Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

. Anaharibu uzi wangu huyu mwamba.
Mkuu amini nakwambia ameuongezea thamani... Amejifunza mengi kimya kimya hata kama hataki ku-admit.

Your a good story teller and writer ...fasihi andishi ina misingi yake, ina madhumuni na mitindo ya uandishi umeifuata sawia.

Kwenye uandishi unaweza kuandika kuwakilisha hisia zako bila kukusudia malipo (kama ulivyofanya) Unaweza kuandika ukikusudia kuhabarisha au malipo nk.
Mtindo ulitumia ni wa mtiririko na rejea

Umeelezea hisia zako, umetoa mafunzo fikirishi.... mfano uliposema maisha ya uuzaji sembe huyapendi na namna ulivyonusurika kutiwa mbaroni kwa kuwa na vipande vya karatasi za plastiki za kufungia sembe ambayo hukuwa unahusika nayo. Umetoa taswira ya watanzania wanavyo jihusisha na wizi na mihadarati SA.

Namna ulivyo drop academic performance chuo due to affairs confrict. Umefunza kuhusu kusimamia unachokiamini na uchungu wa kukipoteza unachokipenda. Whether in one-way or another ukaongezea au kupunguza uhalisia wajambo ndio namna ya kuiteka hadhira kwenye kuwabebesha wahusika uhusika wao.

Umeibua wanazuoni wa fasihi kusema kwa namna mbalimbali nk.

Nakushauri uandike novel based on true story. Though utaibua upelelezi wa jinai nk lakini unaweza kulindwa na haki miliki.. kwa ku declear kutohusika na jambo lolote halisi litakalo fanana na ulichoandika.
Big up sana.
 
Mara ya mwisho kufanya mapenzi na Khumbu

Kabla sijajua mahusiano ya Khumbu na Mayor tuliendelea kuwa pamoja japo ilikuwa inatuchukua hadi wiki tatu kukutana. Ilianza kuwa vigumu sana kumuona Khumbu, kila nikimuhitaji visingizio vilikuwa haiviishi. Aliianza mtindo kuja kukutana na mimi chuoni pale nilipozidi kumlalamikia na kutia huruma kwa nini ananitesa kiasi hiki. Akija mnaishia kuongea tu na kuondoka. Kwa hiyo alikuwa ananiambia atapitia mara moja hapo chuoni kunicheki. Akija nilikuwa nautumia huo muda kumwelezea ni jinsi gani ananiumiza na mambo yake ya kutokupatikana kama ilivyokuwa awali. Yeye alikuwa anasisitiza kutokupatikana kwake mara kwa mara kunasababishwa na majukumu ya kazi maana Jumapili pekee ndio siku yake ya kupumzika na kufanya usafi hivyo tusingeweza kuonana kama ninavyotaka. Basi maisha yaliendelea kuwa hivyo kwa muda mrefu.

Kama nilivyoelezea huko nyuma, yule demu wa jamaa yetu cha pombe alikuja kuniambia kuhusu mahusiano ya Khumbu na Mayor, na mambo mengine mengi tu ambayo yaniliumiza sana. Mojawapo ya habari alizoniambia ni kuwa Khumbu bado hajaachana na baba wa mwanaye. Jamaa ana mke lakini pia anamhudumia Khumbu pamoja na mwanae. Pia gari alilokuja nalo siku ile amenunuliwa na Mayor. Hivyo kwa sasa Khumbu yupo busy na hao watu wawili ndio sababu mimi nimewekwa kando. Nilijaribu kumdadisi huyo demu aniambie kwa maoni yake akimwangalia Khumbu anaionaje nafasi yangu kwake. Yule demu aliniambia Khumbu ananipenda sana ndio sababu ameendelea kuwa na mimi licha ya kuwa mimi ni foreigner halafu sina hela. Akaniambia ningekuwa na uwezo wa kumuweka Khumbu ndani na kumhudumia yupo tayari kuolewa na mimi. Ila tatizo sina kitu halafu hao anaowadate ndio wanaomuweka mjini. Sana sana hapa kwangu analikuwa anapata mambo ya mgegedo tu.

Baada ya kusikia yote hayo moyo uliniuma sana. Nikaanza kuunganisha dots na kuamini kuwa haya yote ni ya kweli, hakuna uongo hata mmoja. Nikakumbuka hata ile siku tumepisha naye akiwa kwenye gari mitaa ya point huenda alikuwa na mmoja wa hao jamaa. Kwa kweli niliona huyu mwanamke simuwezi tena. Nikawa namfikiria huyo mayor atakuja animalize siku akija kugundua nachangia naye demu maana ana body guard mmoja mbavu nene. Alikuwa akija kunyoa pale na hiyo njemba (body guard) ipo nyuma. So nikaona kuendelea naye ni kujitafutia matatizo.

Kuna siku nilimwomba aje, kama kawaida yake akasema hawezi yupo busy. Uvumilivu ukanishinda, nikaanza kumchana. Nikamwambia wewe malaya sikiliza, najua sana kuna watu hutaki kuwaudhi, hizo visingizio vyako ni bullshit. Nikamwambia najua kila kitu, hadi hiyo gari uliyonunua ulinidanganya, nikamwambia na ile siku tuliyomuona kwenye gari kule point. Akaonyesha kuhamaki na kuanza kusema kama nasikiliza maneno ya watu bora nimwache aendelee na maisha yake, ananiambia kama yeye ni malaya kwa nini namng’ang’ania, akakata na simu. Nikajaribu kupiga ili niendelee kumtolea hasira zangu akawa anaikata, nikaamua kumsindikizia meseji za matusi.

Baada ya hilo tukio la kumweleza ukweli kuhusu hao mabwana zake nikawa tena simtafuti japo maumivu ya kutokuwa naye yalikuwa ni makali sana, nilikuwa na stress za kufa mtu. Nikajitahidi kwa kiasi kikubwa kupunguza kumtafuta, nikawa nampigia mara moja moja pale hisia za mapenzi zinaponijia, si unajua kuna zile moment mtu uliyekuwa unampenda unajikuta unaanza kumuwaza na kujikuta hali flani ya unyonge inakuingia especially ukikumbuka moments mlizokuwa mnaspend quality time pamoja. So kila nikimkumbuka kama hivyo nampigia kumsalimia.

Siku moja nikiwa njiani narudi mjengoni kutokea chuoni alinipigia simu akiwa analia, hata kuongea anashindwa. Namwuliza nini tatizo Khumbu? akasema nakuomba njoo nyumbani. Nikamwambia unanitia wasiwasi naomba uniambie nini shida, huku akiendelea kulia akaniambia bibi amefariki, akazidi kuniambia, bibi yangu amenilea tokea nikiwa mdogo, kwangu mimi huyu ni mama angu. By the way mama yake mzazi alishafariki kitambo. Baba yake alikuwa ni polisi province nyingine na alikuwa hana mawasiliano mazuri na mwanae, sikujua sababu ni nini. Kwa hiyo Khumbu huku akilia akaniambia niende kwao. Basi nikamwambia nakuja, acha nifike kwanza nyumbani. Nilipofika nyumbani nikaoga, nikabadilisha nguo, nikaanza safari ya kwenda kwao.

Misiba ya South Africa huwa watu wanakuja kwenye msiba siku ya mazishi tu, na mazishi huwa yanafanyika siku za weekend tu. Na kazi ya kuzika huwa inafanywa na makampuni ya mazishi. Mwili wa marehemu huendelea kuwa mortuary hadi siku ya mazishi. Kwa hiyo kabla ya siku ya mazishi wana ndugu pekee huwa nyumbani kwa marehemu. Nilipofika nikamkuta Khumbu na ndugu wachache tu. Khumbu akanikaribisha chumbani kwake.

