chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Hivi mnamkumbuka Mbunge aliyeitwa Kihiyo? Mwaka 1995?
Alikuwa Mbunge wa Temeke kupitia chama cha mapinduzi.
Alishtakiwa kwa kosa la kughushi vyeti, mahakama ikatengua Ubunge wake na uchaguzi ukarudiwa, katika uchaguzi wa marudio alishinda Mh Agustine Lyatonga Mrema.
Kihiyo alihukumiwa kwa kutumia sheria za Tanzania ambazoleo Mama Angela Kairuki kazinukuu.
Je? inamana Kihiyo hakuwa anajua kusoma na kuandika kama amabavyo tumeambiwa ndiyo sifa ya kitaaluma ya mwanasiasa?
Au Kihiyo alikuwa mjinga alieweza kushinda ubunge halafu akashindwa kujitetea mahakamani kuwa anajua kusoma na kuandika?
NB: Huenda sheria zimebadilika sisi hatujui...
Alikuwa Mbunge wa Temeke kupitia chama cha mapinduzi.
Alishtakiwa kwa kosa la kughushi vyeti, mahakama ikatengua Ubunge wake na uchaguzi ukarudiwa, katika uchaguzi wa marudio alishinda Mh Agustine Lyatonga Mrema.
Kihiyo alihukumiwa kwa kutumia sheria za Tanzania ambazoleo Mama Angela Kairuki kazinukuu.
Je? inamana Kihiyo hakuwa anajua kusoma na kuandika kama amabavyo tumeambiwa ndiyo sifa ya kitaaluma ya mwanasiasa?
Au Kihiyo alikuwa mjinga alieweza kushinda ubunge halafu akashindwa kujitetea mahakamani kuwa anajua kusoma na kuandika?
NB: Huenda sheria zimebadilika sisi hatujui...