Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Kabisa nimebakiza miezi mitano tuHuu ni mkopo mtamu usioumiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa nimebakiza miezi mitano tuHuu ni mkopo mtamu usioumiza
Sio mkopo kandamiziThat's good hapo haujaumia sana,yaani ukipiga total cost of loan ni ndogo
Ku-update nini mkuu?.Wenyewe vigogo wanahisi watumishi wakimiliki kila kitu watashindwa kufanya kazi(kubweteka).
Hawawezi kutoa mikopo ya namna hiyo mkuu.
Benki zetu hizi ni wezi sana . Mfano hayo mambo ya processing fees , sijui Bima ya mkopo n.k , vyote hivyo ni wizi tu.
Mteje akifanya up-dating halipwi fedha alizokatwa kama Bima ya mkopo uliopita, yaani bora hata NBC wanatoa chochote baada ya ku-update
Acha uongo.na msije mkadanganywa kuwa eti kuna bank hazitozi riba hiyo bank haipo!!!
Sawa mchawi lugha tu ya biashara lakini na imani kwa mnyaaz mungu allah hakuna mkopo usio na gharama ya kuurudisha namaanisha faida kwa mkopeshaji. Kwa hiyo hata mikopo ya benk za kiislam ukichukua mwisho wa siku utarudisha mkopo na faida kwa benki (ambapo wao watakwambia sio riba ila ukweli ndiyo riba yenyewe) kama mikopo ya benk za kiislam ingekuwa na unafuu huo unaosemwaga amana benki ingeshakuwa benk kubwa sana! Kifupi benk ya kiislam nayo mwisho wa siku ili kuendelea kuwepo lazima itengeneze faida ambayo inapatikana kwa kukopesha then mkopo kulipwa na cha juu.Acha uongo.
Bank za Kiislamu zote hazina riba.
Benki gani yenye hii riba? na ni kwa mwaka au?Kuna benki moja wana 13%.
Ila nikushauri ktk maisha kuwa na marafiki wa kada mbalimbali hutojutia.
Wataka kuniambia pale ukikopa laki2 baada ya miezi 10 utarudisha laki2 hiyohiyo?Acha uongo.
Bank za Kiislamu zote hazina riba.
Neno riba ndo limeondolewa na kuwekwa msamiati unaoitwa kugawana faida bwashehe nenda kakope laki hlf uone kama utarudisha laki hiyohiyoBank za kiislam hazina riba
Kuikwepa ndio shughuli ilipoMikopo inawafilisi watumishi wa serikali
Nilishawahi kuuliza sehemuAcha uongo.
Bank za Kiislamu zote hazina riba.
nani husoma mikataba. unaletewa mkataba una kurasa mia tatu, utaweza kusoma yote na ukayakumbuka?....mikataba yenyewe ni mifumo ya kiwiziwizi tu. unaletewa document kubwa wakiwa wanajua huwezi ukalisoma lote.Kwani utachukua mkopo bila kusoma mkataba
Unamaanisha marafiki wa kada mbali mbali, ili wakukopeshe?Kuna benki moja wana 13%.
Ila nikushauri ktk maisha kuwa na marafiki wa kada mbalimbali hutojutia.
CRDB naona wako vizuri kwenye mikopoCRDB wana unafuu sana licha ya kwamba wana sharti gumu la kwamba lazima mshahara upite kwao kama wa ni mtumishi
Mmmh wanayo ila wameibadilisha jinaBank za kiislam hazina riba
Nyie wenzetu huwa mnakopa wapi ambapo hawawapi taarifa za mkopo wako.Na ukienda kuchukua mkopo wanakufanyia process haraka haraka sana ili usibadili maamuzi
Na hata hawakupi muda wa kusoma mkataba sembuse kukufafanulia. Wanakupa tu usaini haraka haraka.