Itaendelea..
P1 sana
 
Kule mzee wamehalalishwa. Wanaitwa sex workers. Ukimuita jina la kumdhalilisha akikupeleka mahakamani lazima akutoe upepo. Sex workers wa kule kwa ufahamu wangu wamegawanyika makundi matatu. Kundi la kwanza ni wale wanaojipanga mitaani nyakati za usiku kama ilivyo huku bongo. Hao bei zao ni maelewano tu. Kundi la pili ni wale wanaopanga vyumba kwenye night clubs. Ninaposema night clubs haina maana hizo club hazifanyi kazi mchana. Hili kundi la pili ukiienda kwenye hizo clubs unawapata masaa 24, yaani ukiingia tu ndani ya club/bar unawakuta wamejaa kama darasani. Wako kwenye visiketi vifupi tu, mapaja njenje. Ukiwaleta bongo hao huwezi kuwapata kama wewe ni kapuku, lazima wenye pesa zao ndio wajimilikishe. Ukiingia humo unachagua unayemtaka. Wamepanga vyumba humo humo ghorofani, maana bar inakuwa chini ya ghorofa huko juu ndio kuna vyumba wamepanga. Hapo ni pisi kali tu. Hakuna demu mbovu. Demu mbovu hawezi kwenda sehemu hizo kujiuza maana hawezi kupata mteja. Bei zao hao ni rand 50. Kundi la tatu ni hawa wanaitwa Escort agency. Hawa unakuta mtu mmoja kawaajiri, anawalipa mshahara kwa hiyo amewaweka kwenye nyumba na kuwahudumia. Kwa hiyo wewe ukiwataka either unapiga simu unaletewa huduma mpaka kwako, au unaenda mwenyewe kwenda kuchagua. Ukifika pale, utakupa kuna sehemu ya mapokezi kama zilivyo ofisi za kawaida. Madada wataitwa wote halafu wewe utachagua unayemtaka, nazo pia ni pisi kali. Zinakuwa zimo kwenye chupi tu, namaanisha chupi tu. Ukimchagua unayemtaka either utaondoka naye au utamla hapo hapo maana huwa kuna vyumba. Bei zao ni kuanzia rand 300.
Nakupata mzee
 
Habari za asubuhi wakuu? Leo kama nilivyoahidi nitaweka mwendelezo. Nadhani kwenye mida ya jioni nikimaliza shughuli zangu nitapata muda wa kutosha na kuishusha hapa. Jamani hebu naomba mchangie hata buku ya bando basi, msihofu sitawapelela Telegram, nitaweka namba hapahapa ili yeyote atakayeguswa anachangia hela ya bando. Bando zimepanda bei jamani, halafu hii stori sio siri sikutegemea kama ingekula muda wangu hivi na kuvuta hisia za watu wengi kiasi hiki. Kuna watu wengi wamenifuata inbox wakinisihi hii stori nisiisumarize bali niielezee kwa urefu maana nikiisumarize itapoteza mvuto nilioanza nao. Nimekubali ombi lenu, tuwe pamoja hadi mwisho wakuu. Jioni itaendelea.
P1 sana Mwamba
 
Inaendelea

Swala la kuambiwa nitapigwa risasi ya kichwa liliniogopesha sana. Kwa South Africa mtu akikuambia atakuuwa usifikiri anatania, anakuua kweli. Nilianza kuona maisha yangu yapo hatarini.

Nilikaa wiki bila kumtafuta Khumbu maana nilianza kumwogopa japo bado nilikuwa nampenda. Nilimpigia simu na kumwelezea kuwa kuna mtu alinipigia simu akaniambia ataniua kwa kunipiga risasi, na nikamweka wazi “nahisi anayetaka kuniua anataka kuniua kwa sababu yako. Naomba unieleze kwa nini nataka kuuliwa kwa ajili yako, ubaya upi nimekufanyia hadi nistahili kuuawa? Au mimi kukupenda wewe ndio kosa ninalostahili kuuawa?” Khumbu akajifanya hajui chochote kuhusu hilo, ila mimi niliamini ni bwana zake ndio wanaotaka kuniua. Nikaendelea kumwelezea huku nikitia huruma kuwa hata sababu ya yeye kutokuja Bloemfontein licha ya mimi kumtumia nauli ni hao jamaa, nikazidi kumwambia “Khumbu you have wrecked my heart, you have broken my heart into million pieces”, Yeye aliendelea kusisitiza hajui chochote kuhusu hilo. Binafsi niliona kabisa nikiuendekeza moyo wangu nitafia South Africa. Ila jamani acheni, moyo ukipenda ni ngumu sana kujinasua.

Swala la yeye kuja Bloemfontein sikutaka tena kumwuliza maana nilijua nitakuwa najisumbua tu japo nilikuwa natamani atamke “Konda msafi kesho napanda basi nakuja". Nilikuwa natamani aje nimchakate kwa mara ya mwisho maana kila nikifumba macho nakuwa kama naliona umbo lake, tako lake linavyoning’inia, halafu nawaza mimi ndio basi tena kuligusa hili tako dah! roho inauma kinyama, natamani Mungu afanye muujiza Khumbu amfanye kuwa mke wangu, tupotee tukaishi sehemu isiyojulikana, hata tuondoke South Africa tuende hata bara la Antactica, nikawe mimi na Khumbu tu.

Baada ya kuona maisha yangu na Khumbu hayapo tena nikaanza kuwakumbuka dada zangu watanzania. Nikaanza kujiambia mimi ni foreigner tu, sina thamani katika nchi ya watu. Khumbu hawezi kuwaacha kaka zake akanichagua mimi foreigner, acha nirudi Tanzania nikatafute dada zangu na mimi nipate kuthaminiwa. Kuna demu mmoja alikuwa anaishi Sinza nilimuimbisha kipindi flani niliporudi Bongo nikaanza kumfikiria. Pia kuna demu mmoja mbongo nilikutana naye Kampala nikaanza kumkumbuka. Bahati nzuri namba zao na email address ya yule wa Uganda nilikuwa nazo. Nikaanza kuwatafuta. Wote nikawapata, mawasiliano yaliyokufa nikayafufua. Yule aliyekuwa anasoma Uganda akaniambia alishamaliza form six, akaenda Marekani na sasa yupo Mwanza kwa wazazi wake. Nikaanza kujitetea kwa nini nilikuwa kimya kipindi chote hicho na kwa nini leo nimeamua kuibuka na kumtafuta. Mimi bhana ukinipa dakika za kunisikiliza ngumu sana kuchomoa. Labda nisiwe na hela. Nikiwa na hela huwa nakuwa na confidence ya ajabu. Nikamsomesha, nikampanga akapangika, nikamwambia acha niangalie utaratibu wa kurudi Bongo tuje tufanye mchakato wa kuoana kisha turudi tuje tuishi South Africa. Demu alifurahi kweli, akawa anaomba aje South Africa hata leo ili tuishi pamoja. Mie nikamwambia avumilie kidogo tu, ninakuja hadi kwao Mwanza. Basi jina likabadirika nikaanza kuitwa mume. Nikipiga simu hadi marafiki zake wanaitwa ili waongee na shemeji yao, hadi mama mtu anapewa simu anisalimie, wanawake bhana!

Kwa hiyo nikawa nawasiliana na huyu demu karibia kila siku, na kidogo kidogo ikawa inanisaidia kutokumuwaza Khumbu ile kwa sana, japo Khumbu sikuweza kumsahau moja kwa moja. Huyu demu wa Sinza naye ikawa ahadi ni zilezile kama nilizomuahidi huyu aliyekuwa anasoma Uganda. Lengo langu lilikuwa wote kuwaweka karibu ili nikifika Bongo nichague yupi anafaa zaidi maana ilikuwa kama miaka sita imepita toka tuonane. Yule wa Uganda alikuwa ananitumia picha kwenye email, pia alikuwa facebook, so kwenye picha bado alikuwa anaonekana ana mvuto lakini sikutaka kudanganyika na picha. Iko hivi huyu wa Uganda nilikutana naye stand ya mabasi nilikuwa nakata ticket ya kutoka Kampala kuja Dar, nakumbuka kulikuwa na kampuni moja inaitwa Akamba ndio nilikata ticket ya hilo basi. Yeye alimsindikiza mdogo wake kuja kukata ticket. Tukiwa pale kwenye ofisi za Akamba ndio nikamuona. Alikuwa na mdogo wake, nilikuja kujua baadae kuwa yule mwingine alikuwa mdogo wake. Ilikuwa ni pisi moja kali sana black beauty flani ya kihaya. Pale sehemu ya kukatia ticketi sikutaka kumsomeshea pale,nilihisi ningevuta hisia za watu maana foleni nzima alikuwa ana-shine out, hivyo ningemfuata pale lazima watu wangekuwa macho kodo, hivyo kwa kuwa nilijua kwa sababu anasafiri nitapata nafasi ya kumuimbisha kwenye basi maana niliwasikia wanaongea Kiswahili nikajua hawa tunasafiri pamoja, so nikapanga ikifika zamu yangu ya kukata ticket nikamwombe mkatisha ticketi anipe siti ya jirani na huyu black beauty. Kweli ilipofika zamu yangu nikamwomba mkatisha ticket anipe siti ya jirani na huyu black beauty, bila hiyana nikapewa hiyo siti.

