Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Nachukia sana hi hali
Nimejaribu kubadirika na Kujibadirisha lakini wapi
naona nipo kune One way rail no way to get out

Totally I hate To be like this.
I luv to socialize with A lot of people (known &unknown)
Mwepesi Kujieleza
Fearless

Hi Hali inanifelisha sana aisee
sioni ata Raha ya Maishe
Mdomo mzito kujieleza
Aibu zilizo zidi kiwango
Mawazo Mengi (Esp: Suicide Thoughts )
Kutojiamini Mbele za watu (Esp Girls)

Totally nipo Insecured everyday
I Hate To Be Like This
Nataka kubadirika Aisee
Hi Hali inanitesa, sioni raha yake

Gonzalo Miguel PS
¡Es Mi Futuro En Mi vida!
 
mimi nilikopa sehem hela kabla ya mwezi nilikutana na mtu kwenye kikundi alimikumbusha marejesha tu nilikasirika nikaenda kuwachekulia hela yao nikawapa yote na riba juu
bora umefanya hivyo wabongo wana dharau za kipumbavu sana,ukiwa kimya wanajua umechacha ili waje kukudhalilisha.
 
44
Hata mimi inanikera watu kuchukulia sisi ni wadhaifu kumbe tuko perfect kabisa.
Inanipa tabu sana hata wife kunizoea.

Hawa wengine ni kuwasikia na kupotezea tu, lakin kutoeleweka na mtu wa karibu kama wife ni kikwazo sana.
 
44


Hawa wengine ni kuwasikia na kupotezea tu, lakin kutoeleweka na mtu wa karibu kama wife ni kikwazo sana.
Ila ananizoea pole pole baada ya kufanya vitu kadhaa kwa vitendo bila makelele wala promo akaanza kunielewa ni mtu wa slow but sure.
Sasa hivi ameanza kuni appreciate!
 
Nachukia sana hi hali
Nimejaribu kubadirika na Kujibadirisha lakini wapi
naona nipo kune One way rail no way to get out

Totally I hate To be like this.
I luv to socialize with A lot of people (known &unknown)
Mwepesi Kujieleza
Fearless

Hi Hali inanifelisha sana aisee
sioni ata Raha ya Maishe
Mdomo mzito kujieleza
Aibu zilizo zidi kiwango
Mawazo Mengi (Esp: Suicide Thoughts )
Kutojiamini Mbele za watu (Esp Girls)

Totally nipo Insecured everyday
I Hate To Be Like This
Nataka kubadirika Aisee
Hi Hali inanitesa, sioni raha yake

Gonzalo Miguel PS
¡Es Mi Futuro En Mi vida!
Mkuu fanya kuonana na wataalam unahitaji msaada...mpk suicidal thoughts the problem has reached too far

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila ananizoea pole pole baada ya kufanya vitu kadhaa kwa vitendo bila makelele wala promo akaanza kunielewa ni mtu wa slow but sure.
Sasa hivi ameanza kuni appreciate!

nimependa approach yako mkuu,inafariji kuona anakuelewa maana si unajua tunavyopenda sana intense relationship...enjoy mkuu.
 
Hata mimi niko hvyo.
Isipokuwa ninapokuwa kiongozi mahali na nikapewa nafasi ya kuongea za watu kwa vild ni mvivu wa kuongea huwa naingizia siasa na komedi kidogo ili kuwapunguza maswali.
But tuna ile halii watu wasipokua waelewa mfano labda umewapa amri fulani hivi waifuate,then wakapuuza huwa tunakuja na maamuzi magumu yasio na huruma ndani yake japo mwishon huwa tunajutia tulichokifanya!!
 
