Jinsi Lissu alivyoushtukia mtego uliopangwa na mamlaka wakishirikiana na Dkt. Slaa

Jinsi Lissu alivyoushtukia mtego uliopangwa na mamlaka wakishirikiana na Dkt. Slaa

Habari zenu wanaJF wenzangu

Hapa katikati ya mvutano wa nani anaefaa kuwa mwenyekiti wa Chadema. Baada ya upepo kuonekana kwenda upande wa Lissu, wazee wa kazi wakakaa kikao kimya kimya kama walivyofanya wakati wa Lowasa (lkn safari hii kwa namna nyingine) na kuja na njia ambayo itasaidia kumtia Lisu nguvuni, ili yule mgombea wao aweze kupita kiurahisi katika uchaguzi mkuu wa chama.

Katika kuangalia huku na kule ndo ikaonekana kwamba Dr Slaa anaweza kufaa sana katika dili la kusaidia kukamatwa kwa Lisu, lkn ili hilo litokee ni lazima kuwe na sababu ya kumkamatia.

Dkt. Slaa akapewa kazi ya kutengeneza uongo dhidi ya mkuu wa mhimili uliojichimbia (mama Abdu) na kuuweka kwenye media ili waone Lisu ata react vipi kupitia uongo huo.

Baada ya kuona Lisu hakutilia maanani sana swala hilo, wakaja na gia ya kwenda kumkamata Dr Slaa na kumtupa lupango ili kuona kwamba yule anaejifanya kutetewa na Dr Slaa ambae ni Tundu Lisu atalichukuliaje swala la mtetezi wake uchwara kukamatwa.

Kama hiyo haitoshi, Dkt. Slaa akanyimwa dhamana. Lengo la kumnyima dhamana ni kuangalia kama Lisu atalivalia njuga swala hilo, na pengine kuhamasisha watu wake akiwemo yeye mwenyewe kuingia barabarani kumpigania Dr Slaa apewe apewe dhamana, na hivyo kuwa rahisi kwa Lisu na wafuasi wake ambao wangeandamana kukamatwa na kutupwa ndani, kisha kuja kuachiwa mwisho wa mwezi huu baada ya uchaguzi wao wa chama kuisha na mtu wao kupita katika kinyang'anyiro bila upinzani wowote.

Ama kweli Lisu ana machale aisee. Angekurupuka kujifanya anaingia barabarani kumpigania Dr ilikuwa amekwisha.
Lisu ni wahovyo kama wewe
 
Ya ni kweli ndomaana alishtukia chezo.
Mimi naweza kukubaliana na hii stori kwa sababu Lisu hakusema chochote baada ya seke seke la Slaa. Itakuwa alitonywa.

Kungekuwa hakuna uchaguzi, lazima Lisu hata angesema kitu kuhusu kukamatwa kwa Slaa
 
Mimi naweza kukubaliana na hii stori kwa sababu Lisu hakusema chochote baada ya seke seke la Slaa. Itakuwa alitonywa.

Kungekuwa hakuna uchaguzi, lazima Lisu hata angesema kitu kuhusu kukamatwa kwa Slaa
Tego la panya hilo tena wameziba shimo kwa silesi za mkate
 
Nilikuwa nashangaa, Slaa ni kama vile alikuwa upande wa Lisu kwa kumponda Mwamba. Sasa iweje Slaa amekamatwa halafu Lisu katulia tu kimyaa wakati Slaa alitoa kashfa ambazo zilikuwa ni advantages kwa Lisu dhidi ya Mwamba!
Lisu kashtukia mchezo. Utaona jinsi kesi ya Dr Slaa itavyoyeyuka baada ya uchaguzi mkuu Chadema kuisha.

Maana lengo kuu lilikuwa ni kumkamata Lisu ili asishiriki uchaguzi mkuu wa chama ili mwamba ashinde kiulaini bila upinzani wa maana.
 
Kwamba lupango anasota kimaigizo pia!
Subiri uone jinsi kesi ya Dr Slaa itavyoyeyuka kimya kimya baada ya uchaguzi wa Chadema kuisha.

Lengo na mipango yao imeshindikana, hivyo itabidi Dr aachiwe tu kimya kimya arudi uraiani kuendelea kula zake mihogo na uji.
 
Mimi naweza kukubaliana na hii stori kwa sababu Lisu hakusema chochote baada ya seke seke la Slaa. Itakuwa alitonywa.

Kungekuwa hakuna uchaguzi, lazima Lisu hata angesema kitu kuhusu kukamatwa kwa Slaa
Kweli kabisa mkuu.
 
Back
Top Bottom