Siku ya safari ilikuwa kesho yake, naingia kwenye basi, black beauty simuoni bali namkuta yule mwenzake. Basi nikakaa siti moja na huyu mwenzake kinyonge huku najiuliza ile pisi iko wapi? Ikabidi nianzishe maongezi na huyu mwenzake ili nipate nafasi ya kumwulizia huyu mwenzake waliyekuwa naye jana pale kwenye ofisi za Akamba yuko wapi? Mazungumzo yalipokolea ndio nikamwuliza, mwenzake yuko wapi? Akanijibu yule ni dada ake anaitwa Amina, alimsindikiza tu kuja kukakata ticket, yeye kabaki hajasafiri. Basi baada ya kupata hayo maelezo nikamweleza kuwa dada ako nimemzimia kinoma, na hii siti nilimuomba mkatatisha ticket anipe specifically kwa ajili yake. Basi yule mdogo mtu akacheka sana hadi machozi yakamtoka. Stori zikawa tamu kweli, njia nzima full furaha tu. Bill za chakula tunashare. Akanipa namba yake na ya dada ake, akaniahidi ujumbe wangu ataufikisha kwa dada ake kabla hata mimi sijamtafuta. Nilipofika Dar nilimtafuta baada ya kama siku mbili hivi, demu alifurahi sana. Mdogo mtu tayari alikuwa keshamaliza kazi ya kunitambulisha kwa dada ake, mimi ikawa kazi ya kufukia mabonde tu ambayo mdogo mtu alikuwa hajayaona. So, huo ndio ulikuwa mwanzo wa kujuana na hii pisi kali ya kihaya iliyokuwa inasoma Kampala ambayo kwa kiasi kikubwa ilinisaidia kuniondolea mawazo ya Khumbu.

Nikipata nafasi nitaielezea hii pisi ya Sinza jinsi tulivyokutana maana nayo ina historia kubwa sana kwenye maisha yangu, na ina mchango wa kunisaidia kumsahau Khumbu. In fact hii pisi ninimezaa nayo, niliporudi bongo nikaitandika mimba bila kutarajia, sijui ilinitegeshea.

Kitendo cha kuambiwa nitapigwa risasi na kitendo cha Khumbu kula nauli kilisababisha niamue kujitahidi kumsahau Khumbu. Japo moyo ulikuwa ni vigumu kukubaliana na hili lakini akili ilikuwa inaniambia “Konda msafi kwenu watapeleka jina tu ukiendelea kumng’ang’ania Khumbu".

Niliamua kumrudisha ulingoni yule demu niliyemfanyia vitimbi. Haikuwa hata kazi kubwa kumrejesha. Nilimwambia tu nadhani break imeisha, na sasa nipo sawa kiakili hivyo tunaweza kuendelea na mahusiano yetu.

Huyu demu wa Bloemfontein yeye aliamua kuwekeza kwangu. Ila alikuwa na wasiwasi sana kuwa huenda yeye sio changuo langu maana kila mara alikuwa ananiambia anahisi ananibore. Yule demu kusema ukweli alikuwa na sura ya kawaida ila alikuwa na mkia kufuru. Alikuwa na tako kubwa sana. Nilishawahi kumpiga picha ya uchi halafu nikawarushia masela wa Durban wakasema huo mzigo unahitaji kuwekwa kwenye makumbusho. Yule demu alikuwa na tako kubwa, yaani kubwa.

Itaendelea.
 
Inaendelea

Tulipoingia ndani tukaenda moja kwa moja kukaa kitandani maana kulikuwa hakuna kiti wala kochi isipokuwa desktop computer ambayo alikuwa anaitumia kama redio kusikiliza mziki. Si unajua watoto wa kike wao na mziki ni best friends. Pia kulikuwa na kabati la nguo yale ya kujengewa ukutani. Chupi zilikuwa zimening’inizwa pale kwenye kabati zikaanza kunipa mzuka hahahahah!

Basi nikawa nimekaa pembeni ya kitanda huku miguu ikiwa nimeiweka chini yaani sikupanda mzima mzima kitandani. Yeye akaja kukaa pembeni yangu. Alikuwa bado amevaa nguo ya kulalia na chupi tu, ilionekana hata kuoga alikuwa bado hajaoga toka aamuke maana nywele zilikuwa timutimu japo ilikuwa mida kama ya saa tisa hivi. Alikuwa Amelia mpaka macho yakawa kama yamevimba hivi. Akawa ananielezea namna bibi yake alivyougua na kufariki, na kwa muda huo mwili ulikuwa umehifadhiwa mortuary na ungeletwa siku ya mazishi. Kwa hiyo nikawa na kazi ya kumbembeleza na kumfariji kwa kumweleza kifo ni kitu cha kawaida japo binadamu tumeshindwa kukizoea. Nikawa namwambia bibi yake umri ulikuwa umekwenda sana hivyo anastahili kupumzika hivyo aache kulia. Kifupi nikajifanya mzee wa busara. Nikiwa naendendelea kumfariji nikamvuta kwa kumzungushia mkono wangu kiunoni kwake nikimwashiria ajipumzishe kwenye mapaja yangu, yaani afanye kama kunilalia mapajani. Sikuwa na lengo lolote la kumpiga miti, nilikuwa namfariji tu, hivyo niliona ajilaze kwenye mapaja ili labda aweze kuhisi kuna mtu anamjali. Si unajua tena unapoamua kumkumbatia mtu, kwa kumwambia akulalie huku ukimpapasa mgongoni (cuddling) inamfanya mtu kurelax. Aliponilalia tukawa tunaongea huku nikimpapasa mgongoni, huku mkono mwingine nikawa nashikashika nywele. Nywele zilikuwa zimetimuka maana alikuwa hata hajaoga, hivyo nikawa napitisha vidole kwenye nywele kama namchana kwa chanuo la vidole. Tukiwa tunaongea huku namshika mshika mgongoni na kuwa kama napitisha vidole kwenye nywele zake nikashangaa anainuka na kwenda kufunga mlango. Nadhani kitendo cha kumchezea nywele kilimpandisha nyege. Sikuwa na wazo kabisa la kumpiga miti maana nilikuwa najua yupo kwenye majonzi na hivyo nilikuwa pale kwa ajili ya kumfariji. Nikashangaa anainuka na kwenda kuufunga mlango, then akarudi tena akanilalia kama alivyokuwa amenilalia. Kitendo cha yeye kwenda kufunga mlango wazo la kumpiga miti likaanza kuniijia, ila nikawa najisemea acha nione Khumbu anataka kunipiga tukio gani hapa kwenye msiba. Mara akaniambia “babe tupande kitandani”, nikavua viatu nikapanda kitandani, nikaenda kuegamia ukutani. Akanifata akanishika mikono kwenye mashavu akaashiria kutaka kunila denda, nikafanya kama kumsukuma kidogo kuashiria tusifanye hicho kitendo hapo msibani. Nikamwambia, Khumbu please tupo msibani hapa, huoni kama tutaleta picha mbaya. Ndugu zako wapo hapo nje na wanaweza kukuita muda wowote huoni kama tutatia aibu? Akanijibu, “Let me worry about that”. Nikaona kabisa naenda kumla Khumbu humu humu chumbani kwake tena kukiwa na msiba. Basi akanifuata tena na mimi nikampokea tukanzaa kissing. Khumbu kwenye kukiss yuko njema sana. Huko nyuma alishawahi kuniambia nijifunze French kiss, alikuwa ananiambia sijui kukiss hivyo anahitaji kunifundisha how to kiss a woman, alishaniambia eti namkiss mpaka anakosa pumzi. Anyway alishanipa darasa hivyo tukawa tunaenda sawa.

