Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Du wanaume tumetekwa sasa pamoja na Khumbu kuwa na michepuko kama yote watu wenye pesa bado konda msafi hakugwatuka du Mungu atupe maisha marefu sisi KATAA MAHUSIANO demu ambaye unamuona kwa macho yako anamabwana alafu bado upo naye na unampa misifa kama yote uchawi wa mapenzi people they don't see mistake done.
 
Naomba hadithi za hawa wakuu KigaKoyo na JBourne59
 
MMU cku iz hakuna tena story tamu kama hizi... cjui lara moko..atupe story la kufungia mwaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…