Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Ndugu wewe ni muha ?
 
Kwa wenzetu walioendelea vyeo vya serikali ni dhamana tu, na sio utajiri kama huku kwetu.. na wala hawajimwambafay kama wa huku kwetu... Na hapo cha ajabu ni kipi mayor kutembea na demu wa kitaa?? Pia kumbuka jamaa amesema huyo demu pia alikuwa anamilikiwa na mmiliki wa daladala..hivyo uzuri alikuwa nao na pia suala la kutanua alilijua..
 
Watu wana share na mawaziri ndio ije kuwa Mayor? Halafu hao Matop wanakula sana kuku wa kienyeji na kuwanunulia majumba kuliko hao wadada High class. Kama member wa mjengoni wanakula machangudoa ajabu nini huyo Mayor kula kuku wa kienyeji msafi?
 
Mbona umeniangusha sana mkuu.. unaishi wapi? What is ur cyle? Labda ni vile hujajua hio dunia inavyoenda. Yaanii ungejuaaa...
 
Watu wana share na mawaziri ndio ije kuwa Mayor? Halafu hao Matop wanakula sana kuku wa kienyeji na kuwanunulia majumba kuliko hao wadada High class. Kama member wa mjengoni wanakula machangudoa ajabu nini huyo Mayor kula kuku wa kienyeji msafi?
Sijui kama unanielewa... Changudoa ana maisha.... Kajipanga barabarani anajiuza.... Wewe ongelea dem anaishi yuko soko la mitumba tandika mwisho... Hajala. Hana hela ya mama mtilie... Kazalishwa na madereva wa daladala... Vuta tu hiyo picha how she look like
 
Mbona umeniangusha sana mkuu.. unaishi wapi? What is ur cyle? Labda ni vile hujajua hio dunia inavyoenda. Yaanii ungejuaaa...
Nimezaliwa dar na kukulia dar... Pia hv big exposure outside of Tanzania and African continent.. So usione kama. Nabahatisha. Tena mayor kwa nchi kama South Africa iliyo na high rate of ujambazi... Unadhani mayor atakuwa kama mayor wako akina masaburi au kimbisa. Stop joking na kufanya vitu rahisi rahisi. Eti mayor wa Durban ana share dem na wauza mitumba na madereva wa daladala
 
Hii ni story tu kama ya zari la mentali lakini haina uhalisia kabisa sema tu kujipoza uan uchungu wa maisha.. Story inafurahisha watu wanavuta picha wanaona wako South na dem mzuriii.... Lakini akili yao Inashindwa kuchanganua akina ya mtu anayeongelewa
 
Hongera wewe usiyedanganywa na unaendelea kukomaa kwenye uzi wa mtu anaekudanganya sasa unafanya nini hapa? Yani unasema unadanganywa bado upo unasoma uone huo udangayifu Aseee only in Tanzania. Wewe tuache wenyewe tumeupenda wenyewe usiharibu starehe za watu.
 
Hujalazimishwa kuamini mkuu. Ukiona ni fix pita kando.
Huna haja ya kulazimisha watu wakubaliane na mawazo yako.
Ujalazimishwa pia kuufatilia huu uzi. Cha msingi we huamini stori achana nayo. Sio kuja kuharibu uzi wa watu.
 
Pita hivi[emoji1485]
 
99% ya wanaume tuliousoma huu uzi hadi hapa tumedindisha kwa namna moja au nyingine, na hasira za kipochi mayoya ya Khumbu tunahamishia kwa wake zetu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
ijumaa npo na manzi,cha pili kkachelewa sana,nkaamua nvute hisia kama namuona khumbu na maujanja yake ghafula nkasikia wazungu wanacome
 
Naona umeamua kuweka tafsiri yako. Wauza mitumba pia wana classy tofauti kulingana na aina ya nguo na eneo goli lilipo. Pia huyo msichana alizaa na mmiliki wa dala dala za huko,yaani tajiri anaewaajiri hao madereva.huwezi jua status yake.

Halafu hakuna sehemu mleta mada alisema msichana ni chokoraa,alikosa tu fedha ya chai aina maana alikuwa na hali mbaya,inaweza kuwa ilikuwa siku mbaya kama ilivyo kwa watu wengi.

Kingine mleta mada alimthaminisha namna alikuwa amepiga pamba,alikuwa poa tu.

Mbona hapa hapa unaweza kwenda mlimani city ukakutana na mdada mkali,kapangilia mavazi vizuri kumbe kiuchumi yupo hoi.tena hata kula hajala. Ni kawaida tu katika maisha.

Usilete tafsiri ya mambo ambayo hayapo.

Kwani waziri kuchukua mwanamke Tandale kuna ajabu gani. Wanawake wa Tandale hawana kyummma?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengine wakiona mtu kaandika uzi vizuri wanaona wivu, wivu mpka kwenye mambo ya yasiyo ya msingi
 
Mwanmke yeyote mzuri anachohitaji ni exposure tu, Akionekeana na jamaa akamvutia hata mwenye hela zake,kibosile, sijui ana cheo gani, unafikiri huyo dem atakuwa mwenzako baada ya hata 6 months? Maboss wangapi wanaoa ma house girls ambao baada ya muda ukionyeshwa huyo msichana huwezi amni ni yeye? Usishindane na mwanamke mkuu sio wenzetu
 
Achana huyo bwana ni mpuuzi kama wapuuzi wengine watu wanataka kujimwambafai kila mahali
 
Wew kuna vitu huvielewi....pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…