Kitu nilichokuwa nampendea huyu mwanamke, kwenye kufanya mapenzi huwa harembi, akiamua kukupa anakupa kwa moyo mkunjufu bila kukupimia. Hapo nikamuona kapata nguvu, hata ile sura ya huzuni nikaona imepotea, akawa ananikiss very passionately. Ndani ya dakika sifuri tayari tukawa kama tulivyozaliwa. Sikutaka tutumie muda mrefu kugongana, hivyo nikamwambia tushuke chini ashike ukuta, kwa sababu najua kwa hilo tako lake akiinama siwezi kuchukua muda kabla sijamaliza. Basi tukashuka chini, akakamata ukuta, nikaanza kumshughulia. Haikuchukua muda tukamaliza. Akachukua chupi yake akanifuta, akavaa night dress yake kisha akaenda kufungua mlango na kutoka nje kwenda kuangalia hali ya hewa. Mie nikavaa nguo chap nikawa namsubiria arudi kama inawezekana niondoke maana sikutarajia kufanya mapenzi siku ile. Halafu nikawa najiuliza, ina maana ameniomba nije tufanye mapenzi?.

Aliporudi akaniomba niende bafuni nikanawe, nikamwambia haina haja, nitaenda kuoga nyumbani. Tukarudi kukaa kitandani na kuendelea kupiga stori. Akawa ananiambia baada ya mazishi atasafiri kwenda kwa ndugu zake kwenda kupumzika huko maana pale kwenye hiyo nyumba walikuwa wanakaa watatu tu, yeye, bibi yake na mwanae. Baada ya bibi yake kufariki asingeendelea kuishi pale peke yake. Ingebidi kwanza akaishi kwa ndugu zake kabla ndugu hawajaamua kama hiyo nyumba wataiuza au ataendelea kukaa pale. Ila akaniambia mtoto wake atampeleka kwa baba ake, infact baba yake alikuwa anataka kumchukua mtoto tokea zamani ila yeye na bibi yake walikuwa wanamkatalia. Kwa kuwa sasa bibi hayupo duniani ambaye alikuwa anashinda na mtoto itabidi tu aende kukaa kwa baba yake.

Nilikaa pale mpaka saa 12 jioni, ilipofika saa 12 ikabidi niage. Tukatoka chumbani kwake mpaka nje pale walipokuwa wamekaa ndugu zake. Walikuwa wanawake 3 na mwanaume mmoja. Nikawaaga pale, na walionekana hata hawakuwa na habari na tulichokuwa tunakifanya chumbani. Khumbu akawa ananisindikiza kuelekea kituoni. Tukiwa tunaelekea kituoni akaniomba siku ya mazishi nihudhurie. Mazishi ilikuwa Jumamosi inayokuja, yaani Jumamosi ya wiki husika, na siku ile ilikuwa kama siku tatu kabla ya Jumamosi.

Niliporudi mjengoni nikawaelezea jamaa zangu yale yaliyomfika shemeji yao Khumbu. Jamaa wakanisisitiza sana siku ya mazishi niende, kuhudhuria mazishi kutaonyesha kiasi gani namjali Khumbu. Pia wakawa wanasema hiyo ndio siku itakayonipa nafasi ya kuwajua ndugu wengi wa Khumbu pia ndio siku nitakayoweza kumjua baba wa mtoto wa Khumbu maana lazima ahudhurie mazishi ya bibi wa mzazi mwenzie. Kweli nikaona swala la kuhudhuria mazishi ni la muhimu maana nilianza kuwa na shauku ya kwenda kumuona huyo jamaa aliyezaa na Khumbu, nikakata shauri acha nikakutane na mume mwenzangu.

Itaendelea…

Kwa wale wanaohitaji kuchangia hela ya bando namba ni hii 0676405024, hahahaha vyuma vimekaza, humohumo kwenye bando na mimi nipate hela ya kula hahahahaha!. Imesajaliwa kwa jina la Samaritan Water Solution. Hii ni namba ya ofisi ya kampuni yangu. Changieni chochote wakuu, hii stori nitaiweka hapa hapa mpaka iishe. Watu wengi wameniomba nisiisumarise hivyo matukio yote niliyoyaainisha kule mwanzo niyatayaelezea kwa mapana yake.
Ngoja Niishie hapa Kesho niendelee kupekua hadi Nione Mwisho wake
 
Inaendelea

Swala la kuambiwa nitapigwa risasi ya kichwa liliniogopesha sana. Kwa South Africa mtu akikuambia atakuuwa usifikiri anatania, anakuua kweli. Nilianza kuona maisha yangu yapo hatarini.

Nilikaa wiki bila kumtafuta Khumbu maana nilianza kumwogopa japo bado nilikuwa nampenda. Nilimpigia simu na kumwelezea kuwa kuna mtu alinipigia simu akaniambia ataniua kwa kunipiga risasi, na nikamweka wazi “nahisi anayetaka kuniua anataka kuniua kwa sababu yako. Naomba unieleze kwa nini nataka kuuliwa kwa ajili yako, ubaya upi nimekufanyia hadi nistahili kuuawa? Au mimi kukupenda wewe ndio kosa ninalostahili kuuawa?” Khumbu akajifanya hajui chochote kuhusu hilo, ila mimi niliamini ni bwana zake ndio wanaotaka kuniua. Nikaendelea kumwelezea huku nikitia huruma kuwa hata sababu ya yeye kutokuja Bloemfontein licha ya mimi kumtumia nauli ni hao jamaa, nikazidi kumwambia “Khumbu you have wrecked my heart, you have broken my heart into million pieces”, Yeye aliendelea kusisitiza hajui chochote kuhusu hilo. Binafsi niliona kabisa nikiuendekeza moyo wangu nitafia South Africa. Ila jamani acheni, moyo ukipenda ni ngumu sana kujinasua.

Swala la yeye kuja Bloemfontein sikutaka tena kumwuliza maana nilijua nitakuwa najisumbua tu japo nilikuwa natamani atamke “Konda msafi kesho napanda basi nakuja. Nilikuwa natamani aje nimchakate kwa mara ya mwisho maana kila nikifumba macho nakuwa kama naliona umbo lake, tako lake linavyoning’inia, halafu nawaza mimi ndio basi tena kuligusa dah! roho inauma kinyama, natamani Mungu afanye muujiza Khumbu amfanye kuwa mke wangu, tupotee tukaishi sehemu isiyojulikana, hata tuondoke South Africa tuende hata bara la Antactica, nikawe mimi na Khumbu tu.

