Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

Aisee embu acha hizo fikra zako potofu juu ya walimu kwasababu wakopaji bank ni watumishi wote na sio walimu tu. Mtumishi yeyote anaweza akachukua mkopo mdogo na akasema akatwe miaka mingi. Kila mtu ana uamuzi juu ya muda wa kukatwa kwahiyo acha hizo kashfa zako juu ya walimu. Walimu hawajakufunza ili uje kuwa adui yao na kuwasingizia mabaya kila mara. Asiyeheshimu walimu hana akili timamu.
Duh
 
Jamaa angu alipata uteuzi wa HoD, akawa anapokea 4G+... akazama Bank... mkopo 70m... marejesho Million 120+ huko...
Hapo jamaa alijiibia mwenyewe, alizingua mwenyewe kwa hayo marejesho ni wazi kuwa alimua kulipa huo mkopo kwa miaka mingi

Na Sijui kwanini aliamua kufanya hivo ilhali alikuwa na mshahara mkubwa, labda kama alikuwa na madeni mengine

Angeamua kulipa ndani ya miaka 3 angeishia kulipa kwenye around 84-87M na jamaa wangekuwa kwa mwezi wanapangusa kwenye salary kama 2,500,000 kitu ambacho sio kibaya kwa mtu alievuta 70M
 
Daaah comment za wadau zimenisaidia sana kwangu mm binafsi..
 
Habari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.

Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.

Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.

5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
Atumie Abc BANC au awasiliane 0676373833 DSA wa Abc BANK
 
Mkuu yaani acha tuu.
Wanachokifanya kwenye ule mkataba just wanakuambia just usaini sehemu yako na shahidi wako tu. Ile sehemu utalipa kiasi gani wanajaza wao wakati haupo, apo utakachoambiwa ni makato ya mwezi ni kiasi gani.

Ni mtumishi mwenyewe azidishe makato ya mwezi na idadi ya miezi ya mkataba, hapo ndipo anaweza kugungua huu wizi.
Unapata shida bure tu.sasa hiv kwenye mfumo inaonesha kila kitu. Ni kwel ukiomba mf 6m unaaambiw utayochkua ni 5.4 unaoneshwa processes sijui insurance sikjui takataka gan bas ilimrad uelewe. Uislam tu ndio uliamua kuiharamisha riba kwan ilijua haya.
 
Unapata shida bure tu.sasa hiv kwenye mfumo inaonesha kila kitu. Ni kwel ukiomba mf 6m unaaambiw utayochkua ni 5.4 unaoneshwa processes sijui insurance sikjui takataka gan bas ilimrad uelewe. Uislam tu ndio uliamua kuiharamisha riba kwan ilijua haya.
kwamba kwenye Islamic banking kuna mikopo isiyo na gharama kwa mkopaji? yaani ukikopa 5M utarudisha 5M tu pasipo kurudisha pesa nyingine yoyote?
 
Back
Top Bottom