Jinsi kiswahili kinavyomrudisha nyuma Diamond

The ting goes skrrrahh, pap, pap, ka-ka-ka Skidiki-pap-pap, and a pu-pu-pudrrrr-boom Skya, du-du-ku-ku-dun-dun Poom, poom, you dun know

Hicho kibwagizo kilipendwa sana kwenye nyimbo ya man not hot na haina maana yoyote

"Typed with my thumbs."
 
Pia mwambie aache kuimba matusi maana kila nyimbo wao lazima wahusishe ngono
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi zile lyrics anazoimba kwa kiswahili.. unaona aki translate kuwa za kimombo bado watu watasikiliza na kufurahia.. haswa zenye kuimba juu ya kutendana tendana tu anazotoa sana na wenzaketangu mwaka jana?
 
Mtoa mada. Unaposema miaka 5 nyuma Diamond na kina Davido walikuwa wanawiana. Je, alikuwa anaimba kwa lugha gani?
In short. Diamond ndo bado tena, hapa bongo tu anafunikwa na madogo kibao.... mwambie aendelee tu kunyegeka
 
Dah ingekuwa hivyo akina Franco Luambo Makiadi, Bongo man, Koffi Olomide n.k tusingewaju maana hata sielewi wanaimba nini ila miziki yao naipenda balaa...
Kupitia mifano uliyoitaja, inathibitisha kuwa bandiko lake halina uhalisia, ni kama porojo tuu hakuwaza wala kukumbuka na kujisahihisha kabla ya kuamua kuandika.

Watanzania wengi tuu wanapenda nyimbo za kizungu iv ndio kusema wanaelewa kinachoimbwa la hasha pengine ni wachache tuu ndio wanaoelewa kiimbwacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

MakhiriKhiri Unawasikia Siku hizi?
 

Haukuwa Wimbo Ilikuwa Style Ndio maana Style Ya ngororo Ya Diamond Isambaa lakini Ojolegba Ya Wizkid Inaeleweka sana Kuliko Kamwambie Ya Diamond
 

Kilicho Mtoa Haukuwa Wimbo Ilikuwa Style yake Sahizi Unamsikia Tena?
 
Waliimba kwa kifaransa mataifa kibao africa yana zungumza kifaransa, Diamond mjanja sana aisee ana ngoma yake inaitwa wakawaka imekuwa banned hapa bongo ila inachezwa U.S jamaa kajitahidi kulenga japo kiswahili kinatuangusha sana.
Vipi Bongo tunaongea Kifaransa?!
 
Mataifa mengine kama South Afrika wanapambana kutumia kiswahili halafu mswahili anapambana kutumia kizungu
 
Pia mwambie aache kuimba matusi maana kila nyimbo wao lazima wahusishe ngono

Sent using Jamii Forums mobile app
Pale los angels ndo mahali ambampo maburudisho yote ya dunia yameasisiwa....na kuna nguzo tatu za maburudisho, kila anayefanya entertainment na ili afanikiwe kwa kiwango chake lazima ahamasishe nguzo moja au mbili, au zote tatu...nguzo hzo ni Ngono (mapenzi), Mauaji na Ushirikina...bila kufanya hvo hutoboi unless ufanye God related Music
 
Ni upuuzi kwa mwanamuziki wa kiafrica jujitutumua kwa Kiingereza na kutegemea kutusua kimataifa. Ni kutafuta kudharaulika tu. Lugha za kiafrica ni nzuri kimuziki. Fuatilia vizuri ninachomaanisha na utanielewa.
 
Sema hakuna sehemu ya ku like mara mbili.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna asiyemfahamu J Balvin na Anitta kwa nyimbo yao ya Safari.
Nani hakutikisa kichwa wakati Despacito inapigwa?!
Don Omar kibao chake cha Danza Kuduro wapi haikufika?!
Bad Bunny na Becky G - Mayores imesikilizwa na kutazama zaidi Africa baada ya Latin America (Africa ni Mataifa mangapi yenye kuzungumza Spanish?)

Lugha sio sababu.
 
Muziki ni zaidi ya lugha, kuna nyimbo kibao za Kiswahili zilizo maarufu mpaka Latino Amerika. Mwanamuziki Saida Karoli nyimbo zake zapigwa sana huko Latin Amerika ktk club na vilabu. Mfano huu hapa :

Como Bailan Saida Karoli Tanzania

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…