Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Tangu juzi najifunza style ya kukunguta ..kiuno hoi[emoji23][emoji23][emoji23]
Acheni khumbu aitwe khumbu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daaah utateguka nyonga wewe
 
Nimekuelewa mkuu, niwie radhi. Na pia naomba kwa leo tuishie hapo maana hata mimi akili imevurugika kidogo, nimekosa amani ya moyo. Tutaendelea kesho panapo majaliwa.
Mkuu unaweza kuiedit iyo episode kuondoa ayo maudhui. Fanya ivyo mkuu
 
Leo ni mawe juu ya mawe yaani
Hapa khumbu
Kule mwandende ni fayaaa

Waiter kitimoto kilo 4 plz
Mm anilete kvant kubwa, bitter lemmon na maji makubwa ya baridi... jikoni waniandalie mbuzi choma na na ugali nyama iwe na mafuta futa kidogo asisahau limao na pilipili, kachumbali kama ipo aweke...Acha tuendelee kula vtu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu hakuna mtoto humu
 
Nimekuelewa mkuu, niwie radhi. Na pia naomba kwa leo tuishie hapo maana hata mimi akili imevurugika kidogo, nimekosa amani ya moyo. Tutaendelea kesho panapo majaliwa.
Mambo ya telagram yameanza tayar na wenzio wanaanzaga hivi hivi Mara bando sina
 
Mkuu kwanza nikupe hongera kwa mtiririko mzuri wa story.
Unajitahidi sana.
Kuhusu hizo explicit events (maudhui ya chumbani) wewe yaandike tu na wala huna sababu ya kumuomba mtu radhi.
Najua you made peace with your mind, kitambo, na haimaanishi kama uliyafanya huko nyuma, hata sasa unayafanya. HAPANA.
Tupo hapa kujifunza kwa mazuri na mabaya kupitia watu, hakuna mtu mkamilifu, atakayeona kutopendezwa na unachokiandika, ni vema akauacha huu uzi na kuelekea kunakomfaa yeye.
Kuna mengi sana ya kujifunza kupitia uzi wako, lakin kuna mtu hapa atakuja kuanza kukandia baadhi ya matukio, jaman we are not Gods, sisi ni binadamu, na hakuna aliekamilika, na ni vema huyo mtu akaanzishe uzi wake huko, nan kamuita aje hapa?

Mkuu endelea kushusha vitu, tuko pamoja na wewe.
 
Nimekuelewa mkuu, niwie radhi. Na pia naomba kwa leo tuishie hapo maana hata mimi akili imevurugika kidogo, nimekosa amani ya moyo. Tutaendelea kesho panapo majaliwa.
Konda na Wewe sasa hueleweki.

Topic inazungumzia mapenz, Mwanzo hadi mwisho. Anayekuja ku soma uzi wa mapenz ategemee nini sasa zaidi ya kukutana na mambo ya mapenzi.

Sasa, ww sijui unakwazika nini hasa? Yaani ishu ya mapenz unataka uzungumzie mpira badala ya mapenzi?

Topic ni ya mapenz, ukizungumzia mapenz unakuwa umemkwaza mtu? Huoni kutokuzungumzia mapenz kwenye mada ya mapenz ndo utakuwa umewakwaza wasomaji?

Halafu, hii forum tena tupo anonymous mtu akiona hii topic inamkwaza si anaenda kusoma uzi za jukwaa la siasa, ama historia? Kwa nn aje akwazike na mapenz kwenye topic ya mapenz?

Ingekuwa topic ya mpira ndo unazungumzia mapenz ndo ungejisikia vibaya labda kidogo!

TULETEE story acha uboya! (Sijakutukana nimekupa live tu kama mwanetu)
 
very true alichokuambia hahahahaha nakumbuka mbali sana ughaibuni acheni tuu mambo mengi hawa viumbe hata ukutane nao Europe wana behave hivyo watoto wa mzansi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimekuelewa mwana. Hapo kwenye kuniambia uboya wala usihofu maana hizo ndio zilikuwa lugha zetu huko Dizonga. Kule mnaongea kwa kutukanana na ni sehemu ya mawasiliano. Ukiwa mshamba unaweza ukawa unagombana na watu kila siku kwa kudhani wanakutukana kumbe watu ndio ongea yao. Kipindi niliporudi bongo nikawa naongea na watu kwa mtindo huo, si unajua mazoea yana tabu. Watu wakawa hawanielewi ila nilikuja kubadilika baadae baada ya kutambua sasa nipo bongo na sio Sauzi tena. Stori itaendelea usijali, acha nipate utulivu kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…