Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibaya ndio maana aliambiwa akivueMungu alinena naye Musa akamwambia hicho KIATU kivue..
Hii ni genetically kwamba wanazaliwa hivyo au wanavikata??Kiatu changu ni miguu yangu
Wewe kiatu chako kikoje kiongozi? Maana tochi si tunaanza kumulika kuanzia miguuni[emoji4][emoji16]Haka kautafiti nimekafanya leo asubuhi hapa Kariakoo.
Both kwa ladies and gentlemen.
Ukitazama kiatu chake then umtazame sura yake unaona kabisa alistahili kuvaa kiatu hicho .
Hata kama kiatu ni Cha gharama mtu akiwa na sura mbaya bado atavaa kile kibaya.
Hata kama kiatu ni cha bei chee lakini handsome boy au binti mrembo atapoint kizuri.
Looh sio kwa kiatu hiko jirani
Tatizo kiatu jirani...Looh sio kwa kiatu hiko jirani
Tena nimewaza nikupige block kabisa kama mambo yenyewe ndio hayo jirani
Ndio jirani, badili kiatu ndio uje tena nikusikilizeTatizo kiatu jirani...
Ndio jirani, badili kiatu ndio uje tena nikusikilize
Bado hujanihamasisha jirani, try again next time...
Basi jirani nitavaa ndala...Bado hujanihamasisha jirani, try again next time...
Ziwe na ubora hizo ndalaBasi jirani nitavaa ndala...
Hapana ni kwa vile mahali alipokuwa palikuwa ni patakatifuKibaya ndio maana aliambiwa akivue