DuhAisee embu acha hizo fikra zako potofu juu ya walimu kwasababu wakopaji bank ni watumishi wote na sio walimu tu. Mtumishi yeyote anaweza akachukua mkopo mdogo na akasema akatwe miaka mingi. Kila mtu ana uamuzi juu ya muda wa kukatwa kwahiyo acha hizo kashfa zako juu ya walimu. Walimu hawajakufunza ili uje kuwa adui yao na kuwasingizia mabaya kila mara. Asiyeheshimu walimu hana akili timamu.
Walimu nao wakope hazinaKweli, Mimi naona kungekuwa na utaratibu wafanyakazi wa serikali wote wawe wanakopa hazina
Kama hujui kitu uliza na sio kutajataja watu ovyo hapa. Walimu tangu kitambo na watumishi wengine wanakopeshwa mikopo toka hazina. Usikariri usichokijua kaka.Walimu nao wakope hazina
Daaah!Jamaa angu alipata uteuzi wa HoD, akawa anapokea 4G+... akazama Bank... mkopo 70m... marejesho Million 120+ huko...
Hapo jamaa alijiibia mwenyewe, alizingua mwenyewe kwa hayo marejesho ni wazi kuwa alimua kulipa huo mkopo kwa miaka mingiJamaa angu alipata uteuzi wa HoD, akawa anapokea 4G+... akazama Bank... mkopo 70m... marejesho Million 120+ huko...
Atumie Abc BANC au awasiliane 0676373833 DSA wa Abc BANKHabari za jioni GT...Niende moja kwa moja kwenye mada.
Mabenki nchini wanawaibia sana watumishi wa umma kupitia kinachoitwa mikopo ya watumishi. Nina rafiki yangu anafanya kazi serikalini. Juzi alienda kukopa pesa benki (NMB)...sasa shida ilianza juu ya mchanganuo wa mkopo, duh, ni hatari.
Kwa kiasi cha Tsh mfano 6M, unatakiwa urudishe almost zaidi ya 10M. Bado kwenye hiyo 6M uliyoomba, wanakata 8% kama processing fee. Hivyo, unajikuta unachukua net take home 5.4M. Kumbuka mkopo huu unakatwa kwa muda wa miezi 96. Yaani, unapewa 5.4M, unarudisha 10.6M. Hii ni sawa na riba ya 100%.
5.4M * 2 = 10.8M. Kwanini wasikopeshwe bure kama walivyo wafanyakazi wa BOT, NMB, NK ambao hawatozwi riba kwenye mikopo yao? Serikali ipo wapi kwenye wizi huu wa mchana?
Unapata shida bure tu.sasa hiv kwenye mfumo inaonesha kila kitu. Ni kwel ukiomba mf 6m unaaambiw utayochkua ni 5.4 unaoneshwa processes sijui insurance sikjui takataka gan bas ilimrad uelewe. Uislam tu ndio uliamua kuiharamisha riba kwan ilijua haya.Mkuu yaani acha tuu.
Wanachokifanya kwenye ule mkataba just wanakuambia just usaini sehemu yako na shahidi wako tu. Ile sehemu utalipa kiasi gani wanajaza wao wakati haupo, apo utakachoambiwa ni makato ya mwezi ni kiasi gani.
Ni mtumishi mwenyewe azidishe makato ya mwezi na idadi ya miezi ya mkataba, hapo ndipo anaweza kugungua huu wizi.
Nyie ni walewale😀Atumie Abc BANC au awasiliane 0676373833 DSA wa Abc BANK
kwamba kwenye Islamic banking kuna mikopo isiyo na gharama kwa mkopaji? yaani ukikopa 5M utarudisha 5M tu pasipo kurudisha pesa nyingine yoyote?Unapata shida bure tu.sasa hiv kwenye mfumo inaonesha kila kitu. Ni kwel ukiomba mf 6m unaaambiw utayochkua ni 5.4 unaoneshwa processes sijui insurance sikjui takataka gan bas ilimrad uelewe. Uislam tu ndio uliamua kuiharamisha riba kwan ilijua haya.
Matapeli ninyiAtumie Abc BANC au awasiliane 0676373833 DSA wa Abc BANK
Bora bayport [emoji41][emoji41] pumbavu
Ni wezi tuUtasoma ila ata copy ya mkataba hawakupi,eti ni confidential🙂
Atumie Abc BANC au awasiliane 0676373833 DSA wa Abc kausha damu