Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Stori yenyewe mbaayaaa!!![emoji1493][emoji1493][emoji1493]
 
Dah khumbu huyu khumbu huyuuuu mwenye tako la kuning'inia....mbona mimi sikutani nao, nakutana na wenye tako la kuchanua tu[emoji29][emoji45]

unaendaga kidimbwi ? samaki samaki ? kwa mwamposa ? mkuu mwanamke akitaka ajipime kama ye mzuri au laa aende kidimbwi akajifananishe ne levels [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mnh.... Ya Kweli haya?? Sasa mbona Kila Ke ninayembembekeza anagoma?? Labda kma na wewe Ni Ke uniruhusu nijaribu kukubembeeleza na wewe labda nitafanikiwa

Mie ninae wa kunibembeleza. Pambana tu mnyantuzu ataelewa.
 
Huu uzi utaendelea kweli?? Mbona kama epsode ya mwisho inagoma kufunguka...
 
Au upo SA saivi nikuelekeze sehemu za kwenda kama upo Tz hizo sehemu nlizosema ni zinajitahidi
😅nitashukuru sana, nelson mandela bay, kwadwesi-mpetha street, elekeza kuanzia hapo mkuu


Hakikisha tako lakubembea kweli kweli naliona nitalipiga picha nililete hapa
 
Mzee Kileleni ufikishwe mwenyewe [emoji23]
 
Kuna salon moja pale workshop ilikuwa inamilikiwa na mburundi rafiki wa jamaa yetu don mkubwa, huyo mayor unayemuona mtu mzito alikuwa anakuja kunyoa pale.
But still ni mayor... Haileti sense. Kabisa. Yaani mayor wa jiji la Durban akawe na chokoraa asiweza hata kujinunulia breakfast ya mama mtilie. Yaani mayor ana share dem na wauza mitumba? Yaani kibongo bongo ni mayor wa Dar ana share dem na wauza mitumba wa karume. Huku kapaki v8 lake. Kwanza huyo mayor anakutana wapi na kidemu kama hicho. Mayor wa jiji la Durban sio mchezo wandugu... Anyway watanzania tumezoea kudanganywa. Its ok
 
Kakutoa kwa madiba af ghafla anakuacha Tandale🤣🤣🤣🤣
 
Tatizo lenu mnadhani wanasiasa wa nchi za watu wana majivuno kama wanasiasa wenu uchwara wa huku. Mayor ni diwani tu by the way.
Ndio diwani lakini keshakuwa mayor... Ni sawa na useme waziri ni mbunge... Sawa ni mbunge lakini ndio keshakuwa waziri... Gari.. Nyumba.. Ulinzi... Mshahara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…