Baada ya kuona maisha yangu na Khumbu hayapo tena nikaanza kuwakumbuka dada zangu watanzania. Nikaanza kujiambia mimi ni foreigner tu, sina thamani katika nchi ya watu. Khumbu hawezi kuwaacha kaka zake akanichagua mimi foreigner, acha nirudi Tanzania nikatafute dada zangu na mimi nipate kuthaminiwa. Kuna demu mmoja alikuwa anaishi Sinza nilimuimbisha kipindi flani niliporudi Bongo nikaanza kumfikiria. Pia kuna demu mmoja mbongo nilikutana naye Kampala nikaanza kumkumbuka. Bahati nzuri namba zao na email address ya yule wa Uganda nilikuwa nazo. Nikaanza kuwatafuta. Wote nikawapata, mawasiliano yaliyokufa nikayafufua. Yule aliyekuwa anasoma Uganda akaniambia alishamaliza form six, akaenda Marekani na sasa yupo Mwanza kwa wazazi wake. Nikaanza kujitetea kwa nini nilikuwa kimya kipindi chote hicho na kwa nini leo nimeamua kuibuka na kumtafuta. Mimi bhana ukinipa dakika za kunisikiliza ngumu sana kuchomoa. Labda nisiwe na hela. Nikiwa na hela huwa nakuwa na confidence ya ajabu. Nikamsomesha, nikampanga akapangika, nikamwambia acha niangalie utaratibu wa kurudi Bongo tuje tufanye mchakato wa kuoana kisha turudi tuje tuishi South Africa. Demu alifurahi kweli, akawa anaomba aje South Africa hata leo ili tuishi pamoja. Mie nikamwambia avumilie kidogo tu, ninakuja hadi kwao Mwanza. Basi jina likabadirika nikaanza kuitwa mume. Nikipiga simu hadi marafiki zake wanaitwa ili waongee na shemeji yao, hadi mama mtu anapewa simu anisalimie, wanawake bhana!

Kwa hiyo nikawa nawasiliana na huyu demu karibia kila siku, na kidogo kidogo ikawa inanisaidia kutokumuwaza Khumbu ile kwa sana, japo Khumbu sikuweza kumsahau moja kwa moja. Huyu demu wa Sinza naye ikawa ahadi ni zilezile kama nilizomuahidi huyu aliyekuwa anasoma Uganda. Lengo langu lilikuwa wote kuwaweka karibu ili nikifika Bongo nichague yupi anafaa zaidi maana ilikuwa kama miaka sita imepita toka tuonane. Yule wa Uganda alikuwa ananitumia picha kwenye email, pia alikuwa facebook, so kwenye picha bado alikuwa anaonekana ana mvuto lakini sikutaka kudanganyika na picha. Iko hivi huyu wa Uganda nilikutana naye stand ya mabasi nilikuwa nakata ticket ya kutoka Kampala kuja Dar, nakumbuka kulikuwa na kampuni moja inaitwa Akamba ndio nilikata ticket ya hilo basi. Yeye alimsindikiza mdogo wake kuja kukata ticket. Tukiwa pale kwenye ofisi za Akamba ndio nikamuona. Alikuwa na mdogo wake, nilikuja kujua baadae kuwa yule mwingine alikuwa mdogo wake. Ilikuwa ni pisi moja kali sana black beauty flani ya kihaya. Pale sehemu ya kukatia ticketi sikutaka kumsomeshea pale,nilihisi ningevuta hisia za watu maana foleni nzima alikuwa ana-shine out, hivyo ningemfuata pale lazima watu wangekuwa macho kodo, hivyo kwa kuwa nilijua kwa sababu anasafiri nitapata nafasi ya kumuimbisha kwenye basi maana niliwasikia wanaongea Kiswahili nikajua hawa tunasafiri pamoja, so nikapanga ikifika zamu yangu ya kukata ticket nikamwombe mkatisha ticketi anipe siti ya jirani na huyu black beauty. Kweli ilipofika zamu yangu nikamwomba mkatisha ticket anipe siti ya jirani na huyu black beauty, bila hiyana nikapewa hiyo siti.

Siku ya safari ilikuwa kesho yake, naingia kwenye basi, black beauty simuoni bali namkuta yule mwenzake. Basi nikakaa siti moja na huyu mwenzake kinyonge huku najiuliza ile pisi iko wapi? Ikabidi nianzishe maongezi na huyu mwenzake ili nipate nafasi ya kumwulizia huyu mwenzake waliyekuwa naye jana pale kwenye ofisi za Akamba yuko wapi? Mazungumzo yalipokolea ndio nikamwuliza, mwenzake yuko wapi? Akanijibu yule ni dada ake anaitwa Amina, alimsindikiza tu kuja kukakata ticket, yeye kabaki hajasafiri. Basi baada ya kupata hayo maelezo nikamweleza kuwa dada ako nimemzimia kinoma, na hii siti nilimuomba mkatatisha ticket anipe specifically kwa ajili yake. Basi yule mdogo mtu akacheka sana hadi machozi yakamtoka. Stori zikawa tamu kweli, njia nzima full furaha tu. Bill za chakula tunashare. Akanipa namba yake na ya dada ake, akaniahidi ujumbe wangu ataufikisha kwa dada ake kabla hata mimi sijamtafuta. Nilipofika Dar nilimtafuta baada ya kama siku mbili hivi, demu alifurahi sana. Mdogo mtu tayari alikuwa keshamaliza kazi ya kunitambulisha kwa dada ake, mimi ikawa kazi ya kufukia mabonde tu ambayo mdogo mtu alikuwa hajayaona. So, huo ndio ulikuwa mwanzo wa kujuana na hii pisi kali ya kihaya iliyokuwa inasoma Kampala ambayo kwa kiasi kikubwa ilinisaidia kuniondolea mawazo ya Khumbu.

Nikipata nafasi nitaielezea hii pisi ya Sinza jinsi tulivyokutana maana nayo ina historia kubwa sana kwenye maisha yangu, na ina mchango wa kunisaidia kumsahau Khumbu. In fact hii pisi ninimezaa nayo, niliporudi bongo nikaitandika mimba bila kutarajia, sijui ilinitegeshea.

Kitendo cha kuambiwa nitapigwa risasi na kitendo cha Khumbu kula nauli kilisababisha niamue kujitahidi kumsahau Khumbu. Japo moyo ulikuwa ni vigumu kukubaliana na hili lakini akili ilikuwa inaniambia “Konda msafi kwenu watapeleka jina tu ukiendelea kumng’ang’ania Khumbu.

Niliamua kumrudisha ulingoni yule demu niliyemfanyia vitimbi. Haikuwa hata kazi kubwa kumrejesha. Nilimwambia tu nadhani break imeisha, na sasa nipo sawa kiakili hivyo tunaweza kuendelea na mahusiano yetu.

Huyu demu wa Bloemfontein yeye aliamua kuwekeza kwangu. Ila alikuwa na wasiwasi sana kuwa huenda yeye sio changuo langu maana kila mara alikuwa ananiambia anahisi ananibore. Yule demu kusema ukweli alikuwa na sura ya kawaida ila alikuwa na mkia kufuru. Alikuwa na tako kubwa sana. Nilishawahi kumpiga picha ya uchi halafu nikawarushia masela wa Durban wakasema huo mzigo unahitaji kuwekwa kwenye makumbusho. Yule demu alikuwa na tako kubwa, yaani kubwa.

Itaendelea.

Ila naomba mpitie hii tovuti. www.samaritanwater.co.tz
P1 sana Kaka, Safi sana
 
Hatimae....ngoja sasa
Inaendelea

Swala la kuambiwa nitapigwa risasi ya kichwa liliniogopesha sana. Kwa South Africa mtu akikuambia atakuuwa usifikiri anatania, anakuua kweli. Nilianza kuona maisha yangu yapo hatarini.

Nilikaa wiki bila kumtafuta Khumbu maana nilianza kumwogopa japo bado nilikuwa nampenda. Nilimpigia simu na kumwelezea kuwa kuna mtu alinipigia simu akaniambia ataniua kwa kunipiga risasi, na nikamweka wazi “nahisi anayetaka kuniua anataka kuniua kwa sababu yako. Naomba unieleze kwa nini nataka kuuliwa kwa ajili yako, ubaya upi nimekufanyia hadi nistahili kuuawa? Au mimi kukupenda wewe ndio kosa ninalostahili kuuawa?” Khumbu akajifanya hajui chochote kuhusu hilo, ila mimi niliamini ni bwana zake ndio wanaotaka kuniua. Nikaendelea kumwelezea huku nikitia huruma kuwa hata sababu ya yeye kutokuja Bloemfontein licha ya mimi kumtumia nauli ni hao jamaa, nikazidi kumwambia “Khumbu you have wrecked my heart, you have broken my heart into million pieces”, Yeye aliendelea kusisitiza hajui chochote kuhusu hilo. Binafsi niliona kabisa nikiuendekeza moyo wangu nitafia South Africa. Ila jamani acheni, moyo ukipenda ni ngumu sana kujinasua.

