Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

mkuu nimepigika ngoja mpunga utoke wiki ijayo nkupatie japo bando la wiki la voda. ila story imeisha kwa huzuni sana.
ukipendwa usipopendwa huwa ni majonzi na huzuni siku zote. polee
 
mkuu nimepigika ngoja mpunga utoke wiki ijayo nkupatie japo bando la wiki la voda. ila story imeisha kwa huzuni sana.
ukipendwa usipopendwa huwa ni majonzi na huzuni siku zote. polee
Asante Mrs. Bishanga.
 
Jamani naomba niikatishe hii stori. Hii stori ni ndefu sana haitaisha leo wala kesho na inanichukulia muda wangu mwingi sana. Ni stori iliyochukua karibia miaka 6, since 2008 hadi 2012, kwa hiyo unaweza kuona ilivyo ndefu.

Kwa wale wenye shauku ya kutaka kujua Khumbu yuko wapi kwa sasa, jibu ni kwamba Khumbu alifariki, hatunaye tena duniani. Mwenyezi Mungu aendelee kumuweka mahali pema peponi. I truly miss her and believe one day I will meet her in other worlds of God.

Mimi nilimaliza chuo nikarudi Bongo, nipo Dar nina familia tayari. Kuna uzi mmoja nilishauleta humu mnaweza kuutafuta kuhusu yaliyonipata niliporudi Dar. Asanteni na kwa herini.
Hii ndio ya mwisho?
 
Wewe endelea kupekua, mwendelezo upo mbele.
Imebidi nicomment pia MMU, big up kwanza..pili unaweza kumalizia kwa kutuambia jamaa walivouliza vizuri nini hasa kilipelekea kifo cha Khumbu? Na alifarik mda gan baada ya wewe kurudi bongo?
Last hongera kwa ujasiliamali kuanzisha kitu chako mwenyewe. Never quit,if it were easy everybody would do it.
 
Konda hapa huchomoi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-1368930805.jpg


Sent from my TECNO F2LTE using JamiiForums mobile app
 
Imebidi nicomment pia MMU, big up kwanza..pili unaweza kumalizia kwa kutuambia jamaa walivouliza vizuri nini hasa kilipelekea kifo cha Khumbu? Na alifarik mda gan baada ya wewe kurudi bongo?
Last hongera kwa ujasiliamali kuanzisha kitu chako mwenyewe. Never quit,if it were easy everybody would do it.
Nafikiri alifariki baada ya miezi michache baada ya mimi kuondoka. Sikumbuki vizuri ila ninachokumbuka baada ya mimi kuondoka huko tuliendelea kuwasiliana, nilikuwa naongea naye karibia kila wiki. Ila kuna kipindi nilimchunia kama mwezi hivi, na nilipomtafuta ndio nikakutana na habari za msiba wake, so ingawa siwezi kukumbuka precisely ni muda gani alifariki baada ya mimi kuondoka huko lakini kulingana na mazingira ya mawasiliano yangu na yeye nadhani haiwezi kuzidi mwaka kama sio miezi kadhaa.
 
Kilaba nimamua nikusaidie kwa kukutag..maana hii story umeitafuta sana..sasa kazi ni kwako kuanza page namba 1 na kuendelea...Bonge moja la story.
 
Back
Top Bottom