Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Yaani hiyo simple Sana wamachame wakasome hao watu ninyoko kukuchoma na pasi mgongoni au kukupiga Bomba Ni Kama kunywa mchuzi yaani [emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kumbe Khumbu alipokimbia alipanda taxi mpaka workshop. Kutoka sehemu niliyokuwa naishi hadi workshop ni kama dakika 15 tu kama hakuna foleni. So Khumbu alipofika pale akawa anamweleza mshikaji eti nilikuwa nataka kula mambo wakati yupo kwenye breed, eti nilikuwa nabehave as if nimechanganyikiwa hivyo akaona isiwe kesi bora akimbie. Yote yalikuwa uongo tu na mpaka leo sijawahi kuelewa kwa nini alikimbilia workshop kwenda kuongea huo uongo. Anyway jamaa nikamwomba akifunga goli aje geto anipe ushauri kabla sijachukua maamuzi mabaya zaidi. Jioni jamaa alikuja akanishauri nini cha kufanya.

Kusema kweli kile kitendo kiliathiri sana, hadi performance yangu darasani ilishuka. Mwaka wa kwanza nilipata tuition fee remission kwa sababu ya kiwango cha juu cha ufaulu. Lakini mwaka wa pili ambapo hili tukio lilifanyika nilianza kupata max za kufaulu, nilikuwa na stress hatari. Nilikuwa najitahidi kumsahau Khumbu lakini wapi?

Ilichukua kama miezi kadhaa kabla hatujaanza tena kuwasiliana na Khumbu.

Tukio linalofuata nitaelezea nilipokutana na Khumbu akiwa na msela.
 
Washkaji zako nimewakubali,ni watu wenye upendo inaonekana mliishi vizuri maana sijaona mahali umeandika kua kuna siku mlizinguana,
Respect.
Nilitaka kumuambia hivi pia ...jamaa zake wako real ile mbaya mpaka raha yaani
 
duh huyu khumbu anafananaje kwan maana jamaa ulidata haswaa
 
Huu mzigo inabidi uishe leo, kama zege vile hakilali kitu hapa
 
Khumbu kwa mashtaka yote haya tunakuhukumu kifungo cha maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…