Swala la yeye kuja Bloemfontein sikutaka tena kumwuliza maana nilijua nitakuwa najisumbua tu japo nilikuwa natamani atamke “Konda msafi kesho napanda basi nakuja. Nilikuwa natamani aje nimchakate kwa mara ya mwisho maana kila nikifumba macho nakuwa kama naliona umbo lake, tako lake linavyoning’inia, halafu nawaza mimi ndio basi tena kuligusa dah! roho inauma kinyama, natamani Mungu afanye muujiza Khumbu amfanye kuwa mke wangu, tupotee tukaishi sehemu isiyojulikana, hata tuondoke South Africa tuende hata bara la Antactica, nikawe mimi na Khumbu tu.

Baada ya kuona maisha yangu na Khumbu hayapo tena nikaanza kuwakumbuka dada zangu watanzania. Nikaanza kujiambia mimi ni foreigner tu, sina thamani katika nchi ya watu. Khumbu hawezi kuwaacha kaka zake akanichagua mimi foreigner, acha nirudi Tanzania nikatafute dada zangu na mimi nipate kuthaminiwa. Kuna demu mmoja alikuwa anaishi Sinza nilimuimbisha kipindi flani niliporudi Bongo nikaanza kumfikiria. Pia kuna demu mmoja mbongo nilikutana naye Kampala nikaanza kumkumbuka. Bahati nzuri namba zao na email address ya yule wa Uganda nilikuwa nazo. Nikaanza kuwatafuta. Wote nikawapata, mawasiliano yaliyokufa nikayafufua. Yule aliyekuwa anasoma Uganda akaniambia alishamaliza form six, akaenda Marekani na sasa yupo Mwanza kwa wazazi wake. Nikaanza kujitetea kwa nini nilikuwa kimya kipindi chote hicho na kwa nini leo nimeamua kuibuka na kumtafuta. Mimi bhana ukinipa dakika za kunisikiliza ngumu sana kuchomoa. Labda nisiwe na hela. Nikiwa na hela huwa nakuwa na confidence ya ajabu. Nikamsomesha, nikampanga akapangika, nikamwambia acha niangalie utaratibu wa kurudi Bongo tuje tufanye mchakato wa kuoana kisha turudi tuje tuishi South Africa. Demu alifurahi kweli, akawa anaomba aje South Africa hata leo ili tuishi pamoja. Mie nikamwambia avumilie kidogo tu, ninakuja hadi kwao Mwanza. Basi jina likabadirika nikaanza kuitwa mume. Nikipiga simu hadi marafiki zake wanaitwa ili waongee na shemeji yao, hadi mama mtu anapewa simu anisalimie, wanawake bhana!

Kwa hiyo nikawa nawasiliana na huyu demu karibia kila siku, na kidogo kidogo ikawa inanisaidia kutokumuwaza Khumbu ile kwa sana, japo Khumbu sikuweza kumsahau moja kwa moja. Huyu demu wa Sinza naye ikawa ahadi ni zilezile kama nilizomuahidi huyu aliyekuwa anasoma Uganda. Lengo langu lilikuwa wote kuwaweka karibu ili nikifika Bongo nichague yupi anafaa zaidi maana ilikuwa kama miaka sita imepita toka tuonane. Yule wa Uganda alikuwa ananitumia picha kwenye email, pia alikuwa facebook, so kwenye picha bado alikuwa anaonekana ana mvuto lakini sikutaka kudanganyika na picha. Iko hivi huyu wa Uganda nilikutana naye stand ya mabasi nilikuwa nakata ticket ya kutoka Kampala kuja Dar, nakumbuka kulikuwa na kampuni moja inaitwa Akamba ndio nilikata ticket ya hilo basi. Yeye alimsindikiza mdogo wake kuja kukata ticket. Tukiwa pale kwenye ofisi za Akamba ndio nikamuona. Alikuwa na mdogo wake, nilikuja kujua baadae kuwa yule mwingine alikuwa mdogo wake. Ilikuwa ni pisi moja kali sana black beauty flani ya kihaya. Pale sehemu ya kukatia ticketi sikutaka kumsomeshea pale,nilihisi ningevuta hisia za watu maana foleni nzima alikuwa ana-shine out, hivyo ningemfuata pale lazima watu wangekuwa macho kodo, hivyo kwa kuwa nilijua kwa sababu anasafiri nitapata nafasi ya kumuimbisha kwenye basi maana niliwasikia wanaongea Kiswahili nikajua hawa tunasafiri pamoja, so nikapanga ikifika zamu yangu ya kukata ticket nikamwombe mkatisha ticketi anipe siti ya jirani na huyu black beauty. Kweli ilipofika zamu yangu nikamwomba mkatisha ticket anipe siti ya jirani na huyu black beauty, bila hiyana nikapewa hiyo siti.

Siku ya safari ilikuwa kesho yake, naingia kwenye basi, black beauty simuoni bali namkuta yule mwenzake. Basi nikakaa siti moja na huyu mwenzake kinyonge huku najiuliza ile pisi iko wapi? Ikabidi nianzishe maongezi na huyu mwenzake ili nipate nafasi ya kumwulizia huyu mwenzake waliyekuwa naye jana pale kwenye ofisi za Akamba yuko wapi? Mazungumzo yalipokolea ndio nikamwuliza, mwenzake yuko wapi? Akanijibu yule ni dada ake anaitwa Amina, alimsindikiza tu kuja kukakata ticket, yeye kabaki hajasafiri. Basi baada ya kupata hayo maelezo nikamweleza kuwa dada ako nimemzimia kinoma, na hii siti nilimuomba mkatatisha ticket anipe specifically kwa ajili yake. Basi yule mdogo mtu akacheka sana hadi machozi yakamtoka. Stori zikawa tamu kweli, njia nzima full furaha tu. Bill za chakula tunashare. Akanipa namba yake na ya dada ake, akaniahidi ujumbe wangu ataufikisha kwa dada ake kabla hata mimi sijamtafuta. Nilipofika Dar nilimtafuta baada ya kama siku mbili hivi, demu alifurahi sana. Mdogo mtu tayari alikuwa keshamaliza kazi ya kunitambulisha kwa dada ake, mimi ikawa kazi ya kufukia mabonde tu ambayo mdogo mtu alikuwa hajayaona. So, huo ndio ulikuwa mwanzo wa kujuana na hii pisi kali ya kihaya iliyokuwa inasoma Kampala ambayo kwa kiasi kikubwa ilinisaidia kuniondolea mawazo ya Khumbu.

Nikipata nafasi nitaielezea hii pisi ya Sinza jinsi tulivyokutana maana nayo ina historia kubwa sana kwenye maisha yangu, na ina mchango wa kunisaidia kumsahau Khumbu. In fact hii pisi ninimezaa nayo, niliporudi bongo nikaitandika mimba bila kutarajia, sijui ilinitegeshea.

Kitendo cha kuambiwa nitapigwa risasi na kitendo cha Khumbu kula nauli kilisababisha niamue kujitahidi kumsahau Khumbu. Japo moyo ulikuwa ni vigumu kukubaliana na hili lakini akili ilikuwa inaniambia “Konda msafi kwenu watapeleka jina tu ukiendelea kumng’ang’ania Khumbu.

Niliamua kumrudisha ulingoni yule demu niliyemfanyia vitimbi. Haikuwa hata kazi kubwa kumrejesha. Nilimwambia tu nadhani break imeisha, na sasa nipo sawa kiakili hivyo tunaweza kuendelea na mahusiano yetu.

Huyu demu wa Bloemfontein yeye aliamua kuwekeza kwangu. Ila alikuwa na wasiwasi sana kuwa huenda yeye sio changuo langu maana kila mara alikuwa ananiambia anahisi ananibore. Yule demu kusema ukweli alikuwa na sura ya kawaida ila alikuwa na mkia kufuru. Alikuwa na tako kubwa sana. Nilishawahi kumpiga picha ya uchi halafu nikawarushia masela wa Durban wakasema huo mzigo unahitaji kuwekwa kwenye makumbusho. Yule demu alikuwa na tako kubwa, yaani kubwa.

