Jinsi kiswahili kinavyomrudisha nyuma Diamond

Jinsi kiswahili kinavyomrudisha nyuma Diamond

Umefikiria juu juu sana ndugu...

Unamjua jamaa mmoja kutoka korea kusini anaitwa PSY!!!!
Mwaka 2016 kama sikosei, alitoa hit song yake iliyokwenda kwa jina la GANGNAM STYLE. Aliimba kwa lugha yao ya korea na alifanikiwa kuhit dunia nzima ilhali hakuna aliyeelewa lugha yake. Gangnam style ina viewers billion+....
Mziki ni feelings

Sent using Jamii Forums mobile app

sure, ziko nyingi non english hit song
 
Kumekuwa ana Mjadara Mkubwa Tanzania,Katika Maendeleo Ya kimziki Kwa Diamond Platnumz Na Wasanii wengine! Watu wanajaribu kufananisha maendeleo ya kimziki ya Diamond Platnumz na Davido,Wizkid na wengine kwa Miaka 5 nyuma Kuwa Walikuwa wanafukuzana! Ni kweli kabisaa Walikuwa Sawa lakini nini kimetokea?

Binafsi Naamini Kaabisa Kuwa LUGHA YETU YA KISWAHILI imechangia kwa Asilimia 99% kutengeneza Gap kati ya Diamond Na Wasanii Wa njee Kama Davido Na Wizkid! Nipinge uwezavyo lakini kwangu Mimi Kama Danya Naamini Kiswahilii ndio sababu kubwa

Kwasababu naamini ili mziki wako Upendwe ni lazima kile unacho imba kieleweke katika Jamii na Dunia Kwa ujumla ya wale Unao waambia! Wimbo Wako unaweza Kuwa na Maana Nzuri kabisa lakini Kama Haueleweki kwa watu kupendwa Itakuwa ngumu! Lugh ni kitu cha Msingi sana! Watanzania Tunapenda Nyimbo za Nje kwasababu Baadhi yetu Tunaelewa Kingereza Tunaelewa Lugh inayo imbwa Kwasababu Ni lugha Ya Kufundisha Katika Vyuo vyetu na Shule zetu! Lakini Kiswahili Je? Huwezi kuona Nigeria,Marekani na Mataifa Mengine wanajifunza Kiswahili! Na wasanii wakubwa Wote Duniani Wanataka Kujua Kile kinachoimbwa Kina maana Gani? Nyimbo zetu Nyingi Zimetapakaa AFRIKA MASHARIKI kwasababu Ya Kiswahili lakini huwezi Kusikia Nyimbo zetu zikipigwa Kwa wingi South Afrika, Na mataifa Ya Ulaya Kwasabau ya Lugha

Sio Kwamba Diamond hana Kipaji hapana au uwezo wake ni mdogo hapana Lakini Lugha ndio sababu kubwa inayo mtesa! Ndio maana Huwezi Kumuona Davido Au Wizkid nyimbo zao Zote wanaimba kwa lugha hao hapana Wanaimba Kwa Kingereza na Ndio sababu kubwa zinasambaa na kupendwa Duniani kwasababu zinaeleweka! Hata kwenye Show Ni rahisi Msanii Kuimba na Mashabiki zake kwasababu wanaelewa kile kinacho imbwa lakini Sio Diamond Show Za nje kuimba Na Mashabiki zake kwasababu wengi hawaelewi lugha

Naamini Kabisa Mziki wa Tanzania Na Afrika Mashariki Kwa ujumla Bado Una safari ndefu sana Kwasababu Ya lugha Ya Kiswahili! Ni either Waache Kabisa Kuimba Kiswahili waimbe Kwa kingereza Au wasubiri kiswahili kienee Duniani Kote ndio mziki wetu Utafika Mbali! Hata Ikitokea Diamond Akaimba kwa kingereza basi Matamshi yake Hatakiwa vizuri kwasbabu sio Lugha anayo ituma mara kwa mara! Ndio maana Diamond anatumia Gharama Kubwa sana Kufanya Collabo na wasanii wa nje ya Tanzania Ili kufikisha Mziki wetu mbali kwasababu ya Lugha ya kiswahilii! Ukweli ni kwamba Kwa msanii Yeyote yule wa Tanzania ili mziki wako Ufike nje Ya afrika Mashariki Unahitaji Kufanya Collabo za Kimataifa nyingi kadri uwezavyo..... Kinacho mfanya Alikiba Asiwe Wa kimatafita ni kwasababu Ya ufinyu wa Kolabo za Kimataifa hivyo watu inakuwa ngumu Kuelewa Kishwahili/Lugha Inayo Imbwa

