Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Khumbu kama Khumbu yan
 
Bonge la Uzi mzee, Ngoja niendelee sasa
 
Tupo pamoja
 
Nilichogundua wengi tuna ham na picha ya Khumbu.Konda msafi kama vipi tuwekee tu hiyo picha kisha story achana nayo
 
Hivi bado yapo haya mabasi?
Kampuni ilikufa siku nyingi.. unajua technoligy ndio imewanondoka kwenye game (M pesa) zamani nakumbuka wakati nasoma Kampala, unaweza kuondoka Ubungo mpo watano tuu kwenye Bus mpaka Nairobi.. Jamaa walikuwa wanasafirisha pesa sana na percal. Ukienda kwenye ofisi zao utadhani ni bank, watu walivyojipanga kutuma na kupokea pesa..
 
We jamaa maliza story ili nianze kuisoma,huwa naanza kuisoma story mwishoni huku nikielekea mwanzoni.mf naanza chapter 10, nakuja 9, nakuja nane.... mpaka moja
 
Hii kampuni yule mama mliki alikufa,ndio chanzo cha hii kampuni kufa, walikuwa na hadi Mafuta ya kupikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…