Jinsi Marekani inavyoshirikiana na Israel kufanya unyama Palestina, wasiingie nchi yoyote duniani kuamrisha ujinga ujinga wao

Jinsi Marekani inavyoshirikiana na Israel kufanya unyama Palestina, wasiingie nchi yoyote duniani kuamrisha ujinga ujinga wao

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Silaha zinazotumika kuua Gaza tangu mwanzo mpaka mwisho karibu zote zimetengenezwa Marekani na hata kuingia Rafah white house imetetea kuwa hakuna kibaya kilichofanyika .
Ubaya wa uvamivi wa Gaza na uporaji wa ardhi unaofanywa maeneo mengine ya Palestina tena kupingana na amri za mahakama na maazimio ya umoja wa mataifa ni vitu vinaonekana wazi wazi.
Kama Marekani imeshindwa kuzuia basi taifa hilo halina sifa yoyote ya kuamrisha wema na kuhimiza mataifa mengine yafuate wanayoyataka.Kila mmoja duniani afuate anachoona kina manufaa kwake.
 
Silaha zinazotumika kuua Gaza tangu mwanzo mpaka mwisho karibu zote zimetengenezwa Marekani na hata kuingia Rafah white house imetetea kuwa hakuna kibaya kilichofanyika .
Ubaya wa uvamivi wa Gaza na uporaji wa ardhi unaofanywa maeneo mengine ya Palestina tena kupingana na amri za mahakama na maazimio ya umoja wa mataifa ni vitu vinaonekana wazi wazi.
Kama Marekani imeshindwa kuzuia basi taifa hilo halina sifa yoyote ya kuamrisha wema na kuhimiza mataifa mengine yafuate wanayoyataka.Kila mmoja duniani afuate anachoona kina manufaa kwake.
Wale wayahudi 1200 mlioua sio binadamu? Mlitaka wakae tu wawachekee?
 
Wale wayahudi 1200 mlioua sio binadamu? Mlitaka wakae tu wawachekee?
Hata wangekuwa elfu 30 kumbuka wapalestina waliokwishauliwa na kufukuzwa majumbani mwao ni zaidi mara nyingi kuliko hao.
 
Hata wangekuwa elfu 30 kumbuka wapalestina waliokwishauliwa na kufukuzwa majumbani mwao ni zaidi mara nyingi kuliko hao.
Kwamba ulitaka ikitimia idadi ya Wayahudi waliouawa, Israel isitishe vita?
 
Msirudie kuwasumbua wayahudi wale jamaa watawamaliza...mtaendelea kutembeza maiti mtaani mpaka mkome
Wale wanajimaliza wenyewe na kwa yanayoendelea mwisho wao upo karibu sana kwa kuanzia tu viongozi wao wameshwekwa kwenye kundi la wahalifu
Na dunia imeshaanza kuwageuka sasahivi kila sehemu wanayokanyaga ni kuzomewa na kuandamwa hata huko ulaya na marekani walipoomba hifadhi
Mungu ana njia zake za kumuabisha adui its just a matter of time
 
Back
Top Bottom