Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bank yenye unafuu kwenye mikopo kwa watumishi ni CRDB tu licha ya kwamba sharti waliloliweka kwamba lazima mshahara wa mtumishi upitie huko miezi miwili huko na kuendelea huko huko baada ya kuchukua sera hiyo imewafanya watumishi wengi washindwe kukopa huko isingekuwa hivyo hiyo benki wangevuna mabilioni na mabilioni toka kwa watumishiKama faidika.letsshego ni noma..ukichukua M 3 kwa miaka Minne unakuja kulipa.M 5.6 huko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hao ndo majanga ukifunga nao ndoa utajuta kuzaliwa usithubutuBora bayport [emoji41][emoji41]
CRDB wana unafuu sana licha ya kwamba wana sharti gumu la kwamba lazima mshahara upite kwao kama wa ni mtumishiWakuu ni bank Gani Ina riba nafuu nataka nikope kama mil 20 hivi... au wote ni walewale mabepari maana wanasema bank Haina urafiki na maskini......
😆😆😆 Nmecheka na Kwikwi nimepaliwaMwenye kunufaika na mikopo bank ni tajiri ( matajiri ) wanaokopa billions of money.. ila wingine ni 🖕🖕🖕
Hao Cwt walikuja na gear ya kusema wataanzisha benki yao ili iwakopeshe walimu kwa riba nafuu sana kuliko benki zote na kwa neema ya Mungu wakaanzisha mwalimu commercial bank na kwa jinsi walivyo watu wa ovyo tofauti ya riba na Nmb ambao ndio wakopeshaji wakubwa wa walimu kwa miaka mingi ikawa na asilimia 2.Hakika nimeamini shetani si lazima awe na mguu mmoja na wala hayuko mbaliSaccos ipo vizuri. Mfano walimu siku wakija kujielewa nakufuta kikundi chao cha hovyo CWT wakaanzisha saccos moja matata alafu wakakopeshana kupitia hiyo saccos nadhani hata mpwayungu village angetamani kurudi kufundisha.
Kama Fei Toto vileKwani utachukua mkopo bila kusoma mkataba
Bank inapata hela yake kwa muda mfupi na mkopaji unazama kwenye kundi la umaskiniHivi top up zinaathari gani mkuu??nahitaji kuelewa hapa
"Bank si rafiki wa masikini" hii kauli aliwahi kuitoa Mzee wa Msoga katika moja ya hotuba zake. G.Mukoba aliyewahi kuwa kiongozi wa juu wa TUCTA alisema kuwa Wafanyakazi ni tabaka la watu masikini duniani. Alitoa kauli hiyo katika mahojiano ya moja ya vipindi vya television akihojiwa nyumbani kwake mwaka jana 2022.Kabla ya kuomba mkopo tunawatumia wao kutupatia ushauri wa nini nifanye, sio kila mmoja amesoma uchumi.
Cha ajabu ushauri wanaonipatia hata mimi nisiesoma uchumi siwezi kumshauri mtu afanye.
Actually riba ilikua 16% plus hiyo processing fee ilikua almost 4 Million.
Hizi benki zinatakiwa kuwa msaada kwa watumishi kwasababu ndio kundi kubwa zaidi linalozifanya ziwe hai, maana yake zilitakiwa kuweka mikopo isiyoumiza sana, angalau riba 11% per annual.
Ukikopa milioni 20 utarejesha milioni 20.Habari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.
Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.
5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
Huwezi kupata mkopo kwa urahisi kwani ukifika tu wanaanza kugawana mabosi za kubakia ndio wanawapatia wachache tena kwa connection na unaweza ambiwa chukua mwisho 5 millionsSerikali kuingilia kati? Benki zinafanya biashara.
Kuna mikopo ya hazina (haina riba). Kuna mikopo fulani una riba ya 6% .
Siyo lazima ukope.
Ndio asilimia 40 kwa NMB na CRDB 50 ya mkopo wakoNa Mimi naomba kuuliza
Salary advance inatolewa kama mkopo wenye riba ?
Acha kukaza fuvu watu wameeleza vizuri hapo juu kuwa shida wewe umetaka kurudisha pesa Kwa muda mrefu. Hakuna wizi hapoMkuu yaani acha tuu.
Wanachokifanya kwenye ule mkataba just wanakuambia just usaini sehemu yako na shahidi wako tu. Ile sehemu utalipa kiasi gani wanajaza wao wakati haupo, apo utakachoambiwa ni makato ya mwezi ni kiasi gani.
Ni mtumishi mwenyewe azidishe makato ya mwezi na idadi ya miezi ya mkataba, hapo ndipo anaweza kugungua huu wizi.
Bank za kiislam hazina ribaBank za biashara (commercial bank) ni wafanyabishara sawa na wafanyabiashara wengine wanaonunua(kutoka kwa wholesaler) na kuuza bidhaa. Pesa ndo bidhaa(goods) ambayo bank huifanyia biashara so ni lazima bidhaa hiyo itengeneze faida kumbuka wao wanakopa central bank(BOT) ambako na wao wanalipa riba ili hizi bank zipunguze riba ni lazima anayewauzia hiyo bidhaa yaani BOT ipunguze riba. So msiwalaumu nmb and others na msije mkadanganywa kuwa eti kuna bank hazitozi riba hiyo bank haipo!!!
Bank yenye unafuu kwenye mikopo kwa watumishi ni CRDB tu licha ya kwamba sharti waliloliweka kwamba lazima mshahara wa mtumishi upitie huko miezi miwili huko na kuendelea huko huko baada ya kuchukua sera hiyo imewafanya watumishi wengi washindwe kukopa huko isingekuwa hivyo hiyo benki wangevuna mabilioni na mabilioni toka kwa watumishi
huo ndio ukweli mkuu 😅😅😆😆😆 Nmecheka na Kwikwi nimepaliwa
404: Page Not Found
Sawa mkuu, nimrpokea ushauri wako.Acha kukaza fuvu watu wameeleza vizuri hapo juu kuwa shida wewe umetaka kurudisha pesa Kwa muda mrefu. Hakuna wizi hapo