But tuna ile halii watu wasipokua waelewa mfano labda umewapa amri fulani hivi waifuate,then wakapuuza huwa tunakuja na maamuzi magumu yasio na huruma ndani yake japo mwishon huwa tunajutia tulichokifanya!!
Yes offcourse hata mimi ndio nilivyo.
Kwa mfano mtu akiniletea dharau huwa narekodi halafu namvizia baada ya muda mrefu sana wakati kashasahau namfanyia kitu ambacho kitamtesa miaka yote.
Yaani niko very strategic nikimuwekea mtu mtego anakuja kunasa mzima mzima lazima kamasi zimtoke.
 
introverts wote wana sifa hizi

- Wana uwezo mkubwa kiakili (high intelligence Quotient)
- Ni wagunduzi wa mambo makubwa ya kisayansi
- Wanamudu vizuri masomo ya sayansi na hesabu
- Ni watu wenye pole pole na wasio na maneno mengi
- Wana hisia kali za upendo na ni kundi linalosadikika kuwa na upendo wa dhati

- Wanawajali sana wenzao hasa wanapokuwa katika shida na matatizo(i.e ndio maana hawa huwa waombaji –wanamaombi wazuri sana kiimani)

Sifa zao nyingine ni pamoja na;

- Wana huruma sana na hawapendi kuona wengine wakionewa
- Wanajitolea kwa haraka na kwa dhati katika mambo ya wengine

- Huondoa uchungu wao kwa machozi (wakiumizwa hulia haraka, hasa kwa upande wa wanawake/wasichana)

- Hawajiamini kwa mambo wanayoyafanya (hata wakiwa darasani si wepesi wa kunyoosha vidole ili kujibu maswali)

- Wanahesabu kushindwa kuliko kufanikiwa (mfano akitaka kuanzisha duka; badala ya kuwaza itakuwaje nikipata faida wanawaza itakuwaje kama duka litaibiwa ama kuungua moto, kwa maswali hayo anajikuta hata anafikia katika uamuzi wa kuahirisha uanzishaji wa mradi huo)

- Wakata tamaa wanapokosolewa.
- Wanapenda sana kutiwa moyo kiuhalisia.

Nyinginezo ni;

- Wanapenda kusoma, kusikiliza, na kusimulia mambo yenye tafakari na uchambuzi wa kina (hawapendi umbea)

- Wanapotoa mawaidha mahubiri ama ushauri wengi(wanaosikiliza) huwa wanaguswa nao na hubadilika haraka kutokana na mawaidha hayo ama ushauri ama mahubiri hayo.

- Hawapendi kuvunja taratibu, sheria za eneo husika.
- Wanapenda usafi na mpangilio mzuri wa vitu vyao

- Ni wa vumilivu sana katika hali mbalimbali (mfano wanapoonewa ama kuumizwa).

- Hawapendi kufuatilia mambo ya wengine pasipo sababu za msingi.

- Ni kundi mojawapo linaloathiriwa sana na magonjwa ya mashinikizo kutokana na kuwa wanawaza sana.

- Ni wagumu wa kusahau na hiyo imewasababishia kuwa wagumu wa kusamehe.

- Wanaumia sana wanapokosea ama kushindwa jambo Fulani

Pia, wanafahamika kwa;

- Wanajeruhika mioyo yao kirahisi (i.e wakiingiwa na pepo wabaya si rahisi kuwatoka kwa sababu ya kutunza uchungu kwa muda mrefu mioyono mwao)

- Wana busara na hekima nyingi
- Ni watu ambao wakiishika imani fulani wanajitahidi kuitimiliza sheria yote.
- Ni wepesi wa kutubia makosa yao na kutubu kwa ajili ya wengine.
- Wana aibu nyingi sana hasa kwa watu wasiowafahamu wala kuzoeana nao
- Ni kundi la watu wanoridhika haraka

- Masikini wengi kiuchumi duniani ni wa kutoka katika kundi hili kutokana na uoga wao wa kuanzisha mambo kwa kuhofia kushindwa.

- Watoto wanaozaliwa katika kundi hili inasadikiwa ni wengi huwa na ndoto za kufanikiwa mapema lakini ni wachache mno ambao huweza kutimiliza ndoto zao kutoka na uoga wa kuanzilisha mambo mapya.

