Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

But still ni mayor... Haileti sense. Kabisa. Yaani mayor wa jiji la Durban akawe na chokoraa asiweza hata kujinunulia breakfast ya mama mtilie. Yaani mayor ana share dem na wauza mitumba? Yaani kibongo bongo ni mayor wa Dar ana share dem na wauza mitumba wa karume. Huku kapaki v8 lake. Kwanza huyo mayor anakutana wapi na kidemu kama hicho. Mayor wa jiji la Durban sio mchezo wandugu... Anyway watanzania tumezoea kudangany

Habari za asubuhi wakuu? Leo kama nilivyoahidi nitaweka mwendelezo. Nadhani kwenye mida ya jioni nikimaliza shughuli zangu nitapata muda wa kutosha na kuishusha hapa. Jamani hebu naomba mchangie hata buku ya bando basi, msihofu sitawapelela Telegram, nitaweka namba hapahapa ili yeyote atakayeguswa anachangia hela ya bando. Bando zimepanda bei jamani, halafu hii stori sio siri sikutegemea kama ingekula muda wangu hivi na kuvuta hisia za watu wengi kiasi hiki. Kuna watu wengi wamenifuata inbox wakinisihi hii stori nisiisumarize bali niielezee kwa urefu maana nikiisumarize itapoteza mvuto nilioanza nao. Nimekubali ombi lenu, tuwe pamoja hadi mwisho wakuu. Jioni itaendelea.
Weka namba fasta,kabla hatujaulizwa hela ya sukari
 
Habari za asubuhi wakuu? Leo kama nilivyoahidi nitaweka mwendelezo. Nadhani kwenye mida ya jioni nikimaliza shughuli zangu nitapata muda wa kutosha na kuishusha hapa. Jamani hebu naomba mchangie hata buku ya bando basi, msihofu sitawapelela Telegram, nitaweka namba hapahapa ili yeyote atakayeguswa anachangia hela ya bando. Bando zimepanda bei jamani, halafu hii stori sio siri sikutegemea kama ingekula muda wangu hivi na kuvuta hisia za watu wengi kiasi hiki. Kuna watu wengi wamenifuata inbox wakinisihi hii stori nisiisumarize bali niielezee kwa urefu maana nikiisumarize itapoteza mvuto nilioanza nao. Nimekubali ombi lenu, tuwe pamoja hadi mwisho wakuu. Jioni itaendelea.
Namba hiyo wakuu 0676405024. Imesajiliwa kwa jina la Samaritan Water Solution. Ni kampuni yangu wakuu. Unaweza kuchangia chochote mkuu, hata 1,000, 500 wewe tupia tu hela ya bando itapatikane.
 
Habari za asubuhi wakuu? Leo kama nilivyoahidi nitaweka mwendelezo. Nadhani kwenye mida ya jioni nikimaliza shughuli zangu nitapata muda wa kutosha na kuishusha hapa. Jamani hebu naomba mchangie hata buku ya bando basi, msihofu sitawapelela Telegram, nitaweka namba hapahapa ili yeyote atakayeguswa anachangia hela ya bando. Bando zimepanda bei jamani, halafu hii stori sio siri sikutegemea kama ingekula muda wangu hivi na kuvuta hisia za watu wengi kiasi hiki. Kuna watu wengi wamenifuata inbox wakinisihi hii stori nisiisumarize bali niielezee kwa urefu maana nikiisumarize itapoteza mvuto nilioanza nao. Nimekubali ombi lenu, tuwe pamoja hadi mwisho wakuu. Jioni itaendelea.

Weka namba[emoji23][emoji23]
 
Habari za asubuhi wakuu? Leo kama nilivyoahidi nitaweka mwendelezo. Nadhani kwenye mida ya jioni nikimaliza shughuli zangu nitapata muda wa kutosha na kuishusha hapa. Jamani hebu naomba mchangie hata buku ya bando basi, msihofu sitawapelela Telegram, nitaweka namba hapahapa ili yeyote atakayeguswa anachangia hela ya bando. Bando zimepanda bei jamani, halafu hii stori sio siri sikutegemea kama ingekula muda wangu hivi na kuvuta hisia za watu wengi kiasi hiki. Kuna watu wengi wamenifuata inbox wakinisihi hii stori nisiisumarize bali niielezee kwa urefu maana nikiisumarize itapoteza mvuto nilioanza nao. Nimekubali ombi lenu, tuwe pamoja hadi mwisho wakuu. Jioni itaendelea.
vip boss niaje mshua.., una buku hapo sinaa. tuendelee na stor weka no
 
