features ambazo Tembo hana na ukimwangalia Tembo utagundua anadistinctive features ambazo Dubu hana. Mfano Polar Bears anauwezo wa kufanya Hibernation lakini Loxodonta Africana hawezi. Lakini pia Tembo ana masikio makubwa ambayo yamezungukwa na Blood Vessels kwa ajili ya kumsaidia kufanya Body Temperature Regulation lakini Polar Bear hana.
Kwa hiyo hata kwenye maisha kuna vitu wewe unavyo lakini mwingine hana na kuna vitu mwingine anavyo lakini wewe hauna. That's Nature How It works.

Kwa hiyo mtu anayefanya mambo mema kwanza nature itacount yale mema yote anayofanya na in the return kumletea mambo yaliyomema. Kwa iyo Nature na viumbe vilivyomo ndani ya Nature kumuhesabu kama ni Mtu mwema na Vice Versa is True.
Salute mate, Splendid narration ✊
 
Tunapata shida sana hii hali nnayo mm siwez interact na watu asee nko very selective kwenye marafiki in short sina marafiki wengi,nnapenda kukaa ndan muda mrefu ,furaha yangu ni kusafiri kimawazo
Hii ya kusafiri kimawazo nilikuwa nayo tangu nikiwa mdogo lakini sikuiona kama no tatizo lakini baada ya kukua niliiona kama ni tatizo nikawa ninaiepuka.

Nashukuru mungu kwa sasa naweza kuikontroo kwa kiasi fulani.
 
Mimi mwenyewe haiba yangu ni hiyo kwa kwel inanipa tabu ila namshukuru Mungu kuwa hivii, mpaka sasa nina miaka 23 ila sijawah kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, na marafiki wa karibu sina kabisa, kipindi nipo chuo nilikuwa nikirud ni ndani tu, hata kama sijaenda nakuwa tu ndani, na sijawahi kwenda kula bata yoyote na washkaji, na kuna msichana fulan alitokea kunipenda nikawa tu nampotezea mpaka sasa hivi siko nae vizurii anaona kama naringa lakin ndiyo nilivyoo.
Ni vizuri kujikubali

Lakini nakushauri ujisomee vitabu vinavyohusia a na introverts ili uweze kujijua vizuri zaidi.

kwa sababu kuwa introvert haina maana ndio uishi maisha ya kujitenga au kutokuwa normal, bali unatakiwa kujijua tu wewe ni mtu wa aina gani na utachanagamana vipi na jamii kwa kuzingatia hali yako.

Maisha ni lazima yaendelee ipo siku utakuwa na mahusiano/utaoa
 
I hope everything is going well Pablo Blanco

First of All lazima uelewe kwamba God is Nature. Pia hii nature imeundwa na vitu viwili vyenye Uhai na visivyo vyenye Uhai (Living Things & Non-Living Things).
Lakini lazima uelewe kwamba kila chenye uhai kina sifa ya Kimungu ndani yake. Kwa sababu viumbe vyote nivyamwenyezi Mungu na yeye ndiye aliyevipa uwezo viwepo na vikawepo.
Ukirudi nyuma kwa babu zetu na bibi zetu waliamini kwamba kuna baadhi ya wanyama ukimuona au kukutana naye basi utaambatana na Good luck na kuna baadhi ya wanyama ukimuona na kukutana naye utaambatana na Bad Luck.
Kwa mkoa wa kilimanjaro kuna ndege wanamwita "Madidi" huyu ndege akilia Wazee huwa wanaamini mvua itakuwa kubwa sana kwa msimu huo. So hizi ni myths tu lakini ukichunguza sana unaweza kubaini ukweli ndani yake.

