Iite savak jina utakaloiita ila role yake ilikua ni kuua wapinzani, Iite hata Nursery school haitabadilisha fact maelfu ya waisilamu, wajamaa, wakurd, Turkmenistan etc waliuliwa sababu walikua against government,
Haijalishi ni bwanyenye ama clergy, the issue ni kwamba Asilimia 80 ya nchi hawakumiliki ardhi, je ni sawa? Na shah ardhi haikua yake yeye ndio alidhulumu Ardhi ya wananchi na kujimilikisha, Alikuwa na ndio biggest land owner, so kufanya reform na kupunguza ardhi yake kidogo means nothing kama hio ardhi alipora
The regime that was headed by the semiliterate Reza Shah became increasingly authoritarian and finally dictatorial. His brutality, which included the murder of many of his closest supporters, and his mania for land acquisition, through which he had become the largest landowner in the country, made his regime increasingly unpopular.
Encyclopedia ya Reza Shah hio
REZA SHAH (1878–1944)Shah Reza Khan was the founder and first shah of the Pahlavi dynasty of Iran. The exact date of his birth is uncertain but has been fixed officially as 16 March 1878. He died in exile in South Africa on 26 July 1944. Source for information on Reza Shah (1878–1944)...
www.encyclopedia.com
Hizi propaganda tu, waliokua nyuma ni ukanda wa jangwani maeneo kama Saudi ila waarabu na wa Iran wa Mjini for Long time hayo maeneo yalishaendelea na watu walijitambua, Anzia Palestina nenda mpaka Beirut, nenda Damascus, Baghdad hadi Persia huko Iran ndio ilikuwa Civilazition kubwa, waliendelea kushinda nchi nyingi za Ulaya.
Wakati wa Shah Global average ilikuwa ni Asilimia 65 ndio educated, ila Iran ni 35 unaona ni sawa? View attachment 2968318
Kugongomelea msumari Tanzania miaka ya 80 tulikuwa na literacy rate 59%, kama unaamini jamaa yako Shah alipromote Elimu hali ya kuwa Alipitwa na nchi kibao za ki Africa sawa, Endelea kuamini.
Unapomkamata mtu kimya kimya na kumuua ni utawala wa kisheria? Nimekuekea link hapo inaelezea kwanini haukuwa utawala wa kisheria, imeandikwa 1979 wakati wa mapinduzi toka chuo chako pendwa Havard, ama nao ni vilaza na propaganda zako ni sahihi?
Jimmy carter Raisi wa Marekani wakati huo baada ya kuingia madarakani alikuwa akigombana nao kila siku kwa dikteta wao, Shah alikuwa ni dictator Kama dictator wengine. A
You are kidding right?
shah na hata utawala wa sasa wanawatesa sana wa kurd, Shah aliwaua wengi tu 1967
In short kama ilivyo Taliban Shah alia mini kwenye persianization, Minorities wengi walikuwa suppressed utawala wake.
Hebu kasome vizuri Historia ya Shah na uhusiano wake na Marekani na Usa,
Mwaka 1941 shah mtoto anampindua Shah baba, na Shah mtoto anakua full supported na west.
Miaka ya 1950s alikua Waziri mkuu mossadeq ndie Alienationalize mafuta na alikua na nguvu kipindi hicho sababu shah mtoto bado hajakamata power vizuri, Shah akataka kumtoa zikatokea vurugu na shah mtoto akasepa, Mataifa ya magharibi yakamtoa mossadeq madarakani na ndio shah mtoto akarudi.
Alivyorudi shah mtoto akawapa Magharibi mafuta, Usa alichukua share kama 40% ya mafuta yote ya Iran kwa ruhusa ya huyo kibaraka wako unaemtetea.
Soma kwa kina "The White revolution of Iran", utagundua wewe ni mtupu sana na umemeza propoganda hasi tu zilizopikwa na wafahidhina wa Iran kumuhusu Shah na utawala wake.
Soma kwa kina "The White revolution of Iran", utagundua wewe ni mtupu sana na umemeza propoganda hasi tu zilizopikwa na wafahidhina wa Iran kumuhusu Shah na utawala wake.