Itaendelea.

Ila naomba mpitie hii tovuti. www.samaritanwater.co.tz
 
Inaendelea

Swala la kuambiwa nitapigwa risasi ya kichwa liliniogopesha sana. Kwa South Africa mtu akikuambia atakuuwa usifikiri anatania, anakuua kweli. Nilianza kuona maisha yangu yapo hatarini.

Nilikaa wiki bila kumtafuta Khumbu maana nilianza kumwogopa japo bado nilikuwa nampenda. Nilimpigia simu na kumwelezea kuwa kuna mtu alinipigia simu akaniambia ataniua kwa kunipiga risasi, na nikamweka wazi “nahisi anayetaka kuniua anataka kuniua kwa sababu yako. Naomba unieleze kwa nini nataka kuuliwa kwa ajili yako, ubaya upi nimekufanyia hadi nistahili kuuawa? Au mimi kukupenda wewe ndio kosa ninalostahili kuuawa?” Khumbu akajifanya hajui chochote kuhusu hilo, ila mimi niliamini ni bwana zake ndio wanaotaka kuniua. Nikaendelea kumwelezea huku nikitia huruma kuwa hata sababu ya yeye kutokuja Bloemfontein licha ya mimi kumtumia nauli ni hao jamaa, nikazidi kumwambia “Khumbu you have wrecked my heart, you have broken my heart into million pieces”, Yeye aliendelea kusisitiza hajui chochote kuhusu hilo. Binafsi niliona kabisa nikiuendekeza moyo wangu nitafia South Africa. Ila jamani acheni, moyo ukipenda ni ngumu sana kujinasua.

Swala la yeye kuja Bloemfontein sikutaka tena kumwuliza maana nilijua nitakuwa najisumbua tu japo nilikuwa natamani atamke “Konda msafi kesho napanda basi nakuja. Nilikuwa natamani aje nimchakate kwa mara ya mwisho maana kila nikifumba macho nakuwa kama naliona umbo lake, tako lake linavyoning’inia, halafu nawaza mimi ndio basi tena kuligusa dah! roho inauma kinyama, natamani Mungu afanye muujiza Khumbu amfanye kuwa mke wangu, tupotee tukaishi sehemu isiyojulikana, hata tuondoke South Africa tuende hata bara la Antactica, nikawe mimi na Khumbu tu.

Baada ya kuona maisha yangu na Khumbu hayapo tena nikaanza kuwakumbuka dada zangu watanzania. Nikaanza kujiambia mimi ni foreigner tu, sina thamani katika nchi ya watu. Khumbu hawezi kuwaacha kaka zake akanichagua mimi foreigner, acha nirudi Tanzania nikatafute dada zangu na mimi nipate kuthaminiwa. Kuna demu mmoja alikuwa anaishi Sinza nilimuimbisha kipindi flani niliporudi Bongo nikaanza kumfikiria. Pia kuna demu mmoja mbongo nilikutana naye Kampala nikaanza kumkumbuka. Bahati nzuri namba zao na email address ya yule wa Uganda nilikuwa nazo. Nikaanza kuwatafuta. Wote nikawapata, mawasiliano yaliyokufa nikayafufua. Yule aliyekuwa anasoma Uganda akaniambia alishamaliza form six, akaenda Marekani na sasa yupo Mwanza kwa wazazi wake. Nikaanza kujitetea kwa nini nilikuwa kimya kipindi chote hicho na kwa nini leo nimeamua kuibuka na kumtafuta. Mimi bhana ukinipa dakika za kunisikiliza ngumu sana kuchomoa. Labda nisiwe na hela. Nikiwa na hela huwa nakuwa na confidence ya ajabu. Nikamsomesha, nikampanga akapangika, nikamwambia acha niangalie utaratibu wa kurudi Bongo tuje tufanye mchakato wa kuoana kisha turudi tuje tuishi South Africa. Demu alifurahi kweli, akawa anaomba aje South Africa hata leo ili tuishi pamoja. Mie nikamwambia avumilie kidogo tu, ninakuja hadi kwao Mwanza. Basi jina likabadirika nikaanza kuitwa mume. Nikipiga simu hadi marafiki zake wanaitwa ili waongee na shemeji yao, hadi mama mtu anapewa simu anisalimie, wanawake bhana!

Kwa hiyo nikawa nawasiliana na huyu demu karibia kila siku, na kidogo kidogo ikawa inanisaidia kutokumuwaza Khumbu ile kwa sana, japo Khumbu sikuweza kumsahau moja kwa moja. Huyu demu wa Sinza naye ikawa ahadi ni zilezile kama nilizomuahidi huyu aliyekuwa anasoma Uganda. Lengo langu lilikuwa wote kuwaweka karibu ili nikifika Bongo nichague yupi anafaa zaidi maana ilikuwa kama miaka sita imepita toka tuonane. Yule wa Uganda alikuwa ananitumia picha kwenye email, pia alikuwa facebook, so kwenye picha bado alikuwa anaonekana ana mvuto lakini sikutaka kudanganyika na picha. Iko hivi huyu wa Uganda nilikutana naye stand ya mabasi nilikuwa nakata ticket ya kutoka Kampala kuja Dar, nakumbuka kulikuwa na kampuni moja inaitwa Akamba ndio nilikata ticket ya hilo basi. Yeye alimsindikiza mdogo wake kuja kukata ticket. Tukiwa pale kwenye ofisi za Akamba ndio nikamuona. Alikuwa na mdogo wake, nilikuja kujua baadae kuwa yule mwingine alikuwa mdogo wake. Ilikuwa ni pisi moja kali sana black beauty flani ya kihaya. Pale sehemu ya kukatia ticketi sikutaka kumsomeshea pale,nilihisi ningevuta hisia za watu maana foleni nzima alikuwa ana-shine out, hivyo ningemfuata pale lazima watu wangekuwa macho kodo, hivyo kwa kuwa nilijua kwa sababu anasafiri nitapata nafasi ya kumuimbisha kwenye basi maana niliwasikia wanaongea Kiswahili nikajua hawa tunasafiri pamoja, so nikapanga ikifika zamu yangu ya kukata ticket nikamwombe mkatisha ticketi anipe siti ya jirani na huyu black beauty. Kweli ilipofika zamu yangu nikamwomba mkatisha ticket anipe siti ya jirani na huyu black beauty, bila hiyana nikapewa hiyo siti.

Siku ya safari ilikuwa kesho yake, naingia kwenye basi, black beauty simuoni bali namkuta yule mwenzake. Basi nikakaa siti moja na huyu mwenzake kinyonge huku najiuliza ile pisi iko wapi? Ikabidi nianzishe maongezi na huyu mwenzake ili nipate nafasi ya kumwulizia huyu mwenzake waliyekuwa naye jana pale kwenye ofisi za Akamba yuko wapi? Mazungumzo yalipokolea ndio nikamwuliza, mwenzake yuko wapi? Akanijibu yule ni dada ake anaitwa Amina, alimsindikiza tu kuja kukakata ticket, yeye kabaki hajasafiri. Basi baada ya kupata hayo maelezo nikamweleza kuwa dada ako nimemzimia kinoma, na hii siti nilimuomba mkatatisha ticket anipe specifically kwa ajili yake. Basi yule mdogo mtu akacheka sana hadi machozi yakamtoka. Stori zikawa tamu kweli, njia nzima full furaha tu. Bill za chakula tunashare. Akanipa namba yake na ya dada ake, akaniahidi ujumbe wangu ataufikisha kwa dada ake kabla hata mimi sijamtafuta. Nilipofika Dar nilimtafuta baada ya kama siku mbili hivi, demu alifurahi sana. Mdogo mtu tayari alikuwa keshamaliza kazi ya kunitambulisha kwa dada ake, mimi ikawa kazi ya kufukia mabonde tu ambayo mdogo mtu alikuwa hajayaona. So, huo ndio ulikuwa mwanzo wa kujuana na hii pisi kali ya kihaya iliyokuwa inasoma Kampala ambayo kwa kiasi kikubwa ilinisaidia kuniondolea mawazo ya Khumbu.