LUGHA YA KISWAHILI NI JANGA KWA MUZIKI WETU

Ni mtazamo Tuu
Wataelewa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumekuwa ana Mjadara Mkubwa Tanzania,Katika Maendeleo Ya kimziki Kwa Diamond Platnumz Na Wasanii wengine! Watu wanajaribu kufananisha maendeleo ya kimziki ya Diamond Platnumz na Davido,Wizkid na wengine kwa Miaka 5 nyuma Kuwa Walikuwa wanafukuzana! Ni kweli kabisaa Walikuwa Sawa lakini nini kimetokea?

Binafsi Naamini Kaabisa Kuwa LUGHA YETU YA KISWAHILI imechangia kwa Asilimia 99% kutengeneza Gap kati ya Diamond Na Wasanii Wa njee Kama Davido Na Wizkid! Nipinge uwezavyo lakini kwangu Mimi Kama Danya Naamini Kiswahilii ndio sababu kubwa

Kwasababu naamini ili mziki wako Upendwe ni lazima kile unacho imba kieleweke katika Jamii na Dunia Kwa ujumla ya wale Unao waambia! Wimbo Wako unaweza Kuwa na Maana Nzuri kabisa lakini Kama Haueleweki kwa watu kupendwa Itakuwa ngumu! Lugh ni kitu cha Msingi sana! Watanzania Tunapenda Nyimbo za Nje kwasababu Baadhi yetu Tunaelewa Kingereza Tunaelewa Lugh inayo imbwa Kwasababu Ni lugha Ya Kufundisha Katika Vyuo vyetu na Shule zetu! Lakini Kiswahili Je? Huwezi kuona Nigeria,Marekani na Mataifa Mengine wanajifunza Kiswahili! Na wasanii wakubwa Wote Duniani Wanataka Kujua Kile kinachoimbwa Kina maana Gani? Nyimbo zetu Nyingi Zimetapakaa AFRIKA MASHARIKI kwasababu Ya Kiswahili lakini huwezi Kusikia Nyimbo zetu zikipigwa Kwa wingi South Afrika, Na mataifa Ya Ulaya Kwasabau ya Lugha

Sio Kwamba Diamond hana Kipaji hapana au uwezo wake ni mdogo hapana Lakini Lugha ndio sababu kubwa inayo mtesa! Ndio maana Huwezi Kumuona Davido Au Wizkid nyimbo zao Zote wanaimba kwa lugha hao hapana Wanaimba Kwa Kingereza na Ndio sababu kubwa zinasambaa na kupendwa Duniani kwasababu zinaeleweka! Hata kwenye Show Ni rahisi Msanii Kuimba na Mashabiki zake kwasababu wanaelewa kile kinacho imbwa lakini Sio Diamond Show Za nje kuimba Na Mashabiki zake kwasababu wengi hawaelewi lugha

