Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

Miezi 96 ni miaka 8. ni mjinga pekee anayeweza kopa mdogo hivyo kwa kipindi cha zaidi ya miezi 48.

Mikopo ya muda mrefu mi ghali sana.

Yaani unakopa kabla ya mtoto kuzliwa unaendelea kulipa mpaka mtoto anafanya national ya std 4.
Jamaa aliyekopa ni mpumbafu sana
 
Acha uongo.
Bank za Kiislamu zote hazina riba.
Mkuu kwahiyo wao wanapataje faida?

Mfano ukope 40M Kwa miaka 7 na ulipe 40M kwa hiyo Miaka 7 wao wanakuwa wanajiendesha vipi?

Na kwakuwa ni Bank it means wanatoa mikopo mara kwa mara, kwahiyo inawezekana ndani ya mwaka labda wamekopesha watu 50, gharama za uendeshaji hapo zinakuwa covered vipi?

Au ili ukidhi vigezo vya kukopesheka inabidi wewe mkopaji uwe na vigezo gani hasa, maana naamini watu wengi wangekimbilia huko ambapo hakuna Riba, maana Riba ni balaaa
 
Mkuu kwahiyo wao wanapataje faida?

Mfano ukope 40M Kwa miaka 7 na ulipe 40M kwa hiyo Miaka 7 wao wanakuwa wanajiendesha vipi?

Na kwakuwa ni Bank it means wanatoa mikopo mara kwa mara, kwahiyo inawezekana ndani ya mwaka labda wamekopesha watu 50, gharama za uendeshaji hapo zinakuwa covered vipi?

Au ili ukidhi vigezo vya kukopesheka inabidi wewe mkopaji uwe na vigezo gani hasa, maana naamini watu wengi wangekimbilia huko ambapo hakuna Riba, maana Riba ni balaaa
Wanachokifanya ni kuwa wao hawakupatii hela in cash, wanakopesha vitu au kitu hawakopeshi hela.

Kwa mfano una duka lako unahisi mzigo ni mdogo unataka kuongeza, unawafata wao wanaununua mzigo husika then wanakuuzia wewe, apo kwenye kukuuzia wanaingiza chao cha ziada.

Au tuseme mtumisha anahitaji kununua gari, anakwenda benki anawaambia gari anayoitaka then wanainunua na kumuuzia mtumishi au mtu mwengine.

KUBWA NI KUWA BENKI ZA KIISLAMU HAWAKOPESHI HELA, WANAKOPESHA VITU.
 
Wanachokifanya ni kuwa wao hawakupatii hela in cash, wanakopesha vitu au kitu hawakopeshi hela.

Kwa mfano una duka lako unahisi mzigo ni mdogo unataka kuongeza, unawafata wao wanaununua mzigo husika then wanakuuzia wewe, apo kwenye kukuuzia wanaingiza chao cha ziada.

Au tuseme mtumisha anahitaji kununua gari, anakwenda benki anawaambia gari anayoitaka then wanainunua na kumuuzia mtumishi au mtu mwengine.

KUBWA NI KUWA BENKI ZA KIISLAMU HAWAKOPESHI HELA, WANAKOPESHA VITU.
Ok
 
Sio kuibiwa bali kwa asilimia kubwa inatokana na kutokuelewa terms za mikopo husika kabla ya kufanya maamuzi !!!
 
pigeni kelele,lalamikeni muwezavyo!!!
Sisi tupo paleee tunawasubiria mnavyokuja mikono nyuma mmejaaa shida..Kila mkataba mnasaini tuuu...

WW kama hutaki mikopo bana matumizi Yako,acha tamaaa ya vilivyo nje ya kipato chako,acha uzinzi maana wengi wenu ngono NDio zimewatia umaskini,, ..

Mnapiga kelele humu wakati mnapambana Kila Kona mpewe mikopo Kwa tamaaa zenu au ujinga wenu...
Mnasubiri wapi kila siku kusumbua watumishi kwa kupiga simu kuwaomba wakakope.
 
Kuna faulo nyingi Sana kwenye hizi Mambo Wana style Yao ya kununua mkopo hapo ndio wanaua kabisa wanajua saikolojia ya anaetaka pesa haulizi Hana utulivu hivyo wanachezea zile % hapo wanamliza vibaya Sana na wastaafu wamekua wahanga wa hili wanaambiwa serikali haita mdai mtu hata ukifa we kopa
 
Kama mkataba wa mkopo benki unashindwa kuelewa mtaweza kuelewa mkataba wa bandari? Watumishi wa umma hasa waalimu huwa kuna mafunzo fulani ya jinsi ya kuwa mjinga mnapewa huko vyuoni? Mimi huwa nachukua sana mikopo ila sijawahi kukutana na upuuzi wa kulipa zaidi ya makubaliano ya kwenye mkataba. Na huwa nikimaliza kulipa narudishiwa hati yangu bila kuzungushana. Tatizo ni nini kwa watumishi wa umma?
Hiyo hati unaipeleka wapi?
 
Jamaa angu alipata uteuzi wa HoD, akawa anapokea 4G+... akazama Bank... mkopo 70m... marejesho Million 120+ huko...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mdogo wangu kapata ajira baada ya mwaka ameenda CRDB kuomba mkopo wakampigia hesabu kwa miezi 108 (miaka9) atapokea mkopo wa mil20. Akapigiwa hesabu makato kwa mwezi ni laki tatu na nusu.

Akajipigia hesabu pembeni 350000 kwa miezi 108 ni roughly milioni 40 hivi! Alikimbia.
 
Back
Top Bottom