Nikipata nafasi nitaielezea hii pisi ya Sinza jinsi tulivyokutana maana nayo ina historia kubwa sana kwenye maisha yangu, na ina mchango wa kunisaidia kumsahau Khumbu. In fact hii pisi ninimezaa nayo, niliporudi bongo nikaitandika mimba bila kutarajia, sijui ilinitegeshea.

Kitendo cha kuambiwa nitapigwa risasi na kitendo cha Khumbu kula nauli kilisababisha niamue kujitahidi kumsahau Khumbu. Japo moyo ulikuwa ni vigumu kukubaliana na hili lakini akili ilikuwa inaniambia “Konda msafi kwenu watapeleka jina tu ukiendelea kumng’ang’ania Khumbu".

Niliamua kumrudisha ulingoni yule demu niliyemfanyia vitimbi. Haikuwa hata kazi kubwa kumrejesha. Nilimwambia tu nadhani break imeisha, na sasa nipo sawa kiakili hivyo tunaweza kuendelea na mahusiano yetu.

Huyu demu wa Bloemfontein yeye aliamua kuwekeza kwangu. Ila alikuwa na wasiwasi sana kuwa huenda yeye sio changuo langu maana kila mara alikuwa ananiambia anahisi ananibore. Yule demu kusema ukweli alikuwa na sura ya kawaida ila alikuwa na mkia kufuru. Alikuwa na tako kubwa sana. Nilishawahi kumpiga picha ya uchi halafu nikawarushia masela wa Durban wakasema huo mzigo unahitaji kuwekwa kwenye makumbusho. Yule demu alikuwa na tako kubwa, yaani kubwa.

Itaendelea.

Ila naomba mpitie hii tovuti. www.samaritanwater.co.tz
Mkia kufuru [emoji28][emoji28][emoji1787][emoji95][emoji95]kama siafu tu...shusha story mzee[emoji122]
 
Premij ni vituko sana huyo Binti ni Mnyambwa anaishi na Mama yake nyumba ya vyumba vi3 majirani wamenieleza hakatai mtu ni anawapanga hasa, usiku kwa mchana na hata wakigongana hawagombani kabisa, Mama anawapangua wanaondoka km yupo aliyewahi, ndio anayeendelea kula mzigo.
Nilitumia Kikao cha Mtaa ili nipate kibali cha kwenda Dawati la Jinsia POLISI, basi mfungabuti akaniwahi POLISI kuwa mtoto ni wake ila wanibane nitoe matumizi wala wasiniruhusu nikawapime DNA wote wanne, hapo nikagonga ukuta
sasa mtoto amekua funga buti alishaachishwa kazi kwa ajili ya ulevi na alikuwa na mke, mke akamkimbia mfunga buti
sasa huyu mchepuko wangu naye akamkataa, jina nimeambiwa anatumia la mfunga buti ila shule kaandikisha ubini wangu, juzi ananiambia hata akifa kwa ukimwi au Corona nikachukue mtoto.
yaani naogopa Mungu ameninusuru ila nashindwa kumuacha kwani kaumbika kuliko Khumbu yeye ana asili ya unyambwa na ututsi baba yake ni hawa madereva wa Malori Rwanda, waliokuwa wanapark malori vituo km Kintiku ndipo Mama akabeba mimba.
Kweli Bint ana vituko kwani kwa umbo mwembaba shingo ndefu nyuma kajazia hivyo ni mwepesi na popote anajikunja na anakupea iwe ndani ya gari, iwe mlingotini wima km miti porini iwe ile chuma mb. uchochoroni, tatizo alitaka atambulike kwetu wakati mtoto sifanani nae kabisa na DNA hataki
Ngoja niishie hapo kwanza nimpishe mleta Mada konda msafi

Hiyo paragraph ya mwisho hapo nimeweka imagination na nimejikuta napata picha ya huyo mchepuko.

Mkuu nasisitiza usimuache huyo kisebengo, endelea kula tunda, watutsi kwa shape wako vizuri mkuu, Ila hakikisha wife hajui.

Endelea kutekeleza ilani ya chama [emoji1420]
 
Kuna dictionary nilinunua Kampala, hiyo ticket ya Akamba niliichomeka humo. Ni oxford Advanced Learner's 7th Edition. Uganda ilikuwa inauzwa kwa bei ndogo sana ukilinganisha na bei ya Tanzania. You can't believe hiyo ticket mpaka leo ninayo. Nilikuwa naiona ona kila ninapoitumia hii dictionary, sasa leo wakati naandika kipengele cha Amina nikakumbuka, nikajisemea acha niiangalie hii ticket kama bado ipo niiambatanishe kwenye huu uzi. Kama kumbukumbu zangu zipo vizuri nilikutana na Amina tarehe 17 March 2006. Just imagine. Hiyo hapo ticket nimewawekea
 

Attachments

  • Akamba.jpeg
    Akamba.jpeg
    47.5 KB · Views: 81
Kuna dictionary nilinunua Kampala, hiyo ticket ya Akamba niliichomeka humo. Ni oxford Advanced Learner's 7th Edition. Uganda ilikuwa inauzwa kwa bei ndogo sana ukilinganisha na bei ya Tanzania. You can't believe hiyo ticket mpaka leo ninayo. Nilikuwa naiona ona kila ninapoitumia hii dictionary, sasa leo wakati naandika kipengele cha Amina nikakumbuka, nikajisemea acha niiangalie hii ticket kama bado ipo niiambatanishe kwenye huu uzi. Kama kumbukumbu zangu zipo vizuri nilikutana na Amina tarehe 17 March 2006. Just imagine. Hiyo hapo ticket nimewawekea

Tunataka picha ya khumbu[emoji849]
 
Habari wakuu? Kwanza napenda kuwaambia kuwa nawapenda wote mnaofuatilia hii stori. Hata hao wenye maneno ya kukera. Ila naombeni mnisamehe, sitaweza kuimaliza kwa leo hii stori kama nilivyoahidi. Akili haina utulivu kidogo, kuna mambo binafsi yananiondolea utulivu wa akili hivyo nashindwa kukaa na kuanza kuandika. Na mimi sipendi niandike kitu kwa kulipua. Nitaimalizia, mniwie radhi wakuu.
Kuna mdau mmoja alisema kuwa huwa hutimizi ahadi zako, mwanzo nilimpuuza lakini kumbe alikuwa sahihi, anyway sawa mkuu.
 
Kuna mdau mmoja alisema kuwa huwa hutimizi ahadi zako, mwanzo nilimpuuza lakini kumbe alikuwa sahihi, anyway sawa mkuu.
Mkuu umesoma mpaka nilipoishia jana usiku lakini? Isije ikawa unalaumu tu kumbe kuna miendelezo mingi hujaifikia. Anyway niwie radhi mkuu, stori nitaimaliza. Leo nitaweka tena huenda nikaimaliza. Tatizo kuna matukio ambayo hata sikutegemea kama yatakuja kuwa integrated kwenye hii stori ila kadri ninavyoielezea najikuta yana pop up. Kwa mfano tukio la Amina sikutarajia kama lingejitokeza kwenye hii stori lakini unaweza kuona jinsi lilivyoplay part. Nilitaka niliruke maana halikuwepo hata kwenye muainisho wangu lakini nikaona nikiliruka stori itakosa connection yaani ingekosa ushirikiano. So unaweza kuona kwa nini stori inachukua muda kuisha. Hata kipengele cha demu wa Bloemfontein nacho lazima nikielezee kwa undani japo hakikuwa sehemu ya muainisho wangu maana nacho ni kiungo muhimu cha hii stori. Nikikiruka stori itakosa connection. Au niachane na vipengele ambavyo havikuwa sehemu ya muhitasari niimalize kibabe?
 
Back
Top Bottom