Naamini Kabisa Mziki wa Tanzania Na Afrika Mashariki Kwa ujumla Bado Una safari ndefu sana Kwasababu Ya lugha Ya Kiswahili! Ni either Waache Kabisa Kuimba Kiswahili waimbe Kwa kingereza Au wasubiri kiswahili kienee Duniani Kote ndio mziki wetu Utafika Mbali! Hata Ikitokea Diamond Akaimba kwa kingereza basi Matamshi yake Hatakiwa vizuri kwasbabu sio Lugha anayo ituma mara kwa mara! Ndio maana Diamond anatumia Gharama Kubwa sana Kufanya Collabo na wasanii wa nje ya Tanzania Ili kufikisha Mziki wetu mbali kwasababu ya Lugha ya kiswahilii! Ukweli ni kwamba Kwa msanii Yeyote yule wa Tanzania ili mziki wako Ufike nje Ya afrika Mashariki Unahitaji Kufanya Collabo za Kimataifa nyingi kadri uwezavyo..... Kinacho mfanya Alikiba Asiwe Wa kimatafita ni kwasababu Ya ufinyu wa Kolabo za Kimataifa hivyo watu inakuwa ngumu Kuelewa Kishwahili/Lugha Inayo Imbwa

LUGHA YA KISWAHILI NI JANGA KWA MUZIKI WETU

Ni mtazamo Tuu
Ibebe ibebe hivi maana yake ni nini
 
Hivi zile lyrics anazoimba kwa kiswahili.. unaona aki translate kuwa za kimombo bado watu watasikiliza na kufurahia.. haswa zenye kuimba juu ya kutendana tendana tu anazotoa sana na wenzaketangu mwaka jana?
Inama inama
 
NAUNGA MKONO HOJA,sio DIAMOND tu watanzania wote kwa ujumla KISWAHILI kinatutia UMASIKINI,pumbavu zake alieazimia lugha ya taifa iwe kiswahili
 
Nadhani umefinya sana ktk kiwango cha kufikiri kuhusu lugha na wasani!!

Ungejiuliza maswali kwann kina Koffi Olomide had sasa miiziki yao inatisha??? Je uliwahi kuwasikia Mbilia Bell,Kanda Bongoman , Madilu, Awilo,je umejarbu kuangalia influence ya lugha na muziki ikoje!??? Je Makhirikhiri nao unawajua???

Wote hawa wameimba nyimbo kwa lugha zao lakn hadi sasa nyimbo zao zikipigwa hata wa kiingereza chako haufui dafu

Tunakariri maisha ndg Lugha haina mahusiano kabsa na ulichokisema ...ndio maans watu kama ww mnakuta mnamshangaa mtu hajui kiingereza lakn ni msomi

Sent using Jamii Forums mobile app


MUSIC WA CONGO UNATUMIA LUGHA YA KIFARANSA
 
Dah ingekuwa hivyo akina Franco Luambo Makiadi, Bongo man, Koffi Olomide n.k tusingewaju maana hata sielewi wanaimba nini ila miziki yao naipenda balaa...
Ongeza wakina Cab snoop, Dj Snake mafiki zolo, na makilikili mbona walisumbua sana aisee?..

Mziki ni merodi sio lugha hata mimi naungana na wewe Sema diamond anachozidiwa ni management wanageria wengi wanaishi Marekani na wanageria ndio taifa linaloongoza kuwa na watu wengi nje ya Africa kuliko nchi zote.....


So commercial music unahitaji connection ya wamarekani na ulaya ukishatoboa tu uko tayari ila sio lugha hapana .

Dj Snake ndio msanii tishio kwa sasa kweny chart za bigboard lakini mala nyingi anatumia rugha tofauti na kingereza na anatoboa soko la marekani.

Rihana pia aliwai kufanya ivyo akafanikiwa uko nyuma na wasanii kibao .

Mleta mada anazengua.
 
Deespaacito!
Pacito à pacito,
Suave suavecito,
Nos,vamos pegando,
Poquito à poquito.....

Luis Fonsi huyo wimbo una viewers Bilioni 4 Youtube na hamna Kiingereza humo
 
Just to realize wimbo wa Azda wa Franco ni tangazo la Volks Wagen....na wimbo Muzima wa Kanda Bongoman ni wimbo wa injili....mi nilifurahia beat na mashairi hata sikujua wanaimba nini.

Sent using my Nokia Torch
Adza na Kisangani Zairee, Veewee! Veewee! Veweee! Veewee!.... Nilifurahi sana niliposikia tafsiri ya wimbo huu toka kwa mtangazaji Masoud Masoud! I love the song
 
Back
Top Bottom