Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Mfano unataka kwenda kihalali , ukifika kwenye mamlaka wakakuuliza unaenda kufanya nn, unajibu nn???
Sina connection mkuu. Yeye aende kihalali tu kisha akifika kule atapata njia ya kuingia kwenye system ya kishuleshule.
 
Hebu fafanua kidogo hapa.
yaani ungempiga limbwata la kizigua atulie tuli. Asizuzuke na ma bishoo wa mjini.unaenda hapo tu kwenu bagamoyo hapo si mbali unaongea na wazee kwa heshima zote tu.
Hawakutupi kamwe.
 
yaani ungempiga limbwata la kizigua atulie tuli. Asizuzuke na ma bishoo wa mjini.unaenda hapo tu kwenu bagamoyo hapo si mbali unaongea na wazee kwa heshima zote tu.
Hawakutupi kamwe.
Sidhani
 
Mimi ni opareta wa mashine... Folk lift na reach steacker..... Vipi maisha ya huko kwa fani hiyo? Asante...
 
Kipande hiki kina huzunisha kiasi Fulani hasa Ukizingatia Unaondoka Kwa majonz
 
Kuna watu walikuw wanaona kama story ya kutunga.Lakn kadri episode zilivyoendelea wamekubali kwel ni maisha halisi.
Hongera Konda kwa kujua kujisimulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…