Bro kila kitu nimeweka source, situmii source za ovyo ovyo, hizo data za Elimu zinatoka Un, publications za Sayansi zipo wazi Dunia nzima zinaonekana, issue za ku nationalize zinajulikana etc mambo yote yapo wazi, unless wanasayansi na Un ni vyombo vya propaganda vya Iran
Mwaka 1953 yalifanyika mapinduzi yalioongozwa na Uingereza na Wamarekani kumpindua Waziri Mkuu aliyekuwepo madarakani kidemokrasia na kuwapa vibaraka wao kina Shah madaraka yote.
"The 1953 Iranian coup d'état, known in Iran as the 28 Mordad coup d'état (Persian: کودتای ۲۸ مرداد), was the U.S.- and British-instigated, Iranian army-led overthrow of the elected Prime Minister Mohammad Mosaddegh in favor of strengthening the monarchical rule of the shah, Mohammad Reza Pahlavi, on 19 August 1953, ...
Sasa mbona hiyo Iran inayo ongozwa na washamba na wenye mawazo ya kizamani mpaka sasa ina miliki kila aina ya kitu cha kisasa, wakati nchi yako yenye viongozi wajanja na wenye mawazo ya kisasa bado ipo kwenye giza na ujima?
Kama ndo hivyo basi na sisi Tz tunahitaji viongozi washamba ili angalau tufikie hata robo ya maendeleo ya Iran.
Lakini wakati huo Nigeria imeorodheshwa kwenye moja wapo ya nchi masikini kabisa ulimwenguni hali ya kuwa Iran ipo kwenye uchumi wa kati juu.
India ina uchumi mkubwa zaidi ya mara tatu ya Spain lakini nenda India alafu uende Spain ulingishe ubora wa maisha ya raia wao na miundo ya nchi hizo alafu urudi hapa kuongea ujinga.
Kwanini Iran ndo ilitakiwa kuwa sawa na wao na sio nchi yako ?au ww nchi yako haitakiwi kushindana na nchi nyingine na kuzipita?
Iran ni nchi yenye nguvu za kiviwanda wakati Saudia hana tofauti na Tz sema kinacho mbeba ni utajiri wa mafuta.
Uchumi wa Saudia unategemea zaidi bei ya mafuta na uwekezaji alio ufanya kwenye makampuni mbalimbali duniani, wakati Iran wenyewe wanaanzisha na kubuni makampuni yao wenyewe hawategemei kuwekeza kwenye makampuni ya wengine.
Mwaka 2023 Iran kauza bidhaa nyingi za viwandani nje ya nchi kuizidi Uturuki .
Iran inazalisha umeme mwingi zaidi ya mara 2 ya anao zalisha Uturuki.
Kwanini Iran ndo ilitakiwa kuwa sawa na wao na sio nchi yako ?au ww nchi yako haitakiwi kushindana na nchi nyingine na kuzipita?
Iran ni nchi yenye nguvu za kiviwanda wakati Saudia hana tofauti na Tz sema kinacho mbeba ni utajiri wa mafuta.
Uchumi wa Saudia unategemea zaidi bei ya mafuta na uwekezaji alio ufanya kwenye makampuni mbalimbali duniani, wakati Iran wenyewe wanaanzisha na kubuni makampuni yao wenyewe hawategemei kuwekeza kwenye makampuni ya wengine.
Mwaka 2023 Iran kauza bidhaa nyingi za viwandani nje ya nchi kuizidi Uturuki .
Iran inazalisha umeme mwingi zaidi ya mara 2 ya anao zalisha Uturuki.
Lakini wakati huo Nigeria imeorodheshwa kwenye moja wapo ya nchi masikini kabisa ulimwenguni hali ya kuwa Iran ipo kwenye uchumi wa kati juu.
India ina uchumi mkubwa zaidi ya mara tatu ya Spain lakini nenda India alafu uende Spain ulingishe ubora wa maisha ya raia wao na miundo ya nchi hizo alafu urudi hapa kuongea ujinga.
idadi ya watu.. nchi kama nchi ina uchumi mkubwa.. ila kuna watu pia masikini sana kwenye hizo nchi.. mada hapa hatuongelei uchumi wa watu.. tunaongelea uchumi wa nchi kama nchi, uchumi wa nchi ni somo lingine, na uchumi wa watu wanaoishi kwenye nchi husika pia ni somo lingine, mfano uchumi wa china ni imara kuliko uchumi ambao wananchi wake wanao.
kama huna uelewa na mambo haya sema tukupe darasa.
idadi ya watu.. nchi kama nchi ina uchumi mkubwa.. ila kuna watu pia masikini sana kwenye hizo nchi.. mada hapa hatuongelei uchumi wa watu.. tunaongelea uchumi wa nchi kama nchi, uchumi wa nchi ni somo lingine, na uchumi wa watu wanaoishi kwenye nchi husika pia ni somo lingine, mfano uchumi wa china ni imara kuliko uchumi ambao wananchi wake wanao.
kama huna uelewa na mambo haya sema tukupe darasa.
