Iite savak jina utakaloiita ila role yake ilikua ni kuua wapinzani, Iite hata Nursery school haitabadilisha fact maelfu ya waisilamu, wajamaa, wakurd, Turkmenistan etc waliuliwa sababu walikua against government,
Haijalishi ni bwanyenye ama clergy, the issue ni kwamba Asilimia 80 ya nchi hawakumiliki ardhi, je ni sawa? Na shah ardhi haikua yake yeye ndio alidhulumu Ardhi ya wananchi na kujimilikisha, Alikuwa na ndio biggest land owner, so kufanya reform na kupunguza ardhi yake kidogo means nothing kama hio ardhi alipora
The regime that was headed by the semiliterate Reza Shah became increasingly authoritarian and finally dictatorial. His brutality, which included the murder of many of his closest supporters, and his mania for land acquisition, through which he had become the largest landowner in the country, made his regime increasingly unpopular.
Encyclopedia ya Reza Shah hio
REZA SHAH (1878–1944)Shah Reza Khan was the founder and first shah of the Pahlavi dynasty of Iran. The exact date of his birth is uncertain but has been fixed officially as 16 March 1878. He died in exile in South Africa on 26 July 1944. Source for information on Reza Shah (1878–1944)...
Hizi propaganda tu, waliokua nyuma ni ukanda wa jangwani maeneo kama Saudi ila waarabu na wa Iran wa Mjini for Long time hayo maeneo yalishaendelea na watu walijitambua, Anzia Palestina nenda mpaka Beirut, nenda Damascus, Baghdad hadi Persia huko Iran ndio ilikuwa Civilazition kubwa, waliendelea kushinda nchi nyingi za Ulaya.
Wakati wa Shah Global average ilikuwa ni Asilimia 65 ndio educated, ila Iran ni 35 unaona ni sawa?
View attachment 2968318
Kugongomelea msumari Tanzania miaka ya 80 tulikuwa na literacy rate 59%, kama unaamini jamaa yako Shah alipromote Elimu hali ya kuwa Alipitwa na nchi kibao za ki Africa sawa, Endelea kuamini.
Unapomkamata mtu kimya kimya na kumuua ni utawala wa kisheria? Nimekuekea link hapo inaelezea kwanini haukuwa utawala wa kisheria, imeandikwa 1979 wakati wa mapinduzi toka chuo chako pendwa Havard, ama nao ni vilaza na propaganda zako ni sahihi?
Jimmy carter Raisi wa Marekani wakati huo baada ya kuingia madarakani alikuwa akigombana nao kila siku kwa dikteta wao, Shah alikuwa ni dictator Kama dictator wengine. A
You are kidding right?
shah na hata utawala wa sasa wanawatesa sana wa kurd, Shah aliwaua wengi tu 1967
In short kama ilivyo Taliban Shah alia mini kwenye persianization, Minorities wengi walikuwa suppressed utawala wake.
Hebu kasome vizuri Historia ya Shah na uhusiano wake na Marekani na Usa,
Mwaka 1941 shah mtoto anampindua Shah baba, na Shah mtoto anakua full supported na west.
Miaka ya 1950s alikua Waziri mkuu mossadeq ndie Alienationalize mafuta na alikua na nguvu kipindi hicho sababu shah mtoto bado hajakamata power vizuri, Shah akataka kumtoa zikatokea vurugu na shah mtoto akasepa, Mataifa ya magharibi yakamtoa mossadeq madarakani na ndio shah mtoto akarudi.
Alivyorudi shah mtoto akawapa Magharibi mafuta, Usa alichukua share kama 40% ya mafuta yote ya Iran kwa ruhusa ya huyo kibaraka wako unaemtetea.