- Kundi linalopenda amani na utulivu
- Wanaogopa sana matatizo, vikwazo na changamoto

- Katika familia baba na mama wakiwa melancolin upo uwezekano mkubwa kwa watoto kuharibika maadili kwa sababu hawa melancolin si wepesi wa kuadhibu.

Wana sifa nyingi sana, nyinginezo ni;

- Mara nyingi hupenda kuonesha sura za tabasamu hata kama wapo katika matatizo makubwa

- Hawapendi kumueleza kila mtu mambo yao binafsi
- Ni kundi la watu wenye marafiki wachache
- Wakati mwingine hupenda kujikataa.
- Ni waaminifu na wasema ukweli
- Wanapenda kusaidia wengine kupita hata uwezo wao
- Ni waaminifu sana kwa mambo ya kawaida na yale ya kiimani
- Hawapendi kujionesha mbele ya macho ya watu

- Hawa hawafai kuwa viongozi (si wazuri sana) kwa sababu wanapenda kusikiliza na kutafakari kila wanachoshauriwa hivyo hujikuta kuwa wanayumba kimisimamo. (mfano kama mkurugenzi/mwenyekiti wa eneo Fulani akiwa ni melancolin yafaa sana msaidizi wake awe ni colerick

Kingine kinachowanyima sifa ya kuwa viongozi wazuri ni kutokuwa na uwezo wa kujieleza kwa kujenga hoja zenye ushawishi mkubwa [Musa wa biblia alikuwa ni mmoja ya watu wa kundi hili, alikuwa hajiamini, anakata tamaa mapema, mlalamishi, asiyeweza kujieleza, licha ya kupewa msaidizi na Mungu bado tabia zake zilimuathiri na akajikuta anakosa nchi ya ahadi-Kaanani].

- Wanauhesabu upendo wa dhati kutokana na mambo wanayofanyiwa na sio kuambiwa (wanafurahia sana vitendo kuliko maneno}

- Kwa upande wa wasichana inasemekana kuwa ndio ambao wanasumbuliwa zaidi na maumivu ya hedhi, na kujifungua.
Hakika Ulichoelezea hapa Ni KIOO. Nimejiona humu ndani. Asante Sana
 
Hili muhimu sana mkuu,kujielewa sisi ni watu wa aina gani na kujikubali.Mbaya zaidi inachukuliwa kuwa introvert ni udhaifu,kumbe sio,ni jinsi tulivyo tu.
Kuwa intro ni strong character ,i like this yaani wenye kujikomba ndio wawe wa maana,kuweni serious kidogo
 
Nachukia sana hi hali
Nimejaribu kubadirika na Kujibadirisha lakini wapi
naona nipo kune One way rail no way to get out

Totally I hate To be like this.
I luv to socialize with A lot of people (known &unknown)
Mwepesi Kujieleza
Fearless

Hi Hali inanifelisha sana aisee
sioni ata Raha ya Maishe
Mdomo mzito kujieleza
Aibu zilizo zidi kiwango
Mawazo Mengi (Esp: Suicide Thoughts )
Kutojiamini Mbele za watu (Esp Girls)

Totally nipo Insecured everyday
I Hate To Be Like This
Nataka kubadirika Aisee
Hi Hali inanitesa, sioni raha yake

Gonzalo Miguel PS
¡Es Mi Futuro En Mi vida!
sasa wewe utakuwa sio intro ila una stress za maisha maana sie intros tumeumbwa kuhimili hii hali ikiwa ni pamoja na uvumilivu wa upweke bila kufikia hali hii,binafsi naamini waliokata tamaa wengi maishani ni extros maana hawawezi kuhimili upweke na ndio hao wanahangaishwa sana na wanawake
Wewe tafuta ushauri kwa wanasikolojia
 
Back
Top Bottom