Nimeweka mkuu. 0676405024. Samaritan Water Solution.
Duh hi namba ni ya Tigo au? mbona haitoi Jina la Samaritan Water Solution au ni Halopesa?
weka namba ingine km ipo mambo ya jina kutokea usijali kwani majina yetu mbona utayaona?
jioni shusha Episode na iwe kila siku km Isidingo tutakujaza tu, hatuna pa kwenda liCOVID limebana kichizi mtaani
 
Kule mzee wamehalalishwa. Wanaitwa sex workers. Ukimuita jina la kumdhalilisha akikupeleka mahakamani lazima akutoe upepo. Sex workers wa kule kwa ufahamu wangu wamegawanyika makundi matatu. Kundi la kwanza ni wale wanaojipanga mitaani nyakati za usiku kama ilivyo huku bongo. Hao bei zao ni maelewano tu. Kundi la pili ni wale wanaopanga vyumba kwenye night clubs. Ninaposema night clubs haina maana hizo club hazifanyi kazi mchana. Hili kundi la pili ukiienda kwenye hizo clubs unawapata masaa 24, yaani ukiingia tu ndani ya club/bar unawakuta wamejaa kama darasani. Wako kwenye visiketi vifupi tu, mapaja njenje. Ukiwaleta bongo hao huwezi kuwapata kama wewe ni kapuku, lazima wenye pesa zao ndio wajimilikishe. Ukiingia humo unachagua unayemtaka. Wamepanga vyumba humo humo ghorofani, maana bar inakuwa chini ya ghorofa huko juu ndio kuna vyumba wamepanga. Hapo ni pisi kali tu. Hakuna demu mbovu. Demu mbovu hawezi kwenda sehemu hizo kujiuza maana hawezi kupata mteja. Bei zao hao ni rand 50. Kundi la tatu ni hawa wanaitwa Escort agency. Hawa unakuta mtu mmoja kawaajiri, anawalipa mshahara kwa hiyo amewaweka kwenye nyumba na kuwahudumia. Kwa hiyo wewe ukiwataka either unapiga simu unaletewa huduma mpaka kwako, au unaenda mwenyewe kwenda kuchagua. Ukifika pale, utakupa kuna sehemu ya mapokezi kama zilivyo ofisi za kawaida. Madada wataitwa wote halafu wewe utachagua unayemtaka, nazo pia ni pisi kali. Zinakuwa zimo kwenye chupi tu, namaanisha chupi tu. Ukimchagua unayemtaka either utaondoka naye au utamla hapo hapo maana huwa kuna vyumba. Bei zao ni kuanzia rand 300.
Daaah kweli SA sio mchezo kunanifaa kabisa[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Duh hi namba ni ya Tigo au? mbona haitoi Jina la Samaritan Water Solution au ni Halopesa?
weka namba ingine km ipo mambo ya jina kutokea usijali kwani majina yetu mbona utayaona?
jioni shusha Episode na iwe kila siku km Isidingo tutakujaza tu, hatuna pa kwenda liCOVID limebana kichizi mtaani
Mkuu, namba ipo sahihi. Kuwa makini tu usikosee hata tarakimu moja. Hiyo ni namba ya tigo.
 
Sasa hivi rand imeshuka sana. Kipindi kile miaka 2003 hadi 2012 rand 1 ilikuwa ina range kwenye TZS 180 hadi TZ200. Sasa hivi nadhani rand 1 ni sawa na TZS 164.
Rand 50 ilikuwa sawa na buku 10
Rand 300 sawa na 60000
Daaah mkuu mbona bei elekezi kabisa hyo na hapo gest hulipii hapo mambo ya nauli bia misosi kwa malaya hakuna...!!!unajihudumia mwenyewe tu daah kwa kaburu raha sana
 
Namba hiyo wakuu 0676405024. Imesajiliwa kwa jina la Samaritan Water Solution. Ni kampuni yangu wakuu. Unaweza kuchangia chochote mkuu, hata 1,000, 500 wewe tupia tu hela ya bando itapatikane.

Ni mtandao gani huu mkuu?
 
Wewe ni mwandishi mzuri,ingependeza ukaandika kitabu KWA sehemu zilizobaki ili tununue kuliko kuchangishqna humu
 
Wewe ni mwandishi mzuri,ingependeza ukaandika kitabu KWA sehemu zilizobaki ili tununue kuliko kuchangishqna humu
Mkuu, sisi tunataka stori nzima iletwe hapa kwanza. Jamaa anaomba ya bundle tu wala hajataka mambo mengi. Kuandika kuna kula muda sana, mambo yake mengi anayaacha ili tu aweze kuandika, hebu tuwe waungwana basi tumuunge mkono. Hicho kitabu akiandika huenda hata usinunue. Wewe mchangie tu hiyo buku tuendelee kupata matukio ya kung'uta siafu.
 
Back
Top Bottom