Kuna kitu kinaitwa Natural Selection ningependa tukihighlights kwanza kabla ya kufanya conclusion ya swali lako?
Natural Selection - Ni kitendo ambacho kiumbe hai anakuwa na uwezo wa kuadapt na kuchange kulingana na mazingira yanayomzunguka. Hii ni theory ambayo ilikuwa developed na Bwana Charles Darwin katika safari yake ya kufanya Research, South America na Pacific kwenye mimea, wanyama na fossils. Hatimaye kutoa kitabu kilichoitwa "On the Origin of Species" mwaka 1859.
Hii inamaana kwamba mazingira yanachagua wanyama fulani wenye distinctive features fulani kuishi eneo fulani. Ndiyo maana utakuta Polar Bears (Dubu) wanaishi kwenye maeneo yenye baridi kali yani Northern Arctic and Southern Antarctica lakini sio kwenye maeneo ya Joto kali. Huku Loxodonta Africana (Tembo) akiishi maeneo ya Tropical ambayo kiuhalisia ni maeneo yenye Joto. Kwa hiyo ukimwangalia Dubu utagundua anadistinctive features ambazo Tembo hana na ukimwangalia Tembo utagundua anadistinctive features ambazo Dubu hana. Mfano Polar Bears anauwezo wa kufanya Hibernation lakini Loxodonta Africana (Tembo) hawezi. Lakini pia Tembo ana masikio makubwa ambayo yamezungukwa na Blood Vessels kwa ajili ya kumsaidia kufanya Body Temperature Regulation lakini Polar Bear (Dubu) hana.
Kwa hiyo hata kwenye maisha kuna vitu wewe unavyo lakini mwingine hana na kuna vitu mwingine anavyo lakini wewe hauna. That's Nature How It works.

Kwa hiyo mtu anayefanya mambo mema kwanza nature itacount yale mema yote anayofanya na in the return kumletea mambo yaliyomema. Kwa iyo Nature na viumbe vilivyomo ndani ya Nature kumuhesabu kama ni Mtu mwema na Vice Versa is True.
I got you...I hope utakuwa umesaidia watu wengi
 
Dadeki huyo ni mimi kabisa,nimeshajaribu njia zote kujaribu kuchange ila hola,,
hapa Wana aibu nyingi sana hasa kwa watu wasiowafahamu wala kuzoeana nao ,..
Umegusa mulemule,,,
vipi unaendeleaje
 
Mie kwa upande wangu tangu nipo mdogo (kuanzia 10yrs) nilikuwa sipendi kuchangamana na wenzangu, nikitoka shule chumbani hadi kufikia wazazi wangu kuichukia tabia yangu, yaani rafiki zangu wakija kunisalimia nipo radhi nivunge nimelala usingizi ili tu waniachie nafasi ya kuwa peke yangu.

Hii tabia niliendelea nayo hadi secondary school, nilikuwa sipendi kitu chaitwa discussion, ni mwendo wa kupiga msuli mwenyewe.

Pia nimekuwa mchaguzi sana wa marafiki, wale wambea, tantalila nyingi hatuivi zaidi ya salamu, sipendi kusikia mtu ananiletea stori za ooh sijui fulani alikuwa anakusema hivi na hivi, akisikia aliache huko huko.

Kuhusu hisia za upendo ninazo sana iwe kwa rafiki ama mpenzi, na kuhusu kusaidia nachukua tatizo la mtu kama la kwangu, hii imepelekea kudhulumiwa sana na watu niliowaamini na kuwasaidia. Huwa naguswa sana.
Sasa sijui nadondokea wapi?
Da'Vinci
hao wanaokudhulumu uliwakopesha?
 
So I am Pyaar!
You're Introvert..
Sifa kuu yetu ni upendo na huruma. Ndio maana na Jesus hua anakuareferd as Introvert maana alikua/ana na huruma na upendo ulipitiliza kwa watu wake.

Upande wa kudhurumiwa nimedhurumiwa sana. Imagine nishawahi fyatua tofali 2000 kwenye kichuguu hafu sikupewa hata 100. Nilisamehe
Kingine ni kuonewa..unakua dustbin ya kila mtu. Watafanya makosa yao unatupiwa wewe just bcz huwezi jieleza vizuri.
that's too much fam!!...wanawake wanapenda Sana watu wapole Kama wewe[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom