Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Rand 50 EF 8 u 9 hii
 
Nimesafiri kwa siku kadhaa nimefika south afrika nipo kwenye njia moja inaelekea juu nashindwa kuelewa nielekee wapi nakutana tu na watu wananiambia "unjani" sijui maana yake nini.Nimekuja kumtafuta khumbu
 
Weka namba
 
Namba hiyo wakuu 0676405024. Imesajiliwa kwa jina la Samaritan Water Solution. Ni kampuni yangu wakuu. Unaweza kuchangia chochote mkuu, hata 1,000, 500 wewe tupia tu hela ya bando itapatikane.
Ungekuwa afisa kipenyo hapa ungeokota wengi sana Mkuu
 
Jamani hebu tumuunge mkono huyu aliyeenda kutuwalilisha vyema huko bondeni. Buku mbona hela ndogo sana wakuu ukilinganisha na muda anaoutumia kuandika huu mkasa? Wabongo tuacheni kupenda vya bure. Jamaa alipotaka kusitisha hii stori kila mtu alianza kutoa povu, sasa hivi utashangaa hata kuchangia 500 tu ili jamaa apate moyo wa kuendelea kutuburudisha inakuwa shida. Wengine kupitia yeye tunaanza kuelewa life la huko kabla hata hatujafika.
 
Wakuu tumsupport jamaa, ili tumpe moyo ili atupe story live bila chenga.

Wafuasi wa kung'uta siafu mkuje hapa kuna sahani ya upendo.
 
hahaahahah naona ID za south zinaongezeka kwa kasi khumbu_peresa workshop na hatimae Inanda haya tuendelee..
 
Rand 50 ilikuwa sawa na buku 10
Rand 300 sawa na 60000
Daaah mkuu mbona bei elekezi kabisa hyo na hapo gest hulipii hapo mambo ya nauli bia misosi kwa malaya hakuna...!!!unajihudumia mwenyewe tu daah kwa kaburu raha sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Daahh very interesting yaani [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Badae nitaweka no.yangu munichangie pesa kidogo ya bando ili niweze kuwaletea picha ya khumbu [emoji28]
 
Dah mkuu kwa vile jamaa amekuondoa hofu ndo umeamua kutiririka na mineno kuntu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…