Uchumi mzuri ni ule unao yafanya maisha ya raia wa nchi fulani kuwa bora na nafuu,utakao wezesha nchi kujenga miundo mbinu mizuri .
Na sio uchumi wa kunufaisha wanasiasa wakati raia wako taabani kihuduma.
India ina uchumi mkubwa zaidi ya mara mbili ya Ufaransa lakini Ufaransa ina uchumi imara sana kuizidi India.
Na Ufaransa ni nchi iliyo endelea wakati India ni nchi inayo endelea.
Uchumi mzuri ni ule unao yafanya maisha ya raia wa nchi fulani kuwa bora na nafuu,utakao wezesha nchi kujenga miundo mbinu mizuri .
Na sio uchumi wa kunufaisha wanasiasa wakati raia wako taabani kihuduma.
India ina uchumi mkubwa zaidi ya mara mbili ya Ufaransa lakini Ufaransa ina uchumi imara sana kuizidi India.
Na Ufaransa ni nchi iliyo endelea wakati India ni nchi inayo endelea.
hilo somo la uchumi wa nchi na uchumi wa watu na upi ni uchumi mzuri, ni somo lingine, kama ukihitaji darasa lake sema, kwa sasa mada ilikua ni ingine, so usitoke nje ya mada
Kwahiyo kwako usasa ni wanawake kuvaa uchi na kupishana gest kufanya uzinzi badala ya kufanya kazi?
Mbona hiyo serikali yako haijakupa uhuru wa kuamini nje ya CCM kwa kuweka sheria za kuhakikisha CCM inatawala milele?
Mbona hiyo serikali yako haijakupa uhuru wa kujikwamua kwenye umasikini?
Huo uhuru wa kuamini unacho kitaka si ndo umeleta akina mwamposa wanao tapeli na kutia watu umasikini?
Huo uhuru wa kuamini unacho kitaka si ndo umeleta akina makanzie aliye uwa mamia ya watu kwa njaa?
Nyinyi mko kwenye usasa wa kinadharia wakati wao wako kwenye usasa wa kivitendo.
Na ndio maana Iran , Qtaar, UAE,Saudia ,Malasia zinahesabika kuwa n nchi za ulimwengu wa kwanza na wa pili wakati nyinyi wenye uhuru unao usema mnahesabika kama dunia ya tatu ,yaani watu wa mwisho kabisa hapa duniani ambao mnaishi maisha yaliyo pitwa na wakati.
Ukisema hauzi mali za Wa Iran unamaanisha nini?
Iran ni mojawapo ya nchi zenye rushwa na ufisadi wa hali juu duniani. Transparency International inaiweka katika nafasi ya 147 kati ya nchi 180 duniani.
Ukisema hauzi mali za Wa Iran unamaanisha nini?
Iran ni mojawapo ya nchi zenye rushwa na ufisadi wa hali juu duniani. Transparency International inaiweka katika nafasi ya 147 kati ya nchi 180 duniani.
Transparency haimaanishi kuna rushwa, Bali ina maanisha hawaweki wazi mambo yao.
Hutoki kuwa nobody hadi nafasi ya 15 kisayansi kwa kuwa na Serikali ya Rushwa, Viongozi wa Iran pia tunawajua, mfano Ahmednajad alikuwa lecture chuo, Kawa raisi karudi sasa hivi kuwa lecture wa chuo, na mara kwa mara anaonekana akitumia public transport. Hizi sio mentality za Rushwa kabisa ingekuwa nchi zetu huku Angekuwa anaweka tu foleni za V8.
Huyo Ahmednajad mwenyewe Ameshaenda mahakamani mara kibao Kujibu kesi za ufisadi hadi za dola 500,000, huku kwetu vingeitwa visenti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.