UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Hadithi njoo, na uongo njoo, utamu kolea!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu ni wahovyo kama weweHabari zenu wanaJF wenzangu
Hapa katikati ya mvutano wa nani anaefaa kuwa mwenyekiti wa Chadema. Baada ya upepo kuonekana kwenda upande wa Lissu, wazee wa kazi wakakaa kikao kimya kimya kama walivyofanya wakati wa Lowasa (lkn safari hii kwa namna nyingine) na kuja na njia ambayo itasaidia kumtia Lisu nguvuni, ili yule mgombea wao aweze kupita kiurahisi katika uchaguzi mkuu wa chama.
Katika kuangalia huku na kule ndo ikaonekana kwamba Dr Slaa anaweza kufaa sana katika dili la kusaidia kukamatwa kwa Lisu, lkn ili hilo litokee ni lazima kuwe na sababu ya kumkamatia.
Dkt. Slaa akapewa kazi ya kutengeneza uongo dhidi ya mkuu wa mhimili uliojichimbia (mama Abdu) na kuuweka kwenye media ili waone Lisu ata react vipi kupitia uongo huo.
Baada ya kuona Lisu hakutilia maanani sana swala hilo, wakaja na gia ya kwenda kumkamata Dr Slaa na kumtupa lupango ili kuona kwamba yule anaejifanya kutetewa na Dr Slaa ambae ni Tundu Lisu atalichukuliaje swala la mtetezi wake uchwara kukamatwa.
Kama hiyo haitoshi, Dkt. Slaa akanyimwa dhamana. Lengo la kumnyima dhamana ni kuangalia kama Lisu atalivalia njuga swala hilo, na pengine kuhamasisha watu wake akiwemo yeye mwenyewe kuingia barabarani kumpigania Dr Slaa apewe apewe dhamana, na hivyo kuwa rahisi kwa Lisu na wafuasi wake ambao wangeandamana kukamatwa na kutupwa ndani, kisha kuja kuachiwa mwisho wa mwezi huu baada ya uchaguzi wao wa chama kuisha na mtu wao kupita katika kinyang'anyiro bila upinzani wowote.
Ama kweli Lisu ana machale aisee. Angekurupuka kujifanya anaingia barabarani kumpigania Dr ilikuwa amekwisha.
Lisu ni porojo tu,kaufyataLissu kamsusa chawa mkuu.
Hahaha😂Ina maana hiyo idara ina mbinu za kitoto hivyo?
Unahitaji D kadhaa kulijua Hilo?Ina maana hiyo idara ina mbinu za kitoto hivyo?
Hahaha Oya Tusepe Mpaji MunguMKUU kwani wewe ni mgeni kwa watanzania. Mtanzania anaweza kukaa chumbani akapata wazo akaandika tukio utadhani alikuwepo au walau kaambiwa na mtu kumbe ni mawazo yake mwenyewe na akapost ili aonekana Jason Bourne
Hollywood cinemaKwamba lupango anasota kimaigizo pia!
Mimi naweza kukubaliana na hii stori kwa sababu Lisu hakusema chochote baada ya seke seke la Slaa. Itakuwa alitonywa.Ya ni kweli ndomaana alishtukia chezo.
Tego la panya hilo tena wameziba shimo kwa silesi za mkateMimi naweza kukubaliana na hii stori kwa sababu Lisu hakusema chochote baada ya seke seke la Slaa. Itakuwa alitonywa.
Kungekuwa hakuna uchaguzi, lazima Lisu hata angesema kitu kuhusu kukamatwa kwa Slaa
Tego la panya hilo tena wameziba shimo kwa silesi za mkateMimi naweza kukubaliana na hii stori kwa sababu Lisu hakusema chochote baada ya seke seke la Slaa. Itakuwa alitonywa.
Kungekuwa hakuna uchaguzi, lazima Lisu hata angesema kitu kuhusu kukamatwa kwa Slaa
Nilikuwa nashangaa, Slaa ni kama vile alikuwa upande wa Lisu kwa kumponda Mwamba. Sasa iweje Slaa amekamatwa halafu Lisu katulia tu kimyaa wakati Slaa alitoa kashfa ambazo zilikuwa ni advantages kwa Lisu dhidi ya Mwamba!Tego la panya hilo tena wameziba shimo kwa silesi za mkate
Kwanini mkuu?Kama ni kweli basi idara hii ifumuliwe na maafisa wote wafukuzwe kazi wakalime kijijini kwao.
Na hilo ndio lililomuokoa.Ame focus kwenye Lengo tu
Lisu kashtukia mchezo. Utaona jinsi kesi ya Dr Slaa itavyoyeyuka baada ya uchaguzi mkuu Chadema kuisha.Nilikuwa nashangaa, Slaa ni kama vile alikuwa upande wa Lisu kwa kumponda Mwamba. Sasa iweje Slaa amekamatwa halafu Lisu katulia tu kimyaa wakati Slaa alitoa kashfa ambazo zilikuwa ni advantages kwa Lisu dhidi ya Mwamba!
Subiri uone kesi ya Dr Slaa itavyoyeyuka kimya kimya baada ya uchaguzi mkuu wa Chadema kuisha.Hadithi njoo, na uongo njoo, utamu kolea!
Subiri uone jinsi kesi ya Dr Slaa itavyoyeyuka kimya kimya baada ya uchaguzi wa Chadema kuisha.Kwamba lupango anasota kimaigizo pia!
Kweli kabisa mkuu.Mimi naweza kukubaliana na hii stori kwa sababu Lisu hakusema chochote baada ya seke seke la Slaa. Itakuwa alitonywa.
Kungekuwa hakuna uchaguzi, lazima Lisu hata angesema kitu kuhusu kukamatwa kwa Slaa
Mbongo mpe picha tu, hata ya katuni.Ina maana hiyo idara ina mbinu za kitoto hivyo?