Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #61
Unajua ni sababu gani Lisu alionesha kuchukizwa zaidi Maria alipokamatwa huko Kenya, kuliko kuchukizwa na jinsi Dr Slaa alivyokamatwa na kunyimwa dhamana hapa Tz.Basi watu wa mfumo watakuwa wa hovyo sana. Chama kinaweza kuendeleaje na uchaguzi wakati makamu mwenyekiti wao na ambaye ni mgombea yuko ndani? Kama waliweza kumchagua kuwa makamu mwenyekiti akiwa ubeligiji anajiuguza huoni kama kumfunga Lisu ndio kutachochea ushindi wake hata akiwa hukohuko gerezani? Huoni kama kutachochea vurugu za kiuchaguzi ndani ya CDM kama uchaguzi utaendelea Lisu akiwa mahabusu?
Silaa amekamatwa kutokana na maneno yake jambo ambalo si vibaya kumshikilia atoe ushahidi kwa tuhuma nzito alizozitoa. Sidhani kama Mbowe ni mjinga kiasi hicho au watu wa kitengo kwamba wamekosa akili kwa kiasi hicho.
Ukibahatika kuijua sababu hata kwa 20% tu, hautakuwa na sababu ya kupinga nlichoandika. Kuna mambo mengi yanaendelea chini kwa chini ambayo wewe muona karibu hauwezi kuyajua.