Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Mkuu mwambie basi khumbu tutamjia tu asijifanye mjanja mpka google tumemkosa
 
Mkuu hapo ndo penyewe sasa
Sema khumbu jamaa yake huenda alianza kumpa pesa nzuri ndo maana akawa anakukwepa ..

Ila mpka sasa khumbu halisi hajapatikana tutampata tu wala usiweke picha
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ma-tacore yalikupagawisha mdogo wangu
 
Halafu nimesahau kuelezea kitu pale nilipomuona ananyata kukuelekea mlango ili akimbie. Nilipoona kile kiwilowili chake kinakatiza kuelekea mlangoni roho ikapiga pah! Halafu nikajikuta nimeropoka kwa sauti kubwa "**** you bitch"
Aisee uliharibu zaidi ... Hata hivyo alishageuka kuwa Toxic
 
Aisee

Khumbu ni mnoma
 
Oyaaa na I'd ya khumbu tushafungua aiseeh
Dah haya wewe khumbu wa jf tupe hiyo chura tuione
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…